Trump anachanja mbuga mbele ya Hillary

Trump anachanja mbuga mbele ya Hillary

Nasema nitakua wa mwisho kuamini clinton atakua rais wa marekani

Hahaaa... You must be living in your imaginary universe! Jumanne siyo mbali mkuu, keep your fingers crossed; pengine maajabu ya dunia yanaweza kutokea!
 
Hata alipo waita Black America ni wavivu na wapenda ngono nayo tuiweke au hiyo ni exclusive?

Lini na wapi?

Naomba nukuu na chanzo kutoka kwenye credible media entity, tafadhali.

Kusema tu alisema hivi au vile haitoshi.

Watu mko wepesi sana kuingia mkenge na mambo ya kizushi.

Sasa kukata mzizi wa fitna, naomba niwekee hapa vyanzo kutoka kwenye vyombo vya habari vya kuaminika na si viblogu vya mambo ya satire.

Haiwezekani kabisa katika msimu wote huu wa kampeni, kusitokee hata mpinzani wake mmoja kuanzia kwenye chama chake hadi huyu bibi asiitumie hiyo fursa kwa kuyatumia hayo maneno unayodai aliyasema.
 
Mmmh sina chanzo cha kuaminika zaidi ya whatsapp, na ndio huko nlikoziona...
Nikaja kuona kapiga picha na flaviana matata kamshika kiuno kama kashika mwiba.
Nimeomba kueleweshwa nimesema sijui kitu teh

Okay, hapo sawa.

Sasa, ni hivi.

Ni kweli kwamba Trump keshasema mambo mengi yenye utata.

Lakini hata siku moja hajawahi kutoa kauli za kibaguzi dhidi ya watu weusi.

Kuna blogu kadhaa za mambo ya satire [unajua satire ni nini?] ambazo zilichapisha maneno ambayo zilidai ni ya Trump akiwasema vibaya watu weusi na viongozi kadhaa wa nchi za Kiafrika.

Ule ulikuwa ni uzushi wa kimzaha mzaha tu na si kwamba alisema vile kweli.

Sasa kuna watu walio wajinga wakaingia mkenge na kuyaamini mazima hayo maneno na kuanza kuyasambaza kwa wajinga wenzao.

Mara nyingi wajinga wala huwa si wadadisi. Wao wakipokea taarifa ni wanameza tu kama soda vile.

Na ndo maana huwezi ukakuta chombo chochote kile cha habari ambacho kinaaminika ambacho kiliripoti hizo habari.

Na kama kipo, nitajie hapa nami nitakupa dola 200 kwa kuni prove wrong.

Haya kazi kwako.
 
Okay, hapo sawa.

Sasa, ni hivi.

Ni kweli kwamba Trump keshasema mambo mengi yenye utata.

Lakini hata siku moja hajawahi kutoa kauli za kibaguzi dhidi ya watu weusi.

Kuna blogu kadhaa za mambo ya satire [unajua satire ni nini?] ambazo zilichapisha maneno ambayo zilidai ni ya Trump akiwasema vibaya watu weusi na viongozi kadhaa wa nchi za Kiafrika.

Ule ulikuwa ni uzushi wa kimzaha mzaha tu na si kwamba alisema vile kweli.

Sasa kuna watu walio wajinga wakaingia mkenge na kuyaamini mazima hayo maneno na kuanza kuyasambaza kwa wajinga wenzao.

Mara nyingi wajinga wala huwa si wadadisi. Wao wakipokea taarifa ni wanameza tu kama soda vile.

Na ndo maana huwezi ukakuta chombo chochote kile cha habari ambacho kinaaminika ambacho kiliripoti hizo habari.

Na kama kipo, nitajie hapa nami nitakupa dola 200 kwa kuni prove wrong.

Haya kazi kwako.
Usitupotezee muda na ubishi wako wa kilevi, not only liberals wanaosema Trump is a racist hata respected conservative media like wallstreet wameeleza Historia yake ya kibaguzi sasa just do yourself a favor and google Trump racist comments na hiyo dola 200 yako ya Zimbabwe jiwekee hifadhi ikusaidie baadaye
 
Trump akishinda nitafanya sherehe nyumbani kwangu
Mi nitafurahi Trump akishinda ili awakomoe wamarekani maana akili zake ni sawa na za mh nyeupe, yaani mpenda uongozi kupitia rushwa na utapeli
 
F.ala wewe.

We ndo unaleta ubishi wa kipuumbavu kwa sababu hujui kusoma na kuelewa.

Na kuthibitisha umburula wako, nimekuomba uniwekee nukuu za hizo kauli na umeshindwa.

GTFOH.

Here’s a breakdown of Trump’s history....
  • 1973: The US Department of Justice — under the Nixon administration, out of all administrations — sued the Trump Management Corporation for violating the Fair Housing Act. Federal officials found evidence that Trump had refused to rent to black tenants and lied to black applicants about whether apartments were available, among other accusations. Trump said the federal government was trying to get him to rent to welfare recipients. In the aftermath, he signed an agreement in 1975 agreeing not to discriminate to renters of color without admitting to discriminating before.
  • 1980s: Kip Brown, a former employee at Trump's Castle, accused another of Trump's businesses of discrimination. "When Donald and Ivana came to the casino, the bosses would order all the black people off the floor," Brown said. "It was the eighties, I was a teenager, but I remember it: They put us all in the back."
  • 1988: In a commencement speech at Lehigh University, Trump spent much of his speech accusing countries like Japan of "stripping the United States of economic dignity." This matches much of his current rhetoric on China.
  • 1989: In a controversial case that’s been characterized as a modern-day lynching, four black teenagers and one Latino teenager — the "Central Park Five" — were accused of attacking and raping a jogger in New York City. Trump immediately took charge in the case, running an ad in local papers demanding, "BRING BACK THE DEATH PENALTY. BRING BACK OUR POLICE!" The teens’ convictions were later vacated after they spent seven to 13 years in prison, and the city paid $41 million in a settlement to the teens. But Trump in October said he still believes they’re guilty, despite the DNA evidence to the contrary.
  • 1991: A book by John O’Donnell, former president of Trump Plaza Hotel and Casino in Atlantic City, quoted Trump’s criticism of a black accountant: "Black guys counting my money! I hate it. The only kind of people I want counting my money are short guys that wear yarmulkes every day. … I think that the guy is lazy. And it’s probably not his fault, because laziness is a trait in blacks. It really is, I believe that. It’s not anything they can control." Trump at first denied the remarks, but later said in a 1997 Playboy interview that "the stuff O’Donnell wrote about me is probably true."
  • 1992: The Trump Plaza Hotel and Casino had to pay a $200,000 fine because it transferred black and women dealers off tables to accommodate a big-time gambler’s prejudices.
  • 2000: In opposition to a casino proposed by the St. Regis Mohawk tribe, which he saw as a financial threat to his casinos in Atlantic City, Trump secretly ran a series of ads suggesting the tribe had a "record of criminal activity [that] is well documented."
  • 2004: In season two of The Apprentice, Trump fired Kevin Allen, a black contestant, for being overeducated. "You're an unbelievably talented guy in terms of education, and you haven’t done anything," Trump said on the show. "At some point you have to say, ‘That’s enough.’"
  • 2005: Trump publicly pitched what was essentially The Apprentice: White People vs. Black People. He said he "wasn't particularly happy" with the most recent season of his show, so he was considering "an idea that is fairly controversial — creating a team of successful African Americans versus a team of successful whites. Whether people like that idea or not, it is somewhat reflective of our very vicious world."
  • 2010: Just a few years ago, there was a huge national controversy over the "Ground Zero Mosque" — a proposal to build a Muslim community center in Lower Manhattan, near the site of the 9/11 attacks. Trump opposed the project, calling it "insensitive," and offered to buy out one of the investors in the project. On The Late Show With David Letterman, Trump argued, referring to Muslims, "Well, somebody’s blowing us up. Somebody’s blowing up buildings, and somebody’s doing lots of bad stuff."
  • 2011: Trump played a big role in pushing false rumors that Obama — the country’s first black president — was not born in the US. He even sent investigators to Hawaii to look into Obama's birth certificate. Obama later released his birth certificate, calling Trump a "carnival barker."
  • 2011: While Trump suggested that Obama wasn’t born in the US, he also argued that maybe Obama wasn’t a good enough student to have gotten into Columbia or Harvard Law School, and demanded Obama release his university transcripts. Trump claimed, "I heard he was a terrible student. Terrible. How does a bad student go to Columbia and then to Harvard?"
For many people, none of these incidents, individually, would be totally damning: One of these alone might suggest that Trump is simply a bad speaker and perhaps racially insensitive (not "politically correct," as he would put it), but not overtly racist.
But when you put all these events together, a clear pattern emerges. At the very least, Trump has a history of playing into people’s racism to bolster himself — and that likely says something about him, too.
And of course, there’s his presidential campaign.
On the campaign trail, Trump has made many more racist comments......
 
Usitupotezee muda na ubishi wako wa kilevi, not only liberals wanaosema Trump is a racist hata respected conservative media like wallstreet wameeleza Historia yake ya kibaguzi sasa just do yourself a favor and google Trump racist comments na hiyo dola 200 yako ya Zimbabwe jiwekee hifadhi ikusaidie baadaye

Mbona hamnipi hizo nukuu za hayo maneno yake kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika?

Mnaishia kucheza sindimba na kukata viuno tu.

Mnashindwa nini kunipa vyanzo kama CNN au BBC vilivyoripoti kuhusu hayo maneno yake ya kibaguzi dhidi ya weusi?

Acheni longolongo, wekeni hivyo vyanzo hapa.
 
Here’s a breakdown of Trump’s history....
  • 1973: The US Department of Justice — under the Nixon administration, out of all administrations — sued the Trump Management Corporation for violating the Fair Housing Act. Federal officials found evidence that Trump had refused to rent to black tenants and lied to black applicants about whether apartments were available, among other accusations. Trump said the federal government was trying to get him to rent to welfare recipients. In the aftermath, he signed an agreement in 1975 agreeing not to discriminate to renters of color without admitting to discriminating before.
  • 1980s: Kip Brown, a former employee at Trump's Castle, accused another of Trump's businesses of discrimination. "When Donald and Ivana came to the casino, the bosses would order all the black people off the floor," Brown said. "It was the eighties, I was a teenager, but I remember it: They put us all in the back."
  • 1988: In a commencement speech at Lehigh University, Trump spent much of his speech accusing countries like Japan of "stripping the United States of economic dignity." This matches much of his current rhetoric on China.
  • 1989: In a controversial case that’s been characterized as a modern-day lynching, four black teenagers and one Latino teenager — the "Central Park Five" — were accused of attacking and raping a jogger in New York City. Trump immediately took charge in the case, running an ad in local papers demanding, "BRING BACK THE DEATH PENALTY. BRING BACK OUR POLICE!" The teens’ convictions were later vacated after they spent seven to 13 years in prison, and the city paid $41 million in a settlement to the teens. But Trump in October said he still believes they’re guilty, despite the DNA evidence to the contrary.
  • 1991: A book by John O’Donnell, former president of Trump Plaza Hotel and Casino in Atlantic City, quoted Trump’s criticism of a black accountant: "Black guys counting my money! I hate it. The only kind of people I want counting my money are short guys that wear yarmulkes every day. … I think that the guy is lazy. And it’s probably not his fault, because laziness is a trait in blacks. It really is, I believe that. It’s not anything they can control." Trump at first denied the remarks, but later said in a 1997 Playboy interview that "the stuff O’Donnell wrote about me is probably true."
  • 1992: The Trump Plaza Hotel and Casino had to pay a $200,000 fine because it transferred black and women dealers off tables to accommodate a big-time gambler’s prejudices.
  • 2000: In opposition to a casino proposed by the St. Regis Mohawk tribe, which he saw as a financial threat to his casinos in Atlantic City, Trump secretly ran a series of ads suggesting the tribe had a "record of criminal activity [that] is well documented."
  • 2004: In season two of The Apprentice, Trump fired Kevin Allen, a black contestant, for being overeducated. "You're an unbelievably talented guy in terms of education, and you haven’t done anything," Trump said on the show. "At some point you have to say, ‘That’s enough.’"
  • 2005: Trump publicly pitched what was essentially The Apprentice: White People vs. Black People. He said he "wasn't particularly happy" with the most recent season of his show, so he was considering "an idea that is fairly controversial — creating a team of successful African Americans versus a team of successful whites. Whether people like that idea or not, it is somewhat reflective of our very vicious world."
  • 2010: Just a few years ago, there was a huge national controversy over the "Ground Zero Mosque" — a proposal to build a Muslim community center in Lower Manhattan, near the site of the 9/11 attacks. Trump opposed the project, calling it "insensitive," and offered to buy out one of the investors in the project. On The Late Show With David Letterman, Trump argued, referring to Muslims, "Well, somebody’s blowing us up. Somebody’s blowing up buildings, and somebody’s doing lots of bad stuff."
  • 2011: Trump played a big role in pushing false rumors that Obama — the country’s first black president — was not born in the US. He even sent investigators to Hawaii to look into Obama's birth certificate. Obama later released his birth certificate, calling Trump a "carnival barker."
  • 2011: While Trump suggested that Obama wasn’t born in the US, he also argued that maybe Obama wasn’t a good enough student to have gotten into Columbia or Harvard Law School, and demanded Obama release his university transcripts. Trump claimed, "I heard he was a terrible student. Terrible. How does a bad student go to Columbia and then to Harvard?"
For many people, none of these incidents, individually, would be totally damning: One of these alone might suggest that Trump is simply a bad speaker and perhaps racially insensitive (not "politically correct," as he would put it), but not overtly racist.
But when you put all these events together, a clear pattern emerges. At the very least, Trump has a history of playing into people’s racism to bolster himself — and that likely says something about him, too.
And of course, there’s his presidential campaign.
On the campaign trail, Trump has made many more racist comments......

Sasa hayo maneno ya kibaguzi dhidi ya watu weusi yako wapi ambayo Trump aliyasema kwa mdomo wake mwenyewe?

Yako wapi?
 
Okay, hapo sawa.

Sasa, ni hivi.

Ni kweli kwamba Trump keshasema mambo mengi yenye utata.

Lakini hata siku moja hajawahi kutoa kauli za kibaguzi dhidi ya watu weusi.

Kuna blogu kadhaa za mambo ya satire [unajua satire ni nini?] ambazo zilichapisha maneno ambayo zilidai ni ya Trump akiwasema vibaya watu weusi na viongozi kadhaa wa nchi za Kiafrika.

Ule ulikuwa ni uzushi wa kimzaha mzaha tu na si kwamba alisema vile kweli.

Sasa kuna watu walio wajinga wakaingia mkenge na kuyaamini mazima hayo maneno na kuanza kuyasambaza kwa wajinga wenzao.

Mara nyingi wajinga wala huwa si wadadisi. Wao wakipokea taarifa ni wanameza tu kama soda vile.

Na ndo maana huwezi ukakuta chombo chochote kile cha habari ambacho kinaaminika ambacho kiliripoti hizo habari.

Na kama kipo, nitajie hapa nami nitakupa dola 200 kwa kuni prove wrong.

Haya kazi kwako.
Ahsante kwa ufafanuzi
 
Huyu mbaba anapendewa nini naomba kujua, Sijuagi siasa..... Mbona huwa naona ana kauli chafu za kibaguzi sana dhidi ya watu weusi, naomba kueleweshwa.
Hufwatilii ndo maana unasema ivo!! Mi sizani kama trump anamkuta clinton kwa ubaguzi
 
Sihitaji majibizano, post haikua yako.... Ndo nshaandika, siku nyingine jifunze ustaarabu pimbi
Umevurugwa!!!!
Achana na shisha, kunywa maji mengi, jiepushe na lugha za kuudhi kwa kuwa hata wenzio wanazifahamu.
Kama unabisha sema su!!!! (Mod watakuwa mashahidi)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom