TRENDING: Mkataba wa IGA tayari umeshalazimishwa uendelee, je u wapi Mkataba wa HGA?

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,755
Tumewekewa ndimu na kachumbari njiani ili tusiendelee kuhoji mkataba mbovu baina ya JMT na Dubai Port World.

Pamoja na kwamba serikali kupitia mamlaka na mihimili yake wamefunga ndoa ya kufilisi na kujimilikisha binafsi rasilimali kuu za uchumi wetu, lakini mhimili moja (Mahakama) umesema wao wamefungwa mikono na wanakiri Dubai PW siyo nchi hivyo nao badala ya kutafsiri kuwa mkataba ule unakksa merits za IGA wao wakatoa baraka uendelee....

Serikali imejipanga kuanza utekelezaji wa Mkataba kuanzia Novemba mwaka huu. Hivyo tutegememee mapicha picha ya kutosha pale bandarini kutuaminisha kuwa kila jambo litafanyika kwa faida yetu bali ukweli ni kwamba Mwekezaji siyo manamba, hivyo hawezi kutunufaisha sisi kwanza kabla yeye hajanufaika.

Pia kwenye mkataba huu mwovu imeelezea wazi kabisa kuna shughuli ambazo JMT inapaswa kufanya kama hatua za awali kuweka mazingira wezeshi ndo maanantunaona kuna kandarasi zimetangazwa, na viwanda vya uongo vinaendelea kuzalisha maneno kuwa hakuna bandari iliyouzwa.

Ingawa kwenye mkataba, hakuna mahala ambapo mwekezaji anawabijika na gharama za uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanyika wa kusimika mitambo kulikoanzwa na awamu ya tano. Waliosaini mkataba na walioupitisha kwa kishindo hawana uchungu na fedha za mkopo ambazo zitageuka mwiba kwetu kwa kulipa deni kubwa bila hata majaribio ya uwekezaji huo hayajafanyika.

Kupitja hizi trends, inawezekana kabisa hata huu mkwamo unaoendelea kwenye umeme na mafuta ni staged ili kutuondoa kwenye reli ya kuhoji ikiwezekana kuwawajibisha wahusika wa mtego huu muovu wa kugenisha bandari zetu. Kuna teuzi za bandika bandua zimefanyika ambapo unaona kabisa lengo ni kutengeneza headlines. Na kupitia hizo headlines tunawekwa bize kujadili trends badala ya msingi wa ule mkataba wa hovyo.

Rai yangu wa serikali. Kama inajiona ni kikundi cha indomitables basi wafanye kila wanalotaka kulifanya lakini zama hizi hazitakuwa za kale pale ambapo Watanzania wenyewe watajiona siyo dhalili tena kupitia sanduku la Kura ama njia zingine halali kuwawajibisha wote wanaojipa umungu mtu ktk Taifa letu.

Mengi nilishayasema na yametokea kwa haraka mno. Lakini yanakuja ambayo yalishaanza kuja. Majira na muda ni nyenzo tu kama ilivyo kwa mtoto anayekua.

Chuki inakua. Hofu inaelekea kudumaa. Uthubutu umeshapandwa na utakua.

Mkataba wa bandari ni mwiba na utaendelea kulichoma taifa.
 
Tumewekewa ndimu na kachumbari njiani ili tusiendelee kuhoji mkataba mbovu baina ya JMT na Dubai Port World.

Pamoja na kwamba serikali kupitia mamlaka na mihimili yake wamefunga ndoa ya kufilisi na kujimilikisha binafsi rasilimali kuu za uchumi wetu, lakini mhimili moja (Mahakama) umesema wao wamefungwa mikono na wanakiri Dubai PW siyo nchi hivyo nao badala ya kutafsiri kuwa mkataba ule unakksa merits za IGA wao wakatoa baraka uendelee....

Serikali imejipanga kuanza utekelezaji wa Mkataba kuanzia Novemba mwaka huu. Hivyo tutegememee mapicha picha ya kutosha pale bandarini kutuaminisha kuwa kila jambo litafanyika kwa faida yetu bali ukweli ni kwamba Mwekezaji siyo manamba, hivyo hawezi kutunufaisha sisi kwanza kabla yeye hajanufaika.


Pia kwenye mkataba huu mwovu imeelezea wazi kabisa kuna shughuli ambazo JMT inapaswa kufanya kama hatua za awali kuweka mazingira wezeshi ndo maanantunaona kuna kandarasi zimetangazwa, na viwanda vya uongo vinaendelea kuzalisha maneno kuwa hakuna bandari iliyouzwa.

Ingawa kwenye mkataba, hakuna mahala ambapo mwekezaji anawabijika na gharama za uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanyika wa kusimika mitambo kulikoanzwa na awamu ya tano. Waliosaini mkataba na walioupitisha kwa kishindo hawana uchungu na fedha za mkopo ambazo zitageuka mwiba kwetu kwa kulipa deni kubwa bila hata majaribio ya uwekezaji huo hayajafanyika.

Kupitja hizi trends, inawezekana kabisa hata huu mkwamo unaoendelea kwenye umeme na mafuta ni staged ili kutuondoa kwenye reli ya kuhoji ikiwezekana kuwawajibisha wahusika wa mtego huu muovu wa kugenisha bandari zetu. Kuna teuzi za bandika bandua zimefanyika ambapo unaona kabisa lengo ni kutengeneza headlines. Na kupitia hizo headlines tunawekwa bize kujadili trends badala ya msingi wa ule mkataba wa hovyo.

Rai yangu wa serikali. Kama inajiona ni kikundi cha indomitables basi wafanye kila wanalotaka kulifanya lakini zama hizi hazitakuwa za kale pale ambapo Watanzania wenyewe watajiona siyo dhalili tena kupitia sanduku la Kura ama njia zingine halali kuwawajibisha wote wanaojipa umungu mtu ktk Taifa letu.

Mengi nilishayasema na yametokea kwa haraka mno. Lakini yanakuja ambayo yalishaanza kuja. Majira na muda ni nyenzo tu kama ilivyo kwa mtoto anayekua.
Chuki inakua
Hofu inaelekea kudumaa
Uthubutu umeshapandwa na utakua

Mkataba wa bandari ni mwiba na utaendelea kulichoma taifa
Mkuu!

Mhimili uliojichimbia upo macho!

Wala usiogope mkuu!!


Hiyo November desemba,hadi 2025 si MPAKA ifike!!?

WAKATI utatupa majibu!hii Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,SIO mali Binafsi ya mtu afanye atakavyo!!

TUENDELEE kusubiri Mkuu!!
 
Acha waje Kuna mtu anenidokeza wakianza kazi hao Dar itakuwa kama Dubai Yani nchi nyingi Duniani bidhaa watakuja kuchukua hapa

Kuhusu mapato ya nchi ndio usisema jamaa watakuwa wanatoa mpunga wa kutosha Kwa mwaka
 
Haya DPP fungulia mashtaka ya uchochezi hawa!!!

Kwa vile mnatuona kama

1695722655773.png
 
Tumewekewa ndimu na kachumbari njiani ili tusiendelee kuhoji mkataba mbovu baina ya JMT na Dubai Port World.

Pamoja na kwamba serikali kupitia mamlaka na mihimili yake wamefunga ndoa ya kufilisi na kujimilikisha binafsi rasilimali kuu za uchumi wetu, lakini mhimili moja (Mahakama) umesema wao wamefungwa mikono na wanakiri Dubai PW siyo nchi hivyo nao badala ya kutafsiri kuwa mkataba ule unakksa merits za IGA wao wakatoa baraka uendelee....

Serikali imejipanga kuanza utekelezaji wa Mkataba kuanzia Novemba mwaka huu. Hivyo tutegememee mapicha picha ya kutosha pale bandarini kutuaminisha kuwa kila jambo litafanyika kwa faida yetu bali ukweli ni kwamba Mwekezaji siyo manamba, hivyo hawezi kutunufaisha sisi kwanza kabla yeye hajanufaika.


Pia kwenye mkataba huu mwovu imeelezea wazi kabisa kuna shughuli ambazo JMT inapaswa kufanya kama hatua za awali kuweka mazingira wezeshi ndo maanantunaona kuna kandarasi zimetangazwa, na viwanda vya uongo vinaendelea kuzalisha maneno kuwa hakuna bandari iliyouzwa.

Ingawa kwenye mkataba, hakuna mahala ambapo mwekezaji anawabijika na gharama za uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanyika wa kusimika mitambo kulikoanzwa na awamu ya tano. Waliosaini mkataba na walioupitisha kwa kishindo hawana uchungu na fedha za mkopo ambazo zitageuka mwiba kwetu kwa kulipa deni kubwa bila hata majaribio ya uwekezaji huo hayajafanyika.

Kupitja hizi trends, inawezekana kabisa hata huu mkwamo unaoendelea kwenye umeme na mafuta ni staged ili kutuondoa kwenye reli ya kuhoji ikiwezekana kuwawajibisha wahusika wa mtego huu muovu wa kugenisha bandari zetu. Kuna teuzi za bandika bandua zimefanyika ambapo unaona kabisa lengo ni kutengeneza headlines. Na kupitia hizo headlines tunawekwa bize kujadili trends badala ya msingi wa ule mkataba wa hovyo.

Rai yangu wa serikali. Kama inajiona ni kikundi cha indomitables basi wafanye kila wanalotaka kulifanya lakini zama hizi hazitakuwa za kale pale ambapo Watanzania wenyewe watajiona siyo dhalili tena kupitia sanduku la Kura ama njia zingine halali kuwawajibisha wote wanaojipa umungu mtu ktk Taifa letu.

Mengi nilishayasema na yametokea kwa haraka mno. Lakini yanakuja ambayo yalishaanza kuja. Majira na muda ni nyenzo tu kama ilivyo kwa mtoto anayekua.
Chuki inakua
Hofu inaelekea kudumaa
Uthubutu umeshapandwa na utakua

Mkataba wa bandari ni mwiba na utaendelea kulichoma taifa
Wataalam wa masuala ya bandari ndug Lord denning na bi MKORA Faizafoxy wanakuja kutolea ufafanuzi!!
 
Tumewekewa ndimu na kachumbari njiani ili tusiendelee kuhoji mkataba mbovu baina ya JMT na Dubai Port World.

Pamoja na kwamba serikali kupitia mamlaka na mihimili yake wamefunga ndoa ya kufilisi na kujimilikisha binafsi rasilimali kuu za uchumi wetu, lakini mhimili moja (Mahakama) umesema wao wamefungwa mikono na wanakiri Dubai PW siyo nchi hivyo nao badala ya kutafsiri kuwa mkataba ule unakksa merits za IGA wao wakatoa baraka uendelee....

Serikali imejipanga kuanza utekelezaji wa Mkataba kuanzia Novemba mwaka huu. Hivyo tutegememee mapicha picha ya kutosha pale bandarini kutuaminisha kuwa kila jambo litafanyika kwa faida yetu bali ukweli ni kwamba Mwekezaji siyo manamba, hivyo hawezi kutunufaisha sisi kwanza kabla yeye hajanufaika.

Pia kwenye mkataba huu mwovu imeelezea wazi kabisa kuna shughuli ambazo JMT inapaswa kufanya kama hatua za awali kuweka mazingira wezeshi ndo maanantunaona kuna kandarasi zimetangazwa, na viwanda vya uongo vinaendelea kuzalisha maneno kuwa hakuna bandari iliyouzwa.

Ingawa kwenye mkataba, hakuna mahala ambapo mwekezaji anawabijika na gharama za uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanyika wa kusimika mitambo kulikoanzwa na awamu ya tano. Waliosaini mkataba na walioupitisha kwa kishindo hawana uchungu na fedha za mkopo ambazo zitageuka mwiba kwetu kwa kulipa deni kubwa bila hata majaribio ya uwekezaji huo hayajafanyika.

Kupitja hizi trends, inawezekana kabisa hata huu mkwamo unaoendelea kwenye umeme na mafuta ni staged ili kutuondoa kwenye reli ya kuhoji ikiwezekana kuwawajibisha wahusika wa mtego huu muovu wa kugenisha bandari zetu. Kuna teuzi za bandika bandua zimefanyika ambapo unaona kabisa lengo ni kutengeneza headlines. Na kupitia hizo headlines tunawekwa bize kujadili trends badala ya msingi wa ule mkataba wa hovyo.

Rai yangu wa serikali. Kama inajiona ni kikundi cha indomitables basi wafanye kila wanalotaka kulifanya lakini zama hizi hazitakuwa za kale pale ambapo Watanzania wenyewe watajiona siyo dhalili tena kupitia sanduku la Kura ama njia zingine halali kuwawajibisha wote wanaojipa umungu mtu ktk Taifa letu.

Mengi nilishayasema na yametokea kwa haraka mno. Lakini yanakuja ambayo yalishaanza kuja. Majira na muda ni nyenzo tu kama ilivyo kwa mtoto anayekua.
Chuki inakua
Hofu inaelekea kudumaa
Uthubutu umeshapandwa na utakua

Mkataba wa bandari ni mwiba na utaendelea kulichoma taifa
Mengi nilishayasema na yametokea kwa haraka mno. Lakini yanakuja ambayo yalishaanza kuja. Majira na muda ni nyenzo tu kama ilivyo kwa mtoto anayekua.
Chuki inakua
Hofu inaelekea kudumaa
Uthubutu umeshapandwa na utakua


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumewekewa ndimu na kachumbari njiani ili tusiendelee kuhoji mkataba mbovu baina ya JMT na Dubai Port World.

Pamoja na kwamba serikali kupitia mamlaka na mihimili yake wamefunga ndoa ya kufilisi na kujimilikisha binafsi rasilimali kuu za uchumi wetu, lakini mhimili moja (Mahakama) umesema wao wamefungwa mikono na wanakiri Dubai PW siyo nchi hivyo nao badala ya kutafsiri kuwa mkataba ule unakksa merits za IGA wao wakatoa baraka uendelee....

Serikali imejipanga kuanza utekelezaji wa Mkataba kuanzia Novemba mwaka huu. Hivyo tutegememee mapicha picha ya kutosha pale bandarini kutuaminisha kuwa kila jambo litafanyika kwa faida yetu bali ukweli ni kwamba Mwekezaji siyo manamba, hivyo hawezi kutunufaisha sisi kwanza kabla yeye hajanufaika.


Pia kwenye mkataba huu mwovu imeelezea wazi kabisa kuna shughuli ambazo JMT inapaswa kufanya kama hatua za awali kuweka mazingira wezeshi ndo maanantunaona kuna kandarasi zimetangazwa, na viwanda vya uongo vinaendelea kuzalisha maneno kuwa hakuna bandari iliyouzwa.

Ingawa kwenye mkataba, hakuna mahala ambapo mwekezaji anawabijika na gharama za uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanyika wa kusimika mitambo kulikoanzwa na awamu ya tano. Waliosaini mkataba na walioupitisha kwa kishindo hawana uchungu na fedha za mkopo ambazo zitageuka mwiba kwetu kwa kulipa deni kubwa bila hata majaribio ya uwekezaji huo hayajafanyika.

Kupitja hizi trends, inawezekana kabisa hata huu mkwamo unaoendelea kwenye umeme na mafuta ni staged ili kutuondoa kwenye reli ya kuhoji ikiwezekana kuwawajibisha wahusika wa mtego huu muovu wa kugenisha bandari zetu. Kuna teuzi za bandika bandua zimefanyika ambapo unaona kabisa lengo ni kutengeneza headlines. Na kupitia hizo headlines tunawekwa bize kujadili trends badala ya msingi wa ule mkataba wa hovyo.

Rai yangu wa serikali. Kama inajiona ni kikundi cha indomitables basi wafanye kila wanalotaka kulifanya lakini zama hizi hazitakuwa za kale pale ambapo Watanzania wenyewe watajiona siyo dhalili tena kupitia sanduku la Kura ama njia zingine halali kuwawajibisha wote wanaojipa umungu mtu ktk Taifa letu.

Mengi nilishayasema na yametokea kwa haraka mno. Lakini yanakuja ambayo yalishaanza kuja. Majira na muda ni nyenzo tu kama ilivyo kwa mtoto anayekua.
Chuki inakua
Hofu inaelekea kudumaa
Uthubutu umeshapandwa na utakua

Mkataba wa bandari ni mwiba na utaendelea kulichoma taifa
Machungu yanatesa mioyo ya wanaharakati, DP World wanaanza kazi Novemba mwaka huu.

Nguvu hizi hizi na uzalendo huu huu na utumike kupinga waendeshaji wengine wanaokwenda kupewa bandari zetu ili waziendeshe.
 
Back
Top Bottom