TTCL waja na TTCL pesa, nawapongeza kwa hatua hii

Naiona nchi yangu Tanzania ikisonga mbele ni baada ya kampuni ya kampuni ya simu ya TTCL kuja na huduma ya kifedha

Hatua hii ni kubwa sana italifufua kampuni na kujilikana zaidi
a1596305ca792c05db16a2f18db94d6f.jpg


Pia itafanikiwa kutoa ushindani kwa kampuni nyingine za mawasiliano

Hongera Rais Magufuli kwa uzalendo unaonyesha kwa kutanguliza maslah ya nchi kwanza

[HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] kwanza# team mzalendo#
Wajiite T-PESA (Kizazi cha T) ndio jina tamu kuliko TTCL PESA
 
Ttcl nafasi kubwa nai zinazohitaji maamuzi yenye tija wapo watu ambao ni std seven.mna kazi kubwa sana maamuzi mengi ya kizee tu ndio yamejaa hapo
 
Sasa hawa wanawekeza katika T-Pesa wakati mtando haujaenea. Wamalizane kwanza na coverage ndo waje na haya mambo
 
Hiyo si ipo chini ya serikali ya ccm?? Basi sawa Hakuna jipya itanaki kwenye makaratasi tu Kuwa wapo ttcl pesa ila Hakuna ubora wa huduma aliyezaliwa ana anaemilikiwa na ccm hawezi kuwa na jipya... Si km TBC tu hao
 
Poleni sana msiokuwa na ufahamu wa Kutosha kuhusu TTCL..Right mgelijua hayo makampuni mmayoyasfia na kuiponda TTCL Yananunua huduma zake TTCL ndio mnauziwa nyinyi!!Kama aivyo ongekuwa imekufa.

Tangu mmeanza kusema inakufa nileo!!!???Mnasahau viongozi wenu walioshika makampuni ya simu kwa kuwa ahare humo.Acheni ujinga nyie malimbukeni mnaolipwa kuitukana TTCL hameni nchi mbwa koko msio kuwa na mikia.

Mtasubiri kuona inakufa
Mtashangaa mnakufa mnaiacha.Waulizeni hao Tigo ma Voda kuhusu hao mnosema wazeee. Wanjua mawasiliano ya ncji yetu kuliko hivyo vinyangalakata vyenu bya makampuni ya nje .Kama vipi jameni Tanzania tumewachokaaa
 
Poleni sana msiokuwa na ufahamu wa Kutosha kuhusu TTCL..Right mgelijua hayo makampuni mmayoyasfia na kuiponda TTCL Yananunua huduma zake TTCL ndio mnauziwa nyinyi!!Kama aivyo ongekuwa imekufa.Tangu mmeanza kusema inakufa nileo!!!???Mnasahau viongozi wenu walioshika makampuni ya simu kwa kuwa ahare humo.Acheni ujinga nyie malimbukeni mnaolipwa kuitukana TTCL hameni nchi mbwa koko msio kuwa na mikia.Mtasubiri kuona inakufa
Mtashangaa mnakufa mnaiacha.Waulizeni hao Tigo ma Voda kuhusu hao mnosema wazeee. Wanjua mawasiliano ya ncji yetu kuliko hivyo vinyangalakata vyenu bya makampuni ya nje .Kama vipi jameni Tanzania tumewachokaaa
Dah Mkuu pole
Waelimishe tu kwa utaratibu wataelewa kuliko mihemko. Nimekuelewa
 
KWA Uzalendo zaidi waiite huduma hiyo TzPESA......
USHAURI mwingine wagawe laini zao kwa wananchi BUREEE.....
 
Naiona nchi yangu Tanzania ikisonga mbele ni baada ya kampuni ya kampuni ya simu ya TTCL kuja na huduma ya kifedha

Hatua hii ni kubwa sana italifufua kampuni na kujilikana zaidi
a1596305ca792c05db16a2f18db94d6f.jpg


Pia itafanikiwa kutoa ushindani kwa kampuni nyingine za mawasiliano

Hongera Rais Magufuli kwa uzalendo unaonyesha kwa kutanguliza maslah ya nchi kwanza

[HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] kwanza# team mzalendo#
mkuu vipi imeshaanza kutumika
 
Hawa wanataka kuleta shida.vocha tu hazipatikani wanataka kuleta mambo ya hela
 
Naiona nchi yangu Tanzania ikisonga mbele ni baada ya kampuni ya kampuni ya simu ya TTCL kuja na huduma ya kifedha

Hatua hii ni kubwa sana italifufua kampuni na kujilikana zaidi
a1596305ca792c05db16a2f18db94d6f.jpg


Pia itafanikiwa kutoa ushindani kwa kampuni nyingine za mawasiliano

Hongera Rais Magufuli kwa uzalendo unaonyesha kwa kutanguliza maslah ya nchi kwanza

[HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] kwanza# team mzalendo#
Magufuli ni mfanyakazi wa TTCL?
 
TTCL wagawe line bure watapata wateja
Kununua 2000 watu wanaona kero
Kupata line shs 2000 ...vocha ya kuongeza salio kuipata sasa utatembea maduka yote....wao wanadao ununue ya kurusha kutoka max malipo au selcom
 
Bila kustaafisha wafanyakazi wote na kuanza na menejimenti mpya na wafanyakazi wapya, TTCL haiwezi kufika popote.

Hawawezi kuhimili ushindani wa kisasa kutoka katika makampuni binafsi ambayo yamewekeza sana katika menejimenti na rasilimali watu, kitu ambacho TTCL hawezi kumudu kutokana na muundo wao.
Nilienda ofisini kwao ...nilikuta wamama ukiwauliza maswali hawajui hata kinachoendelea katika kampuni yao wapo kimazoea tuu....bila kuliunda upya shirika safari bado ndefu na ngumu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom