Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,369
- 33,015
Sasa nani anaishi Tandale? That's too mean to me.Hizi unazifananisha na zile za tandale kwa tumbo..
Sasa nani anaishi Tandale? That's too mean to me.Hizi unazifananisha na zile za tandale kwa tumbo..
Huku kwenye milima wa juu anamnyea wa chini😭Hizi unazifananisha na zile za tandale kwa tumbo..
Nani kakwambia naishi Dar? Naona unang'ang'ania sasa kualzimisha niishi Dar😀😀System ya maji taka Mwauwasa wapo vizuri si kama hao Dawasa wasio hata na ofisi ya maana...
Sasa mbona huko mlimani hawaumwi magonjwa ya mlipuko ka kipindu....? Sewage system ya mkoa wenu inaingia mara kumi mwanza...Nani kakwambia naishi Dar? Naona unang'ang'ania sasa kualzimisha niishi Dar😀😀
Ukiacha system ya maji taka kati ya jiji Mwanza hamna hiyo system huko pembeni. Vyoo vipo vilimani tu hamna lolote
Ukuwa wa sawage system inategemea na ukubwa wa mji. Mwanza pamoja na ukubwa wote ipo ndani ya mikoa 5 bora kwa umasikini nchini. Huo mfumo wa maji taka upo hapo mjini tu tena ni ule alioweka mkoloni. Mwanza kama Dar tu slums ni 95% ya makazi ya watu.Sasa mbona huko mlimani hawaumwi magonjwa ya mlipuko ka kipindu....? Sewage system ya mkoa wenu inaingia mara kumi mwanza...
Tatizo watu hamjui kutofautisha kati ya mkoa wa mwanza na jiji la mwanza...Huo umaskini ni kwa mkoa... Hizo asiimia 95% ya makazi ambazo ni slums zipo maeneo gani ndani ya jiji...?Ukuwa wa sawage system inategemea na ukubwa wa mji. Mwanza pamoja na ukubwa wote ipo ndani ya mikoa 5 bora kwa umasikini nchini. Huo mfumo wa maji taka upo hapo mjini tu tena ni ule alioweka mkoloni. Mwanza kama Dar tu slums ni 95% ya makazi ya watu.
embu tupe picha za overview itakavyokuaGood afternoon wadau
After ujio wa Rais Magufuli Mwanza; government has embarked on a sh 96bn project for the expansion and upgrading of mwanza Aiport to international standards.
Ukiangalia kwa haraka unaweza sema Mwanza wamechelewa mno kwenye kurekebisha miundombinu yake ili kuendana na kasi ya ukuaji wa biashara inyodhihirika miongoni mwa nchi zetu za ukanda wa EAC.
Hivyo basi kufuatia neema hiyo ya kuanza kushughulikiwa kwa uwanja wetu wa ndege tutashuhudia watu wengi wa nyanja mbalimbali wakinufaika na kukamilika kwa project iyo; wakulima, wavuvi, na wafanya biashara wa matunda nk.
Mradi wa kimkakatiHivi huu uwanja bado unajengwaga tuuu