Mkuu, Marekani waliwapa Russia warning la shambulizi dakika 30 in advance lakini Russia hakuwa na muda wa kujibu au kuruhusu shambulizi hilo.
Njia hii ya mawasiliano yaitwa "preliminary communication" au PRECOM yaani kunapokuwa na sintofahamu katika anga kama la Syria kunakuwa na kuhakikisha vifaa, eneo linaloegeshwa ndege au facility lipo OK.
Majeshi ya anga ya Marekani na Russia, wanayo hii njia ambayo wanatumia kuambizana kuepusha ndege kugongana au kama kuna tatizo kama la makombora kutupwa.
Pili, Russia wamezima njia hii ya mawasiliano leo baada ya shambulizi hili na siyo kabla na hii imethibitishwa na KREMLIN.
Kwa sasa hakuna njia ya mawasiliano na yoyote atakaefanya chochote atakutana na Russia amejiandaa vizuri zaidi.