Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
- Thread starter
- #41
Teh utashangaaaa wanjanja hao washakuzidi kete na huna hata hela ya kula leo....
njoo uchukue buku ya mchana....lol ule hata ubuyu tu
na laki tatu ya lunch usiku ndo sina,pyaaa ubuyu mpelekee amyner.