Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,829
- 40,160
Hio ya 8mbps kwa 1mbps ni Adsl, kama huna option nyengine si mbaya, itafanya mambo ya kawaida vizuri.Chief nataka niunge T-Office Standard ya TTCL, ina 8Mbps kwa 1Mbps. Hii itafaa kweli? Waya upo wanauita FTTH, hapa nanunua modem kwa 55,000 na kufurushi 50,000
Nilitaka ni opt kwa fiber ila iko umbali wa kama mita 250 kutoka home hapa,
Niende na hiyo hiyo t-office, speed yake ikoje?
Ila kama Fiber ipo na Gharama ya kuunga si kubwa chukua Fiber, utapata 20mbps download na 10mbps upload kwa hio 50,000.