Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,413
- 26,908
Ni kweli kiongozi wamenipa 100 tenaNafkiri watakupa 100 tena, kwani zuku wana 60mbps? Ikitoka 40 si inakuja 100?
Ni kweli kiongozi wamenipa 100 tenaNafkiri watakupa 100 tena, kwani zuku wana 60mbps? Ikitoka 40 si inakuja 100?
Mkuu hilo shirika ni kama linahujumiwa, kwenye matangazo wako vizuri kwenye uhalisia ni -veDili na mtu wa survey, ukifika Customer care omba Contact ya mtu wa anaefanya survey, atakupa majibu mazuri zaidi lini wanapita mitaa yenu. Wengi ambao wapo ofisini si technical
Hii package ni bei gani? Na connection fees ni kiasi gani?Hii ni TTCL fiber home connect mwaka wa tatu natumia sijawahi jutia.View attachment 2259630
Tupe mchanganuo wake adi kuipataHii ni TTCL fiber home connect mwaka wa tatu natumia sijawahi jutia.View attachment 2259630
Kumbuka omba kibali cha TCRATulishalizungumzia humu, unless kuna ruzuku zinatolewa ngumu kwa hawa jamaa ku expand uswazi na maeneo mengine ambayo hayana potential customer wengi. TTCL pekee ndio ana Ubavu huo sababu ina Sugar Daddy.
Potential ninayoiona mimi ni kwenye Wifi, ukipata eneo ambalo lipo juu kidogo unaweza Supply wifi mitaa kadhaa, ikawa fiber inAtumika tu kama backbone ila wifi ndio ina supply Majumbani.
Muomba kibali ni endi user ama mtoa huduma ISPKumbuka omba kibali cha TCRA
Huna ruhusa ya kuuza bila kuwasiliana na TCRA
Nakubaliana na wewe kua kwenda kuchukua leseni ya kulusha masafa ni mtoa huduma na si mtumiaji wa mwsho anaye fungiwa radio waves deviceHuna ruhusa ya kuuza bila kuwasiliana na TCRA
Hawa walikuwepo kabla ya Zuku mjini, ukiwapigia miezi wanaskilizia, walikuwa na setup fee pia japo sometime wana offer setup inakuwa bure.Mwenye ufahamu zaidi na uzoefu wa hawa Gofiber katika huduma zao tafadhali naomba anipe uzoefu naoView attachment 2261308View attachment 2261309
Mkuu copper cables ita exists kwa miaka mingi mbeleni kwa natural ya matumizi ya nchi yetu.kwa nini nasema hili kuna technology zinafahamika kama PSTN (analog lines) na E1 line (digital lines) hizi ni technology zote zinauwezo wa kutoa voice & data hila kwa upande wa data watu na makampuni wamesha acha wengi wao na kwenda kwenye fiber changamoto zipo katika voice uwekezaji unaotakiwa watumiaji mugalamia kupata mbadala wa PSTN na E1 una galama kiasi kulinganisha na matumizi ya copper cable na ata bill shilika linakusanya ela nyingi tokana na copper upande wa voice kulinganisha na uduma zinginezo kama SIP technology,japo maintaining ya copper ina ugumu wake kwa mtoa huduma ila navyoona mimi wataitumia sana mpaka miaka 20 mpaka 50 labla ndo wataachaSHORT STORY: Nipo Mbeya karibu sita sasa, kutokana na eneo nililokuwa nimefikia kulikuwa nje kidogo ya mjini ko sikuweza kuwa na optin nyingine zaidi ya 3000 kwa siku kupitia mitandao afu hakuna kupakua mafile nikajitahid mwezi huu nikahamia sehemu nyingine ambayo ipo katikati ya jiji nikagundua nguzo za TTCL zimepita nikafanya upelelezi zilikuwa zinanichanganya maana naona nyaya za fiber na copper zimekatwa katwa, leo ikanilazimu kwenda ofisi zao nkahoji ndo nkaambiwa wanataka kuachana na cooper kabisa sehem chache sana wamebakiza coz zinaibiwa sana afu pia sababu ya teknolojia imechange wameamua kwenda na fiber wametandaza sana kote kulikokuwa na copper wire wamechomoa wameweka fiber ila tatizo kwasasa hapa mbeya wameanza na wateja wa premium tu nikiwa na maana wa 100mbps kwa laki mbili kwa mwezi, ila FTH (FIBER TO HOME) kwanzia kile kifurushi ya 55 cha 10mbps wataanza kuanzia mwezi wa saba ndo nasubiri wakianza maana premium parefu.
MORAL OF STORY: Wakuu wamewahi ongelea hili swala akiwemo chief mkwawa kuwa ni TTCL pekee mwenye jeuri yakutandaza fiber mpaka uswahilini na sasa nimeamini hilo maana katandaza sana wata tukomboa wengi.
240p uhakika, 360p inawezekana, 480p maybe video iwe haina mambo mengi, ila most of time hutaweza.
Package ipi unanunuaga kwa TTCL?Hii ni TTCL fiber home connect mwaka wa tatu natumia sijawahi jutia.View attachment 2259630
Hivi Hawa ttcl wanatumia nguzo au wamepita chini ardhini? Apa kwangu naona wamepitisha wire nene hv kwenye nguzo zao tofauti na za kawaida nilizozizoea.Hii ni TTCL fiber home connect mwaka wa tatu natumia sijawahi jutia.View attachment 2259630
Wire nene itakua Fiber kama hizi sioHivi Hawa ttcl wanatumia nguzo au wamepita chini ardhini? Apa kwangu naona wamepitisha wire nene hv kwenye nguzo zao tofauti na za kawaida nilizozizoea.
Hivi gharama ya kuvuta fiber kwa umbali wa about 200m inaweza kuwa sh ngapi based on your experiwnceWire nene itakua Fiber kama hizi sio
View attachment 2270826
Adsl zenyewe ni zile za shaba zinakaa mbili
sijui mkuu ila kama ni TTCL sitashangaa ikifika 1m,Hivi gharama ya kuvuta fiber kwa umbali wa about 200m inaweza kuwa sh ngapi based on your experiwnce
Yah zipo kama hizi, ila wamepitisha moja tu, hazipo kwa bundle kama hiziWire nene itakua Fiber kama hizi sio
View attachment 2270826
Adsl zenyewe ni zile za shaba zinakaa mbili