Adiosamigo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 10,635
- 14,029
Leo kaja na mpya eti Iran kakubali masharti 15 Iran wakasema huyu dunia nzima wameisha muona hayuko sawa ghafla ka tweet Iran asipofungua Hormuz tapiga power station zote na visima vya mafuta hahaha kweli huyu kisha changanyikiwa hata USA wanasema akapimwe akili zake