bongo-live
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 1,017
- 931
Huyo mbwa koko aliyelala hapo kituoni ndo kanifurahisha kwamba hapa ni Africa
India mbwa wapo mpaka airport....sasa jiulize ni jinsi gani walivyo tapakaaHuyo mbwa koko aliyelala hapo kituoni ndo kanifurahisha kwamba hapa ni Africa
HahahahahahahaHuyo mbwa koko aliyelala hapo kituoni ndo kanifurahisha kwamba hapa ni Africa
Sisi mpaka 3030View attachment 397777View attachment 397778View attachment 397779View attachment 397780View attachment 397781View attachment 397782View attachment 397784View attachment 397785View attachment 397786View attachment 397787View attachment 397788View attachment 397789View attachment 397790View attachment 397791View attachment 397792
Flyover yetu ingekuwa imeisha lakini akuna kitu kinacho endelea upuuzi mtupuMwenye updates za picha za maendeleo ya flyover yetu ya kwanza Tazara atusaidie
Hamia Ethiopia mkuu.Wapo vizuri sisi hatujui kesho yetu...nchi ya giza hii Rais hana mwanga kabisa..
SawaHamia Ethiopia mkuu.
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wotee×2 enziii hizoo za Mwalimu Nyerere apumzike kwa Amani.Mwenye updates za picha za maendeleo ya flyover yetu ya kwanza Tazara atusaidie