Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 24,940
- 26,796
Acha ulimbukeni wewe weka ushahidi hata wa picha kuonyesha shehe anabusu hiyo pete.
Acha ulimbukeni wewe weka ushahidi hata wa picha kuonyesha shehe anabusu hiyo pete.
mkuu akijibu ntagNa hapa muunganiko wa nchi ulikuwaje?, huyo ni Papa Benedict iv na aliyekuwa raisi wetu
View attachment 514000
Naungama ubatizo mmoja.......Nasadiki kwa kanisa moja,takatifu,katoliki la mitume.
Kimkakati ndio wa KwanzaNd
ndio raisi wa kwanza wa America kwenda Vatican?,
Povu mpaka hueleweki mkuu kajipange upyaIla busara kwa magaidi yaani kwa mtu aliyekuwa ananyang'anya wanaume wake zao,mbakaji yaani wavae vitamba jehanam.
Utamaduni wa watu wa vatican ni nguo nyeusi ndio maana kila anayeenda pale anavaa hivyoTrump alivaa nyeusi na mkewe. Jesuits hao!
Kabla hujaitamka hiyo unaanza nasadiki kwa Mungu mmoja...nasadiki kwa kanisa takatifu, katoliki la mitume...
Kwa maondoleo ya dhambiNaungama ubatizo mmoja.......
kwa hiyo ina maana kuvaa nguo ndefu kwa wanawake ndo ustaarabu,uungwana na utu...kwa hiyo sehemu ya heshima unavaa kiheshima eeh!!!!vp hawa dada zetu wanaovaa vimini kanisaniMimi nadhaji Jua ni kuu zaidi kuliko mwezi .Mrs Trump anafahamu ilo.
ukiwa Saudi ni kama upo kwa mama tu na kwa kuwa yeye ni gal hana budi kudeka ila Vatican ni kwa light giver nasio Saudi kwa light receiver .alazima awe na staha kiuvaaji.

Huyo ni sister mtakatifu!!mimi hiyo michoro inanishagaza huyo ambaye kachorwa yupo kifua wazi ndio nani?
mhHuyo ni sister mtakatifu!!
Nasadiki...nasadiki kwa kanisa takatifu, katoliki la mitume...
Kwa maondoleo ya dhambi....Naungama ubatizo mmoja.......
Nangojea na ufufuko wa wafu na uzima wamilele Amen.Kwa maondoleo ya dhambi
Ni zaidi ya kukubali...." LINASADIKI"......Hii ni Dogma kabisa yaani haibadiliki kamwe mpaka Yesu ArudiBaba mwana na roho Mtakatifu huu ni Utatu Mtakatifu ambao kanisa katoliki linaukubali
Ha ha ha ha ha ha!!!
ina maana hawaujui utamu wa tendo la ndoaKanisa Katoliki huwa hawaoi si Papa sio askofu sio padre