TTCL waja na TTCL pesa, nawapongeza kwa hatua hii

Poleni sana msiokuwa na ufahamu wa Kutosha kuhusu TTCL..Right mgelijua hayo makampuni mmayoyasfia na kuiponda TTCL Yananunua huduma zake TTCL ndio mnauziwa nyinyi!!Kama aivyo ongekuwa imekufa.Tangu mmeanza kusema inakufa nileo!!!???Mnasahau viongozi wenu walioshika makampuni ya simu kwa kuwa ahare humo.Acheni ujinga nyie malimbukeni mnaolipwa kuitukana TTCL hameni nchi mbwa koko msio kuwa na mikia.Mtasubiri kuona inakufa
Mtashangaa mnakufa mnaiacha.Waulizeni hao Tigo ma Voda kuhusu hao mnosema wazeee. Wanjua mawasiliano ya ncji yetu kuliko hivyo vinyangalakata vyenu bya makampuni ya nje .Kama vipi jameni Tanzania tumewachokaaa
Sasa na wewe sijui unashabikia nini, tunafahamu kuwa Ttcl ndio wanawahosti hii mitandao mingine wangebaki na hiyo kazi yote haya hayangekuwepo, shida hapa ni kuwa nao wameanza kuingia mtaani wanataka washindane na hao wadogo zake, sasa approach wanayokuja nayo kwenye market ni mbovu kuwahi kutokea kwenye ulimwengu wa biashara za kiushindani. hawa ttcl wangekuwa siriaz wangeteka hata soko la afrika mashariki, wenyewe wamebaki kuzunguka na viti na kupulizwa na viyoyozi ofisini wenzao wanapishana huku mitaani

Kuna ule mkongo wa taifa nao sijui umeishia wapi naona mwaka huh hata sijaisikia bajeti yake imezungumziwa, walikuwa na mpango wa kufikisha huu mkongo kila wilaya na badae tarafa, kisha kata na kijiji, ila hadi Leo giza totorooo
 
Sijui ni hujuma au nini TTCL inasumbua sana network kuna saa inakuwa fresh kuna saa inazingua nimeshapiga simu customer care na kwenda Kwenye ofisi za kutoa malamiko Mara kwa Mara Ila jibu lao ni kuwa bado watatufikia miezi sita sasa...wajipange sana inakatisha tamaa sana laini ninashindwa kuitumia
 
Wajiite T-PESA (Kizazi cha T) ndio jina tamu kuliko TTCL PESA
Wazo zuri sana. Unajua tena hizi nchi zetu watu wanaamiliwa mambo na wake zao. Hakuna utafiti hakuna ushauri. Biashara itumie jina linawloweza kukumbukwa na kutamkwa kwa urahisi na wateja. Sasa watu wa vijijini watakumbuka kweli mlolongo wote huo TTCL....?
 
Pole Cai.Hamna jema na hubebeki .Mara mara wazee, Mara wanakaaa tu ofisini!!!mara oooh wanashindana na wengine mara oooh wawndw wakishikw aoko la Adrika mashariki.Huwezi kumridhisha ka mtu .Mdomo mali yako endelea kuponda uana mwisho hayo.
 
Wamekumbuka shuka alfajiri! Wamezidiwa coverage na Halotel, kampuni ya serikali lakini imelala sana labda JPM akiisukuma ingawa kuna watu baada ya miaka 10 wanaweza kuiua, Dawa yake ijisajiri kwenye DSE ili watu waimiliki kwa walau 35%
We bwana hebu kwenda weee ....
 
Waje na speed zaid ya ike ya halotel halafu kwa vile n ya serikali waongeze mb za intanet watakamata soko sana
 
Naiona nchi yangu Tanzania ikisonga mbele ni baada ya kampuni ya kampuni ya simu ya TTCL kuja na huduma ya kifedha

Hatua hii ni kubwa sana italifufua kampuni na kujilikana zaidi
a1596305ca792c05db16a2f18db94d6f.jpg


Pia itafanikiwa kutoa ushindani kwa kampuni nyingine za mawasiliano

Hongera Rais Magufuli kwa uzalendo unaonyesha kwa kutanguliza maslah ya nchi kwanza

[HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] kwanza# team mzalendo#
Hongera TTCL,you can.Keep it up. Hivi tayari wana SIM cards?
 
Naiona nchi yangu Tanzania ikisonga mbele ni baada ya kampuni ya kampuni ya simu ya TTCL kuja na huduma ya kifedha

Hatua hii ni kubwa sana italifufua kampuni na kujilikana zaidi
a1596305ca792c05db16a2f18db94d6f.jpg


Pia itafanikiwa kutoa ushindani kwa kampuni nyingine za mawasiliano

Hongera Rais Magufuli kwa uzalendo unaonyesha kwa kutanguliza maslah ya nchi kwanza

[HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] kwanza# team mzalendo#

I think kwanza walitakiwa kuboresha upatikanaji wao kwa inchi nzima then mambo mengine ya fate, coz kama iringa mtwara na mikoa kibao hakuna huduma za TTCl mobile, na hata kwa hapa dar upatikanaji wake kwa baadhi ya sehemu ni dunia sana
 
Hongera TTCL,you can.Keep it up. Hivi tayari wana SIM cards?[/QUOT

Mkuu ndio wanaSIMCARDS zinazotumia 3G/4G technology, mm ofisini natumia router ya 4G sio mchezo, iko vizuri. Nafikiri huduma ya TTCLPESA itawasaidia katika kusolve problem of vouchers availability.
 
Katika kampuni ambazo haziko siriaz na biashara hii nayo imo yani inafanya biashara kizamani mno, wenzao wanasambaza maflilensa mitaani wenyewe wamejifungia tu ofisini

mm hawa watu nawafuatilia sana, ukiwatizama TTCL ya miaka 5 iliyopita na sasa 2017 kunautofauti sana. wameimprove asee. but they have to work hard more, contuinue improving customer care, network coverage and sales startegy.
 
bado hili shirika lina safari ndefu sana kuweza kuwa na ushindani thidi ya makampuni mengine kwa sababu kuu moja: wafanyakazi wake wengi wanaelimu ndogo na uelewa mdogo jambo ambalo linasababisha maendeleo yake kuwa na kasi ya kinyonga. mpaka watakapostaafu wote walioingia kufanya kazi kwa uzoefu na sio elimu hapo ndipo ttcl itafufuka rasmi.
Hii ndio point ya muhimu sana TTCL kampuni, asilimia kubwa ya wafanyakazi wamebebwa bebwa mule wangejaribu kupiga chini wazee wengi ambao ni body of directors ambao, awajui sokoni kunaitajika nini? Mfano mzuri sasa ivi makampuni yanapata faida kubwa sana katika DATA na MONEY TRANSACTIONS. Sasa sijajua awo wazee wana uelewa huo. Maana sector ya TTCL, TRA na BOT ni sector muhimu sana aziitaji ubinafsishaji ili kulinda nchi kutokana na wawekezaji wenye malengo mabaya kwa nchi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom