Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Hahahahaaaa we si ulimwaga Excellent kisa Uporoto?
Hahahhaaaa usitupe mbachao...
mwambie huyo, hajui mume wa mtu sumu. Atakojoa dagaa.
Hahahahaaaa we si ulimwaga Excellent kisa Uporoto?
Hahahhaaaa usitupe mbachao...
Teh ntakuja mwenyewe tu coz najua wewe mgomvi sanana uje peke yako lol
Hahahahaaa halafu mbishi ananigombanisha mimi na bibie wangu lol hana hata hayamwambie huyo, hajui mume wa mtu sumu. Atakojoa dagaa.
Hehehe! Nikisema mimi naambiwa wifi hunipendi...
afu ujue toka majuzi kakako alivoenda kwenye zarura hajarudi mpaka wa leo? Nzuri zaidi hata simu yake haipatikani...
Hahahahaaa sasa ndo muongee na swahiba wetu Kabakabana muweke mambo sawa coz mikataba ya Kaby siielewiMswalie mtume we b52, Uporoto shemeji yangu wa damu, toka ntoke!
Bora umwambie wifi.chaaa,koma wee nitonye ni kaka'ngu toka ntoke.
na awe ameshaagiza nyama choma na ndiziKwa hasira tufuate Moshi mjini kabisa...lol.
Na huwezi kumpata saa hizi....utakuta keshaenda mahali....halafu mbona akiwa hapatikani na nanii pia hapatikani?kunanini?kama uporoto hapatikani kabisaa yani mpaka naumwa kichwa jamani
mwambie huyo, hajui mume wa mtu sumu. Atakojoa dagaa.
Mtakuja nazo huko huko....kwanza jumamosi ni mnada Tengeru..hahahaha aa tunaanzia pale kwanza kwa nyama za wamasai lol km una kinyaa inakula kwakona awe ameshaagiza nyama choma na ndizi
Hahahahaaa halafu mbishi ananigombanisha mimi na bibie wangu lol hana hata haya
Si nilikuambia we ni mwizi ukabisha? Duh we nomaaaaawifi si ulisema mmeachana,tutakubaliana kwa amani,sasa haya yanatokea wapi?
Utakuja kutupokea Moshi au huji tutafute mtu mwingine...hahaha!Hahahahaaa sasa ndo muongee na swahiba wetu Kabakabana muweke mambo sawa coz mikataba ya Kaby siielewi
Kwa hilo sahau.....hapa Ni milele daima km Marlowmtaachana hata kabla sijawa na hilo wazo la kuwagombanisha
Hahahahaaa sasa ndo muongee na swahiba wetu Kabakabana muweke mambo sawa coz mikataba ya Kaby siielewi
Kwa wewe ntakuja hata ukitaka nije Mwanga ntakuja mama Nitonye coz namuheshimu sana ndugu yangu huyuUtakuja kutupokea Moshi au huji tutafute mtu mwingine...hahaha!
Hahahahaaa halafu mbishi ananigombanisha mimi na bibie wangu lol hana hata haya
Iyabidi uiandike kwa pencel maana itakuwa na maeneo mengi sana ya Ku-edit,hata wewe naweza kukutumia proposal kama unataka kuielewa.
Bora umwambie wifi.
Naamini anasikia hapa..ila tatizo mgumu sana kuelewa...sijui ni makusudimwambie ashindwe na alegee. Lol.