Trump launches military strike against Syria

Trump launches military strike against Syria

Russia says it has formally notified the Pentagon that as of 21:00 GMT on Fridany their air forcehotline for Syrian airspace will close down.It also sent a frigate armed with cruise missiles, the Admiral Grigorovich, from the Black Sea to the Eastern Mediterranean on Friday, in what may be a routine move.
 
Assad anataka kufanana na baadhi ya viongozi flan hv wa bara flan hv.....Six yrs war.....mwisho wake upo tuu...vita ya 3 ni ngumu...na Assad atauawa soon.....hakuna cha Russia wala mtu gani mbele ya USA......ila kwa akili ya kawaida ya kibinadamu waweza fikiri vyovyote.....fikiria kivingine hahaaaaa.
Ni sawa lakini kumbuka Moscow haitapenda kushindwa..itainesha ubabe wake kwa hili....as said Damascus na Moscow wanaelewana sana...Russia wametoa tamko tayari
 
Mnao andika hapa mnaongea mengi sana. Lazima mfaham kabla ya USA kushambulia Syria. Russian alikuwa wameisha pewa habari na USA na Russian walisha mpaa habari Syria kuwa USA atashambulia uwanje ule wa ndege za kivita. Ukweli hii ni film ya kihindi unless kuna wajinga ndio watadhani tofauti na hapo.
 
Dunia ya leo vita ni pesa,urussi hawana pesa.....ile missile moja ya US ni aproximately $1.5M,kwenye ile meli zipo missiles zaidi ya 1000
 
Je, Russia wanatakaa kimya wakati rafiki yao anabamizwa? kama wataamua kurudisha mashambulizi je, ndiyo itakuwa hatua za mwanzo za vita kuu ya tatu duniani!? CNN wanadai kabla ya mashambulizi kuanza rasmi, Russia walijulishwa kuhusu mashambulizi hayo.
Alijulishwa tu,kwamba tunashambulia.Hakuonbwa ruhusa.Alijulishwa
 
Dunia ya leo vita ni pesa,urussi hawana pesa.....ile missile moja ya US ni aproximately $1.5M,kwenye ile meli zipo missiles zaidi ya 1000
huku kwetu ulanzi ni 100 tu...bila shaka ukifika Pentagon utakuwa 1m tsh
 
sc58e7601f.jpg
hv58e7602f.jpg
[Elungata][HASHTAG]#Elungata[/HASHTAG][/HASHTAG]
 
Russian PM Warns U.S. and Russia ‘On Verge of Conflict’ Over Syria

Prime minister Dmitry Medvedev warned on Facebook that Washington and Moscow were "on the verge' of conflict in a crystal clear warning to President Trump: don't attack Russia's allies again.
 
usiingize mambo ya Bible hapa. pia jua kuwa goliathi hakuuawa na daudi, aliuawa kwa nguvu za Mungu. nguvu ya Mungu pekee ndio iliyomuua adui wa waisrael, na goliati alikuwa mpalestina wa Gaza,kama angekuwa hai leo angekuwa hamas, na Mungu kuwatetea watu wake ndio akamtumia kijana mdogo kabisa. ukija upande wa Mungu alishaahidi hatakuja kuwatupa israel, hivyo anayepambana na israel ni adui wa Mungu. syria ni adui wa israel siku zote na wamekuwa wakiwafund hezborah, Mungu anawaumbua na kuwasambaratisha ili israel ibaki na amani.

urusi imetabiriwa hadi kwenye Bible, hilo taifa la kaskazini kuwa litakuja kwa nguvu kubwa kuisambaratisha israel na kuifuta toka kwenye uso wa dunia, lakini Mungu atawapiga kwa mvua ya mawe na radi hadi watakufa robo tatu. russia wataungana na mataifa ya kiarabu hayohayo dhidi ya israel, na hakuna taifa litakalowakuwa na uwezo kupamana na jeshi hilo, hata marekani hatakuwa na uwezo, ila Mungu ndio atajitwalia utukufu. al magedoni na gogu na magogu kasomeni.
Taifa hili la wa-israel fake au lipi??
 
Naona mambo mengi unayoongelea nimekwishayazungumzia.

Marekani hakuomba kibali na wala hakusubiri kupewa kibali kushambulia mahali hapo.Sasa Mkuu hapo ndio umeongea nini?? hakuomba kibali bado unasema tena hakusubiri kupewa kibali,Which is which?/

Alichofanya ni kuwajulisha au kuionya Russia, na NATO kwamba alikuwa akijiandaa kurusha makombora.Huelewiki?

Katika masuala ya vita vya angani mara nyingi kunakuwa na njia moja ya mawasiliano wanayoitumia na ndiyo maana Russia akafanya evacuation ya skari wake walokuwapo kwenye hiyo sehemu.
 
Kula tu mwili wa bwana wako hakuna shobo..[emoji4] kakuweka mkao gani?! Hayo tuyaache dogo kwa raha zako...[emoji117] turudi kwenye Uzi..[emoji4]
tungeongea kiuswazi inapendeza dogo..nakuuliza swali kiuswazi [emoji117] ili ushinde vita yeyote vitu gani lazima uwe navyo?
uwe na haya au vitu hivi:
1. Kusema uongo na propaganda ya nguvu. (kama dhana ya u3)
2. Kuwaambia wapinzani wako(utakawapiga) na kwamba "ukipigwa la kulia geuza la kushoto"
3. Kuwa na wasemaji kwenye media muda wote ili kufanya spin( kupiga sound)
4. Kuwaaminisha unaowaongoza kwamba "unajitambua" na utawatumbua kwa kupenda au kwa shuruti.
6. Uwe na kama ile kitu alioneshwa Nape alipouliza kitambulisho siku ile.

Yapo mengi hayo niliyoyaorodhesha ni machache tu.

Au wewe una mawazo tofauti? Yepi hayo?

Tukirudi kwenye kula mwili wa bwana na mkao gani. Ni mkao ule ule tu wa wachunga kondoo wanaowafundisha kondoo "dogo dogo" za bwana seminari.
 
Unaona inavyo pendeza kuongea kiuswazi...[emoji47] [emoji4] Mimi nakuhakikishia kuna mambo matatu tu ambayo unaweza kupanga vita na ukashinda..[emoji117] 1 UCHUMI WAKO UWE IMARA [emoji117] 2 WATU...[emoji117] SILAHA...Hayo ndio yanabeba ushindi kwenye uwanja wa vita..[emoji123] [emoji106] kama huna hayo usithubutu kuanzisha [emoji38] hayo uliyo sema yanabebwa humo..nimekosea wapi?!

Nimecheka hadi basi...hiyo ya dogo Dogo..[emoji38] kwani hujui wamemgeza muhammad hatma nabiyna wa ibilisi..[emoji15] na ameagiza kwa kinywa chake kwamba mumgeze..[emoji4] sasa waisilamu wanamgeza kula vihindi vichanga na kibunzi..nikuulize kama wewe muislamu hicho ulicho andika unapigia debe miratul rasul ya lagad kana rasu...au unalaani vitendo hivyo...[emoji47] [emoji4]
Twende kiuswazi uswazj mukulu...
Rudi Mirembe wakusaidie. 😀😀😉
 
[emoji15] [emoji4] umefikia hapo nonda tulikuwa tunajadilia vizuri mbona [emoji38] [emoji38] ni miratul rasul eeh?!
nonda walahi ukija kwangu sitakuamini kuwakaribia wanangu wadogo hata wa kiume..[emoji4] nikikuona umesha anza sound ya shemegi, shemegi, lazima uchukue bakora za makalio usepe, usije ukamgeza babu la vihindi vichanga[emoji38]
Wewe umeasi ukatoliki kama yule Dr. Mihogo-maharage? Umewapata vipi hao watoto wakati wewe ulikula kiapo cha celibercy? Wacha vituko. 😀😀😉
 
tatizo lenu unapogusiwa mambo ya mtoto umesha kimbilia kwenye kungonoka...hata misemo isemayo mtoto wa mwenzio ni sawa na mwanao [emoji106] athari za kumuiga muhammad hata pale alipo sema yeye sio baba wa yeyote ktk wake zenu..[emoji38] [emoji38] hili babu lilikuwa na uchu kinoma[emoji13]
Hukuliona swali?Nimekuuliza: Umeasi ukatoliki? Au uliasi kiapo cha utawa/celibercy?
Una watoto/ dogo dogo ngapi?
 
Hata wewe mwanangu...sema humu kama niliwahi kukufanya kama abdul kassim alivyo mfanya binti asdiq...
Ulifundishwa na nani hayo unayoyafanya? Paulo au Papa?
Walikufanyia?😀😉

Ukiona gari aina ya Noah kimbia.🙂
 
Nonda wewe mwanazuoni[emoji122] [emoji122] hebu ktk kudukua ilimu Islam babu ibn kassim alimuweka mkao gani wakti anamshughulikia? kwa ilimu uliyo nayo lazima unajua ust nonda [emoji4]
Link Syria's Assad says chemical attack evidence 'fabricated' in interview

Syria's President Bashar-al Assad says reports of a chemical attack by his forces were "100% fabrication".

In an exclusive video interview with Agence France-Presse, he said "there was no order to make any attack".

More than 80 people were killed in the rebel-held town of Khan Sheikhoun on 4 April, and hundreds suffered symptoms consistent with a nerve agent.

Witnesses said they saw warplanes attack the town but Russia says a rebel depot of chemical munitions was hit.

Shocking footage showed victims - many of them children - convulsing and foaming at the mouth.

Sufferers were taken to hospitals across the border in Turkey, which opposes Mr Assad. Turkey has since said it has "concrete evidence" that the nerve agent Sarin was used.

Mr Assad told the AFP news agency that the Syrian government gave up its arsenal of chemical weapons in 2013, adding "even if we have them, we wouldn't use them".

However, since 2013, there have been continued allegations that chemicals such as chlorine and ammonia have been used against civilians in the ongoing civil war. The Syrian government has repeatedly denied using them, blaming rebel groups in some instances.

Source: BBC, Middle East section.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom