Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Kitu ambacho hatutakiwi kusahau ni kuwa makampuni yote binafsi yana culture zake ambazo mtu smart anaweza kuonyesha uwezo wake. Kuongoza haya mashirika ya umma, ambayo yamejaa mchanganyiko wa kila aina ya watu sio kitu rahisi. Makampuni haya kwa muda mrefu yalikuwa hayaongozwi na culture ya deliver in order to grow. Ni majungu na kujuana na ukubwa usio na kichwa wala miguu.
Jamani, sidhani kama Twisa amekomaa kiasi hicho katika kuongoza na kutoa maamuzi ambayo yataifanya TTCL iendelee kufanya kazi bila kuanguka.Tumpe muda akue kue kidogo, vinginevyo tutakuja kumpa lawama asizostahili
Jamani, sidhani kama Twisa amekomaa kiasi hicho katika kuongoza na kutoa maamuzi ambayo yataifanya TTCL iendelee kufanya kazi bila kuanguka.Tumpe muda akue kue kidogo, vinginevyo tutakuja kumpa lawama asizostahili