Trump anachanja mbuga mbele ya Hillary

Trump anachanja mbuga mbele ya Hillary

Lini na wapi?

Naomba nukuu na chanzo kutoka kwenye credible media entity, tafadhali.

Kusema tu alisema hivi au vile haitoshi.

Watu mko wepesi sana kuingia mkenge na mambo ya kizushi.

Sasa kukata mzizi wa fitna, naomba niwekee hapa vyanzo kutoka kwenye vyombo vya habari vya kuaminika na si viblogu vya mambo ya satire.

Haiwezekani kabisa katika msimu wote huu wa kampeni, kusitokee hata mpinzani wake mmoja kuanzia kwenye chama chake hadi huyu bibi asiitumie hiyo fursa kwa kuyatumia hayo maneno unayodai aliyasema.
hahaha tumetoa hiyo CNN
 
Usitupotezee muda na ubishi wako wa kilevi, not only liberals wanaosema Trump is a racist hata respected conservative media like wallstreet wameeleza Historia yake ya kibaguzi sasa just do yourself a favor and google Trump racist comments na hiyo dola 200 yako ya Zimbabwe jiwekee hifadhi ikusaidie baadaye
Wewe kiazi, umeambiwa utoe evidence unakuja kubwabwaja ujingaz. Huna vyanzo, nyamaza kiazi we!!
 
Hapo ndipo itakapoonekana kura za hazifai na wachambuzi wengi waliosema tayari Clinton ana 270 sijui watajisikiaje
 
upload_2016-11-9_10-4-37.png

HILI KABURU LINACHUKUA NCHI KUITAWALA DUNIA! UCHAGUZI KAMA KABUMBU, HAUTABIRI!
 
MATOKEO HADI KUFIKIA SAA 10:20 ASUBUHI E.A TIME

Electoral votes Clinton 218 while 55,219,174 (47.1%) popular votes

Electoral votes Trump 266 while 56,435,390 (48.2%) popular votes

In order to win election that candidate must acquire 270 electoral votes
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom