MAREKANI: Sera za Kutegemea umaarufu wa Trump kushinda Uchaguzi zinakwenda kukisambaratisha Chama che Cha Republican

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Sep 25, 2018
1,114
3,768
Trump analaumiwa kwa agenda zake kukisababishia Chama chake Cha Republican kushindwa kushinda Mabunge yote Mawili (Congress & Senate).

Kwa kawaida Uchaguzi wa katikati ya Mhula (Midterms Elections) Chama kilichoko madarakani kilikuwa lazima kipoteze udhibiti wa Mabunge yote Mawili. Kipindi Cha utawala wa Trump Chama chake Cha Republican kilichukua udhibiti wa Senate na Congress wakati wa Uchaguzi mkuu Mwaka 2016. Lakini Ulipofika Uchaguzi wa Midterms wa Kati Kati ya Muhula,Chama Cha Trump kilinyang'anywa udhibiti wa Mabunge yote 2.

Lakini Kutokana na Chama Cha Republican kuendelea kutegemea Popularity ya Trump na Sera za ubaguzi sasa Chama kimepigwa Chini kwenye Senate. Mpaka Sasa Democrats wanadhibiti wingi wa Viti kwenye Senate kinyume wa matarajio ya wengi. Kule kwenye Congress Mpaka Sasa Democrats Wana Viti 203 dhidi ya 211 walivyopata Republicans na Kura zinaendelea kuhesabiwa kwenye majimbo ya California,Arizona na Ohio.

Kama Republicans wataendelea kumchekea Trump kwa Sera zake za Kiumaarufu (Popularity) basi iko wazi hata Uchaguzi mkuu wa 2024 wanaweza wakapigwa Chini.
 
It shows you dont know sh*t about American politics. vipi kuhusu universal mail-in ballots,watu kuhesabu kura siku nne mfululizo kwenye swing states,toka jnne mpaka leo bado watu wanahesabu kura.. Bado hujaongelea turnout?
 
Umenena vyema sana .Ila kaka huwezi kaa mbali na populality kwa siasa .wema sepetu alipohamia chadema alipokelewa kwa mbwembwe ni walicheza na populity,kumbuka ccm inajua wasanii wanafiki ila kimkakati hawakqi nao mbali
 
It shows you dont know sh*t about American politics. vipi kuhusu universal mail-in ballots,watu kuhesabu kura siku nne mfululizo kwenye swing states,toka jnne mpaka leo bado watu wanahesabu kura.. Bado hujaongelea turnout?
Sasa hiki ulichokiandika kinahusiana Vipi na maada yangu hapo juu? Mimi naongelea matokea ya Midterms Election harafu wewe unaongea vitu tofauti vya Barrot Votes hauoni Kama unajiaibisha?

Marekani Kila Jimbo linasheria zake za Uchaguzi. Kuna majimbo yanaruhusu Mail Barrots,Early votes na postal votes. Lakini Kuna majimbo mengine hayaruhusu Mambo hayo. Yote kwa yote,Kila Jimbo lazima litoe matokeo kwa mjibu wa Sheria na matokeo hayo humuonesha mshindi anatoka Chama gani.

Mpaka Sasa Chama Cha Trump Cha Republican kimepoteza udhibiti wa Senate licha ya matokeo ya Jimbo la Georgia kusubili Run-off mwezi desemba Kutokana na kukosekana mgombea aliyefikisha 50% ya kura zote za Jimbo Hilo.

Bunge la Senate Lina jumla ya Viti 100. Mshindi lazima apate Viti 51 au zaidi. Mpaka Sasa Democrats Wana Viti 50 na Republican Wana Viti 49. Kwahiyo Hakuna uwezekano Tena wa Republican kufikisha Viti 51 make kimebaki kiti 1 Cha Senator kwenye Jimbo la Georgia.

Endapo Kwenye Run-Off Ya Jimbo la Georgia,Republican watashinda basi Kutakuwa na 50%-50% kwenye Senate. Kwa mjibu wa Katiba ya Marekani,Endapo Vyama vitalingana idadi ya Kura kwenye Senate (50-50) basi Makamu wa Rais hupiga Kura moja Kama Senator kwenye Chama anachotoka. Kwa maana hiyo Kamala Harris ambaye Ni Democrats atasababisha Democrats wawe na wingi wa kura hata Kama Republican watashinda kiti Cha Useneta kwenye Jimbo la Georgia.
 
Sasa hiki ulichokiandika kinahusiana Vipi na maada yangu hapo juu? Mimi naongelea matokea ya Midterms Election harafu wewe unaongea vitu tofauti vya Barrot Votes hauoni Kama unajiaibisha?

Marekani Kila Jimbo linasheria zake za Uchaguzi. Kuna majimbo yanaruhusu Mail Barrots,Early votes na postal votes. Lakini Kuna majimbo mengine hayaruhusu Mambo hayo. Yote kwa yote,Kila Jimbo lazima litoe matokeo kwa mjibu wa Sheria na matokeo hayo humuonesha mshindi anatoka Chama gani.

Mpaka Sasa Chama Cha Trump Cha Republican kimepoteza udhibiti wa Senate licha ya matokeo ya Jimbo la Georgia kusubili Run-off mwezi desemba Kutokana na kukosekana mgombea aliyefikisha 50% ya kura zote za Jimbo Hilo.

Bunge la Senate Lina jumla ya Viti 100. Mshindi lazima apate Viti 51 au zaidi. Mpaka Sasa Democrats Wana Viti 50 na Republican Wana Viti 49. Kwahiyo Hakuna uwezekano Tena wa Republican kufikisha Viti 51 make kimebaki kiti 1 Cha Senator kwenye Jimbo la Georgia.

Endapo Kwenye Run-Off Ya Jimbo la Georgia,Republican watashinda basi Kutakuwa na 50%-50% kwenye Senate. Kwa mjibu wa Katiba ya Marekani,Endapo Vyama vitalingana idadi ya Kura kwenye Senate (50-50) basi Makamu wa Rais hupiga Kura moja Kama Senator kwenye Chama anachotoka. Kwa maana hiyo Kamala Harris ambaye Ni Democrats atasababisha Democrats wawe na wingi wa kura hata Kama Republican watashinda kiti Cha Useneta kwenye Jimbo la Georgia.
Umeeleza vyema
 
Sasa hiki ulichokiandika kinahusiana Vipi na maada yangu hapo juu? Mimi naongelea matokea ya Midterms Election harafu wewe unaongea vitu tofauti vya Barrot Votes hauoni Kama unajiaibisha?

Marekani Kila Jimbo linasheria zake za Uchaguzi. Kuna majimbo yanaruhusu Mail Barrots,Early votes na postal votes. Lakini Kuna majimbo mengine hayaruhusu Mambo hayo. Yote kwa yote,Kila Jimbo lazima litoe matokeo kwa mjibu wa Sheria na matokeo hayo humuonesha mshindi anatoka Chama gani.

Mpaka Sasa Chama Cha Trump Cha Republican kimepoteza udhibiti wa Senate licha ya matokeo ya Jimbo la Georgia kusubili Run-off mwezi desemba Kutokana na kukosekana mgombea aliyefikisha 50% ya kura zote za Jimbo Hilo.

Bunge la Senate Lina jumla ya Viti 100. Mshindi lazima apate Viti 51 au zaidi. Mpaka Sasa Democrats Wana Viti 50 na Republican Wana Viti 49. Kwahiyo Hakuna uwezekano Tena wa Republican kufikisha Viti 51 make kimebaki kiti 1 Cha Senator kwenye Jimbo la Georgia.

Endapo Kwenye Run-Off Ya Jimbo la Georgia,Republican watashinda basi Kutakuwa na 50%-50% kwenye Senate. Kwa mjibu wa Katiba ya Marekani,Endapo Vyama vitalingana idadi ya Kura kwenye Senate (50-50) basi Makamu wa Rais hupiga Kura moja Kama Senator kwenye Chama anachotoka. Kwa maana hiyo Kamala Harris ambaye Ni Democrats atasababisha Democrats wawe na wingi wa kura hata Kama Republican watashinda kiti Cha Useneta kwenye Jimbo la Georgia.
ona huyu! unanipa historia ya senate na wingi wa viti vyake.. ukiwa unatoa autopsy ya uchaguzi uwe unajua unachokiongea, hizo mail in ballots especially unsolicited ones ziliwekwa kipindi cha Covid, Marc Elias mwanasheria wa Democrats aliongoza hiyo effort kwenye swing state mbali mbali mwanzo wa mwaka 2020 kwa kisingizio kuwa watu wataogopa kupiga kura kwenye mstari during election day.
Matokeo yake 2020, countys za uchaguzi kama Fulton County(Georgia), Milwaukee(Wisconsin), Maricopa(Arizona). Philadephia (Pennsylvania), Detroit(michigan), Clark Country (nevada) walianza kuokota mail-ins at an unprecedented rate usiku wa manane when everyone was asleep;na hii na baada ya margin za Election Days kuwa kubwa kuliko walivyotegemea.

Litigation za ndg Trump zilishindwa katika kila level because ya 'latches' argument from Multiple judges meaning huwezi ku-argue kwasababu the event has already passed all they can do is improve the future, rejea maamuzi ya supreme court ya Wisconsin 2020 ambapo kimuhtasari walisema a lot of ballots and the practice of unsolicited ballots including ballot harvesting were illegal but they failed to argue it before uchaguzi.. Mfano mwingine ni Nevada ambapo kabla ya uchaguzi wa 2020, walipunguza accuracy za signature verification kwenye kura mpaka asilimia 40%(that sounds suspicious doesn't it?). Also Fulton County 2020 baada ya kuhesabu kura usiku na Trump kuonekana kushinda, wakakata camera ghafla, kisingizio chao hichi apa (GDPR Support) alafu ghafla asubuhi wakapata mail-in ballot 100000+ which broke 90-10 to Biden. Pengine ni Michigan ambapo baadhi ya precincts za uchaguzi zilikuwa na overvotes,yani watu waliosajiliwa kupiga kura kwenye kituo husika wamezidi kwa asilimia 140%, sehemu nyingine kuna watu walikufa miaka ya 80 ila inaonekana walipiga kura

Also sasa hivi kuna kitu kinaitwa ballot curing ambapo. hii huwa inatokea kama unafuatwa nyumbani kwako kuambiwa if ulikosea signature kwnye kura, the problem is Democrats wanatumia viongozi wa unions tofauti tofauti kufuata watu nyumbani kwao na sometimes mabosi wao, mfano hujapiga kura lkini unajikuta ulishapigiwa kura lakini mashine iliikataa kura yako b'se signature haijamatch..Then unafuata nyumbani bosiwako wa kazini kuambiwa ni kura yako au la.. this is happening right now in Nevada.

Na hii michezo sio kwamba Democrats wanaicheza peke yako,la hasha! hata baadhi ya Republicans kama Mitch Mcconell huko Kentucky, Kevin McCarthy na baadhi ya districts huko California,wame-master hii michezo..

There is a consensus kwamba there is a uniparty in Washigton DC, where levers of powers will always change hands b'se they all have the same goal. Global Domination. Trump,although an imperfect vessel threatened this. ndio maana kuna "Conspiracy theories" floating around ya kuwa there was a bipartisan effort ya kumuondoa ili asipange tena kugombea 2024.. The problem is they underestimate the ego the man has, and he will run in 2024 barring an unforeseen event e.g health condition.

and if he runs again he will 'loose' because he will not surprise anybody like 2016, he will loose even in the primaries ,they wont let him get to the general,b'se civil war itatokea..

Kosa la GOP ni kuendelea kuishi kwnye sheria za zamani za uchaguzi, lakini na 2024 baadhi wameshajifunza, and it is going to be crazy in 2024. Mark my words!
 
Napita tu
download.jpg
 
ona huyu! unanipa historia ya senate na wingi wa viti vyake.. ukiwa unatoa autopsy ya uchaguzi uwe unajua unachokiongea, hizo mail in ballots especially unsolicited ones ziliwekwa kipindi cha Covid, Marc Elias mwanasheria wa Democrats aliongoza hiyo effort kwenye swing state mbali mbali mwanzo wa mwaka 2020 kwa kisingizio kuwa watu wataogopa kupiga kura kwenye mstari during election day.
Matokeo yake 2020, countys za uchaguzi kama Fulton County(Georgia), Milwaukee(Wisconsin), Maricopa(Arizona). Philadephia (Pennsylvania), Detroit(michigan), Clark Country (nevada) walianza kuokota mail-ins at an unprecedented rate usiku wa manane when everyone was asleep;na hii na baada ya margin za Election Days kuwa kubwa kuliko walivyotegemea.

Litigation za ndg Trump zilishindwa katika kila level because ya 'latches' argument from Multiple judges meaning huwezi ku-argue kwasababu the event has already passed all they can do is improve the future, rejea maamuzi ya supreme court ya Wisconsin 2020 ambapo kimuhtasari walisema a lot of ballots and the practice of unsolicited ballots including ballot harvesting were illegal but they failed to argue it before uchaguzi.. Mfano mwingine ni Nevada ambapo kabla ya uchaguzi wa 2020, walipunguza accuracy za signature verification kwenye kura mpaka asilimia 40%(that sounds suspicious doesn't it?). Also Fulton County 2020 baada ya kuhesabu kura usiku na Trump kuonekana kushinda, wakakata camera ghafla, kisingizio chao hichi apa (GDPR Support) alafu ghafla asubuhi wakapata mail-in ballot 100000+ which broke 90-10 to Biden. Pengine ni Michigan ambapo baadhi ya precincts za uchaguzi zilikuwa na overvotes,yani watu waliosajiliwa kupiga kura kwenye kituo husika wamezidi kwa asilimia 140%, sehemu nyingine kuna watu walikufa miaka ya 80 ila inaonekana walipiga kura

Also sasa hivi kuna kitu kinaitwa ballot curing ambapo. hii huwa inatokea kama unafuatwa nyumbani kwako kuambiwa if ulikosea signature kwnye kura, the problem is Democrats wanatumia viongozi wa unions tofauti tofauti kufuata watu nyumbani kwao na sometimes mabosi wao, mfano hujapiga kura lkini unajikuta ulishapigiwa kura lakini mashine iliikataa kura yako b'se signature haijamatch..Then unafuata nyumbani bosiwako wa kazini kuambiwa ni kura yako au la.. this is happening right now in Nevada.

Na hii michezo sio kwamba Democrats wanaicheza peke yako,la hasha! hata baadhi ya Republicans kama Mitch Mcconell huko Kentucky, Kevin McCarthy na baadhi ya districts huko California,wame-master hii michezo..

There is a consensus kwamba there is a uniparty in Washigton DC, where levers of powers will always change hands b'se they all have the same goal. Global Domination. Trump,although an imperfect vessel threatened this. ndio maana kuna "Conspiracy theories" floating around ya kuwa there was a bipartisan effort ya kumuondoa ili asipange tena kugombea 2024.. The problem is they underestimate the ego the man has, and he will run in 2024 barring an unforeseen event e.g health condition.

and if he runs again he will 'loose' because he will not surprise anybody like 2016, he will loose even in the primaries ,they wont let him get to the general,b'se civil war itatokea..

Kosa la GOP ni kuendelea kuishi kwnye sheria za zamani za uchaguzi, lakini na 2024 baadhi wameshajifunza, and it is going to be crazy in 2024. Mark my words!
Nikuulize tu swali dogo make naona unakwenda nje ya habari niliyoileta hapa;

Je,Unakataa kwamba Democrats hawajadhibiti Bunge la Senate kwa kupata Viti 50 dhidi ya 49 ya vile vya Republican kwenye huu Uchaguzi wa Midterm?
 
ona huyu! unanipa historia ya senate na wingi wa viti vyake.. ukiwa unatoa autopsy ya uchaguzi uwe unajua unachokiongea, hizo mail in ballots especially unsolicited ones ziliwekwa kipindi cha Covid, Marc Elias mwanasheria wa Democrats aliongoza hiyo effort kwenye swing state mbali mbali mwanzo wa mwaka 2020 kwa kisingizio kuwa watu wataogopa kupiga kura kwenye mstari during election day.
Matokeo yake 2020, countys za uchaguzi kama Fulton County(Georgia), Milwaukee(Wisconsin), Maricopa(Arizona). Philadephia (Pennsylvania), Detroit(michigan), Clark Country (nevada) walianza kuokota mail-ins at an unprecedented rate usiku wa manane when everyone was asleep;na hii na baada ya margin za Election Days kuwa kubwa kuliko walivyotegemea.

Litigation za ndg Trump zilishindwa katika kila level because ya 'latches' argument from Multiple judges meaning huwezi ku-argue kwasababu the event has already passed all they can do is improve the future, rejea maamuzi ya supreme court ya Wisconsin 2020 ambapo kimuhtasari walisema a lot of ballots and the practice of unsolicited ballots including ballot harvesting were illegal but they failed to argue it before uchaguzi.. Mfano mwingine ni Nevada ambapo kabla ya uchaguzi wa 2020, walipunguza accuracy za signature verification kwenye kura mpaka asilimia 40%(that sounds suspicious doesn't it?). Also Fulton County 2020 baada ya kuhesabu kura usiku na Trump kuonekana kushinda, wakakata camera ghafla, kisingizio chao hichi apa (GDPR Support) alafu ghafla asubuhi wakapata mail-in ballot 100000+ which broke 90-10 to Biden. Pengine ni Michigan ambapo baadhi ya precincts za uchaguzi zilikuwa na overvotes,yani watu waliosajiliwa kupiga kura kwenye kituo husika wamezidi kwa asilimia 140%, sehemu nyingine kuna watu walikufa miaka ya 80 ila inaonekana walipiga kura

Also sasa hivi kuna kitu kinaitwa ballot curing ambapo. hii huwa inatokea kama unafuatwa nyumbani kwako kuambiwa if ulikosea signature kwnye kura, the problem is Democrats wanatumia viongozi wa unions tofauti tofauti kufuata watu nyumbani kwao na sometimes mabosi wao, mfano hujapiga kura lkini unajikuta ulishapigiwa kura lakini mashine iliikataa kura yako b'se signature haijamatch..Then unafuata nyumbani bosiwako wa kazini kuambiwa ni kura yako au la.. this is happening right now in Nevada.

Na hii michezo sio kwamba Democrats wanaicheza peke yako,la hasha! hata baadhi ya Republicans kama Mitch Mcconell huko Kentucky, Kevin McCarthy na baadhi ya districts huko California,wame-master hii michezo..

There is a consensus kwamba there is a uniparty in Washigton DC, where levers of powers will always change hands b'se they all have the same goal. Global Domination. Trump,although an imperfect vessel threatened this. ndio maana kuna "Conspiracy theories" floating around ya kuwa there was a bipartisan effort ya kumuondoa ili asipange tena kugombea 2024.. The problem is they underestimate the ego the man has, and he will run in 2024 barring an unforeseen event e.g health condition.

and if he runs again he will 'loose' because he will not surprise anybody like 2016, he will loose even in the primaries ,they wont let him get to the general,b'se civil war itatokea..

Kosa la GOP ni kuendelea kuishi kwnye sheria za zamani za uchaguzi, lakini na 2024 baadhi wameshajifunza, and it is going to be crazy in 2024. Mark my words!
Kama uliyoandika hapa ni kweli basi wale wanaoikosoa Tanzania kwenye uchaguzi na kuisifia marekani basi akili za utumwa zipo kwa kiwango cha juu sana

Ila kama tu uliyoandika hapa ni ya kweli.
 
Back
Top Bottom