Tsh 96 billion set to transform Mwanza Airport

System ya maji taka Mwauwasa wapo vizuri si kama hao Dawasa wasio hata na ofisi ya maana...
Nani kakwambia naishi Dar? Naona unang'ang'ania sasa kualzimisha niishi Dar😀😀

Ukiacha system ya maji taka kati ya jiji Mwanza hamna hiyo system huko pembeni. Vyoo vipo vilimani tu hamna lolote
 
Nani kakwambia naishi Dar? Naona unang'ang'ania sasa kualzimisha niishi Dar😀😀

Ukiacha system ya maji taka kati ya jiji Mwanza hamna hiyo system huko pembeni. Vyoo vipo vilimani tu hamna lolote
Sasa mbona huko mlimani hawaumwi magonjwa ya mlipuko ka kipindu....? Sewage system ya mkoa wenu inaingia mara kumi mwanza...
 
Sasa mbona huko mlimani hawaumwi magonjwa ya mlipuko ka kipindu....? Sewage system ya mkoa wenu inaingia mara kumi mwanza...
Ukuwa wa sawage system inategemea na ukubwa wa mji. Mwanza pamoja na ukubwa wote ipo ndani ya mikoa 5 bora kwa umasikini nchini. Huo mfumo wa maji taka upo hapo mjini tu tena ni ule alioweka mkoloni. Mwanza kama Dar tu slums ni 95% ya makazi ya watu.
 
Ukuwa wa sawage system inategemea na ukubwa wa mji. Mwanza pamoja na ukubwa wote ipo ndani ya mikoa 5 bora kwa umasikini nchini. Huo mfumo wa maji taka upo hapo mjini tu tena ni ule alioweka mkoloni. Mwanza kama Dar tu slums ni 95% ya makazi ya watu.
Tatizo watu hamjui kutofautisha kati ya mkoa wa mwanza na jiji la mwanza...Huo umaskini ni kwa mkoa... Hizo asiimia 95% ya makazi ambazo ni slums zipo maeneo gani ndani ya jiji...?
 
Good afternoon wadau

After ujio wa Rais Magufuli Mwanza; government has embarked on a sh 96bn project for the expansion and upgrading of mwanza Aiport to international standards.

Ukiangalia kwa haraka unaweza sema Mwanza wamechelewa mno kwenye kurekebisha miundombinu yake ili kuendana na kasi ya ukuaji wa biashara inyodhihirika miongoni mwa nchi zetu za ukanda wa EAC.

Hivyo basi kufuatia neema hiyo ya kuanza kushughulikiwa kwa uwanja wetu wa ndege tutashuhudia watu wengi wa nyanja mbalimbali wakinufaika na kukamilika kwa project iyo; wakulima, wavuvi, na wafanya biashara wa matunda nk.
embu tupe picha za overview itakavyokua
 
Back
Top Bottom