Trump alipomtembelea Papa Fransis Vatican

Trump alipomtembelea Papa Fransis Vatican

Muunganiko kati ya serikali na kanisa waanza rasmi sasa.

Na hapa muunganiko wa nchi ulikuwaje?, huyo ni Papa Benedict iv na aliyekuwa raisi wetu

image.jpg
 
VATICAN WANEENDA VIONGOZI WENGI SANA,WAWE VIONGOZI WA NCHI,VIONGOZI WA KIDINI UKRSTO/UISLAM NA NK. WOTE WANAPOENDA PALE NI LAZIMA WAWE WA POLE SANA,UNYENYEKEVU. MWINGI SANA .

KUBUSU PETE YA PAPA NI MOJA WAPO WA UTII WA VIONGOZI HAO KWA PAPA,HAPO NDIPO UTAJUA PAPA NI ZAIDI YA TUNAVYOMUONA ANA AGENDA NZITO NYUMA. YA PAZIA. TAFAKARI SANA
 
VATICAN WANEENDA VIONGOZI WENGI SANA,WAWE VIONGOZI WA NCHI,VIONGOZI WA KIDINI UKRSTO/UISLAM NA NK. WOTE WANAPOENDA PALE NI LAZIMA WAWE WA POLE SANA,UNYENYEKEVU. MWINGI SANA .

KUBUSU PETE YA PAPA NI MOJA WAPO WA UTII WA VIONGOZI HAO KWA PAPA,HAPO NDIPO UTAJUA PAPA NI ZAIDI YA TUNAVYOMUONA ANA AGENDA NZITO NYUMA. YA PAZIA. TAFAKARI SANA
Hiyo ni kama salamu tu
 
Leo trump alikutana na Papa fransis nchini vaticani huku ombi kubwa la Papa fransis kwa donald trump likiwa ni kuizungumzia zaidi amani na kuitafuta zaidi amani kuliko vita
Huku rais donald trump akimwahidi kulifanyia kazi ombi lake kuanzia leo na kuendelea
d15f7bef9227faf88e90d080667ede25.jpg
1dcfe128c507bf5226a560c3d287f0cc.jpg
2ae750b3f0e02c30753d79d07e64978d.jpg
Ameshajifunza maana ya kuwa RAIS WA DUNIA na anaonekana KUKUA sasa
 
VATICAN WANEENDA VIONGOZI WENGI SANA,WAWE VIONGOZI WA NCHI,VIONGOZI WA KIDINI UKRSTO/UISLAM NA NK. WOTE WANAPOENDA PALE NI LAZIMA WAWE WA POLE SANA,UNYENYEKEVU. MWINGI SANA .

KUBUSU PETE YA PAPA NI MOJA WAPO WA UTII WA VIONGOZI HAO KWA PAPA,HAPO NDIPO UTAJUA PAPA NI ZAIDI YA TUNAVYOMUONA ANA AGENDA NZITO NYUMA. YA PAZIA. TAFAKARI SANA
Acha ulimbukeni wewe weka ushahidi hata wa picha kuonyesha shehe anabusu hiyo pete.Kwa taarifa yako kama hujui sisi tunawapenda watu wa kitabu
 
Back
Top Bottom