Nyie mnaowaza mama Anna wa ACT wazalendo hamfuatilii mambo ya siasa vizuri. Jamaa akiwa Zanzaibar alimshangaa Shein kuteua wapinzani ndani ya serikali yake wakati amepata zaidi ya 90% ya kura. alimalizia kwa kusema kwamba licha ya yeye kupata 58% ya kura zote hawezi kumteua mpinzani ndani ya serikali yake. Mmesahau? Hata wewe Paskal wa habari za uchunguzi umesahau?