Trend Setting: Mapendekezo ya JF kwa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanayotarajiwa hivi karibuni

huyu anaeogopa hata Tundu Lisu asiwe rais wa TLS ambayo ni taasisi independent ... kuna lolote jipya la maendeleo katika uongozi wa nchi hii mnategemea
 
katika yote kumteua mama mngirwa naona umewaza mbali sana yule mama ana uwezo Mkubwa na ni mtulivu kujenga hoja

pia ni mtulivu ana uwezo Wa kufanya tafakari tunduizi
His excellent Mhe rais tunaomba umuone huyu mama
tafakari tunduizi, hilo neno nimelipenda linaweza kuwa linamaanisha nin?
 
1. First and Foremost anza na huyu kijana mpendwa wako, unayependezwa naye, ambaye japo sii Waziri na sii mbunge bali alikuwa ni zaidi ya Makamo wa Rais, ni zaidi ya Waziri Mkuu, ni zaidi ya Spika, ni zaidi ya Jaji Mkuu, ni zaidi ya IGP. Kijana shupavu, shujaa, hodari, mchapakazi Paul Makonda, he was an asset like a jewel on the sea, a very big asset na ni kweli amefanya makubwa katika kipindi kifupi, but its very unfortunately he has now turned into the biggest liability you have!, deal with it first, the sooner the better!.
Paskali

At last umeweka wazi msimamo wako baada ya kuona ukitumia mafumbo watu hawaelewi!
 
Nimegundua ni kazi ngumu sana kumuelewa paskali.... Na ni mnafiki wa kiwango cha Lami. Hivi si Jana tu umekuja na bandiko lako unamsifia bashite? tukakubana ukala kona. Leo unamuita liability tukueleweje wewe?? Au ulipomsifia hakukupa bahasha ndo maana leo unamkandia?

Paskali usitupotezee focus asee, nilishakuambia nakuheshimu.
 
Wanabodi,
Trend Setting ni kutengeneza mwelekeo au ku shape jambo linalokuja kutokea. Trend Setters ni wale watu ambao wakifanya jambo fulani, sehemu kubwa ya jamii hulifuata.

JF ni trend setter, baadhi ya mapendekezo yanayotolewa humu JF, serikali yetu sikivu huyatekeleza.

Baada ya zoezi la Uchaguzi Mkuu kukamilika, JF ilitengeneza trend ya Baraza jipya la Mawaziri na mimi naamini baadhi ya wateule kama Joyce Ndalichako was made from JF.Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

Kufuatia teuzi za baadhi ya wabunge wapya kwenye Bunge la Muungano, Trend reading zinaelekeza kufanyika kwa mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri hivi karibuni huku sura mpya kama
Prof. Palamagamba Kabudi, Anne Kilango Malecela na Salma Kikwete wakitarajiwa kuwemo.

Japo kwa mujibu wa katiba yetu kazi ya kuteua mawaziri ni kazi ya rais wa JMT kwa mashauriano na Makamo wa Rais na Waziri Mkuu, viongozi wetu hawa nao ni binaadamu na wanaweza kukosea katika uteuzi au kuna watu wazuri tuu lakini jicho la rais haliwezi kuwaona ila jicho la JF ni kubwa.

Ni ukweli usiofichika kuwa kwenye Baraza hili kuna mawaziri ambao kweli ni ma performers wengine beyond expectations, kuna mawaziri non performers yaani wapo wapo tuu ili mradi wapo na kuna mawaziri kiukweli kabisa wame flop, hawa ni mawaziri mizigo, they should go.

Pia kwenye wabunge kuna wabunge ambao ni great potentials kumsaidia rais kuliko kuendelea kubeba mizigo hadi 2020.

Hivyo wana JF, hakuna ubaya kumshauri rais wetu, ambaye ni mtumishi wetu, sisi ndio waajiri wake kupitia kura zetu na ndio tunaomlipa mshahara wake kupitia kodi zetu, hivyo atazingatia maoni na ushauri wetu kwa jinsi ile ile anavyozihitaji kura zetu.

Nikianzia na maoni yangu.
1. First and Foremost anza na huyu kijana mpendwa wako, unayependezwa naye, ambaye japo sii Waziri na sii mbunge bali alikuwa ni zaidi ya Makamo wa Rais, ni zaidi ya Waziri Mkuu, ni zaidi ya Spika, ni zaidi ya Jaji Mkuu, ni zaidi ya IGP. Kijana shupavu, shujaa, hodari, mchapakazi Paul Makonda, he was an asset like a jewel on the sea, a very big asset na ni kweli amefanya makubwa katika kipindi kifupi, but its very unfortunately he has now turned into the biggest liability you have!, deal with it first, the sooner the better!.
2. Asante kututeulia wabunge wanawake 4. Bado mmoja, huyu mmoja. Kwa uteuzi wako mmoja wa mwisho uliobakia kwa mujibu wa katiba, ambaye lazima uwe wa mwanamke, tunakuomba ututeulie mwanamke kutokea upinzani, preferably Mama Ana Mngirwa. Mkapa aliteua kutoka upinzani, Kikwete aliteua kutoka upinzani, why not you?. Japo hakuna sheria, kanuni wala taratibu inayokulazimisha umteue nani, lakini unapokuwa ni rais wa wote kuna vitu lazima uvifanye kuwaonyesha watu kuwa wewe ni rais wa wote, na huo uwote wako uonekane kwa wote, kama ilivyo kwenye kutoa haki, "justice must not be only done,but it must be seen to be done" kuwa haki sio lazima tuu itendeke, bali pia lazima ionekane kutendeka, hata kama huupendi vipi upinzani, hata kama huwapendi vipi wapinzani, ni watu ambao wapo kisheria kwa mujibu wa katiba japo kazi yao kubwa ni kukusoa wewe na serikali yako lakini amini usiamini ni watu wa muhimu sana kwako, kwa serikali yako na kwa taifa kwa ujumla tena wanakusaidia sana tuu hata kama hujui.
3.Kwa vile umeisha teua wanawake wengine wawili, katika mabadiliko madogo utakayo yafanya this time naamini yataakisi gender mainstreaming kwenye mabadiliko ya baraza lako. Pale mwanzo umetutelia mawaziri wanawake wanne tuu na hatukulaumu kwa hilo kwa sababu waelewa tunaelewa sababu, haupaswi kuziendeleza hizo sababu, kama rais wa nchi kuna vitu lazima ubadilike.
Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa!

Sasa wana JF wenzangu, naomba tutoe maoni yetu nani abaki na nani atoke. Nani ameflop na hamsaidii tena rais. Pia kuangazia potentials zilizopo kama tulivyo muangazia Pro. Ndalichako na hatimaye akawepo.

Naomba kuwasilisha.
Paskali
  • Mimi napendekeza Waziri yeyote aliye shindwa kutetea mamlaka ya serikari ya Jamuhuri ya Muungano kwenye mambo 22 ya muungano apigwe chini
  • Hayo ndiyo maoni yangu kwa thread hii
 
Issue kubwa sasa hivi si wingi au uchache wa baraza la mawaziri,bali ni ubutu wa uchumi au ugumu wa maisha unaolinyemelea taifa letu kwa speed ya radi.
Imefika wakati Raisi Magufuri akubali kuona sehemu ya pili ya sarafu,akosolewe na aheshimu mawazo ya watu wengine,kwani Tanzania ni ya sisi sote.Yaonekana serikali inatumia nguvu nyingi badala ya kutumia nyenzo ili kurahisisha na kubolesha utendaji.kwa mfano kutumbua wafanyakazi hewa na vyeti hewa imechukua zaidi ya mwaka bila kumaliza tatizo.
Mawaziri wengine wapo kimya au wana ganzi,hawafanyi kwa uhuru zaidi kwa sababu ya kuogopa kwenda kinyume na mkuu wa kaya.Kwa lugha nyepesi mabadiriko katika baraza la mawaziri hayana maana yoyote bila kubadirisha mfumo wa utendaji.
 
Invisible hamuoni duplicates za threads za huyu kiumbe
Kiumbe wewe OKW BOBAN SUNZU, kila thread inabeba diferent theme and main ideas, ukinionyesha the duplicity wala sitamsubiri mode kuziunganisha nitamuomba mimi azi merge.

Ya kwanza ni trend reading kwenye headhunting kuwa hili jambo linaweza kutokea ya pili ni trend setting ambapo headhunting imekamilika sasa panga pangua ya nani aingie na nani atoke na sisi jf tuweke imput yetu.

Unless trend reading is the same thing name trend setting kama ili kwa coke cola na fanta zote ni soda, hivyo coke fanta na fanta coke is the same kwa sababu tuu ya neno trend? .

Paskali
 
Mara ushauri wa Baraza la Mawaziri, Mara ushauri wa Wabunge viti maalum, mara sifa kwa Bashite...

Thread yako hii unataka nini haswa?

Kama ni uwaziri wacha tukupendekeze wewe na Bashite.

Na kwa kuwa hakuna utawala wa sheria, awamu hii, muwe Mawaziri hata kama si wabunge maana hapa ni Hovyo Tu.
Umekurupuka, una jaziba, hujamuelewa mleta hoja
 
Wanabodi,
Trend Setting ni kutengeneza mwelekeo au ku shape jambo linalokuja kutokea. Trend Setters ni wale watu ambao wakifanya jambo fulani, sehemu kubwa ya jamii hulifuata.

JF ni trend setter, baadhi ya mapendekezo yanayotolewa humu JF, serikali yetu sikivu huyatekeleza.

Baada ya zoezi la Uchaguzi Mkuu kukamilika, JF ilitengeneza trend ya Baraza jipya la Mawaziri na mimi naamini baadhi ya wateule kama Joyce Ndalichako was made from JF.Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

Kufuatia teuzi za baadhi ya wabunge wapya kwenye Bunge la Muungano, Trend reading zinaelekeza kufanyika kwa mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri hivi karibuni huku sura mpya kama
Prof. Palamagamba Kabudi, Anne Kilango Malecela na Salma Kikwete wakitarajiwa kuwemo.

Japo kwa mujibu wa katiba yetu kazi ya kuteua mawaziri ni kazi ya rais wa JMT kwa mashauriano na Makamo wa Rais na Waziri Mkuu, viongozi wetu hawa nao ni binaadamu na wanaweza kukosea katika uteuzi au kuna watu wazuri tuu lakini jicho la rais haliwezi kuwaona ila jicho la JF ni kubwa.

Ni ukweli usiofichika kuwa kwenye Baraza hili kuna mawaziri ambao kweli ni ma performers wengine beyond expectations, kuna mawaziri non performers yaani wapo wapo tuu ili mradi wapo na kuna mawaziri kiukweli kabisa wame flop, hawa ni mawaziri mizigo, they should go.

Pia kwenye wabunge kuna wabunge ambao ni great potentials kumsaidia rais kuliko kuendelea kubeba mizigo hadi 2020.

Hivyo wana JF, hakuna ubaya kumshauri rais wetu, ambaye ni mtumishi wetu, sisi ndio waajiri wake kupitia kura zetu na ndio tunaomlipa mshahara wake kupitia kodi zetu, hivyo atazingatia maoni na ushauri wetu kwa jinsi ile ile anavyozihitaji kura zetu.

Nikianzia na maoni yangu.
1. First and Foremost anza na huyu kijana mpendwa wako, unayependezwa naye, ambaye japo sii Waziri na sii mbunge bali alikuwa ni zaidi ya Makamo wa Rais, ni zaidi ya Waziri Mkuu, ni zaidi ya Spika, ni zaidi ya Jaji Mkuu, ni zaidi ya IGP. Kijana shupavu, shujaa, hodari, mchapakazi Paul Makonda, he was an asset like a jewel on the sea, a very big asset na ni kweli amefanya makubwa katika kipindi kifupi, but its very unfortunately he has now turned into the biggest liability you have!, deal with it first, the sooner the better!.
2. Asante kututeulia wabunge wanawake 4. Bado mmoja, huyu mmoja. Kwa uteuzi wako mmoja wa mwisho uliobakia kwa mujibu wa katiba, ambaye lazima uwe wa mwanamke, tunakuomba ututeulie mwanamke kutokea upinzani, preferably Mama Ana Mngirwa. Mkapa aliteua kutoka upinzani, Kikwete aliteua kutoka upinzani, why not you?. Japo hakuna sheria, kanuni wala taratibu inayokulazimisha umteue nani, lakini unapokuwa ni rais wa wote kuna vitu lazima uvifanye kuwaonyesha watu kuwa wewe ni rais wa wote, na huo uwote wako uonekane kwa wote, kama ilivyo kwenye kutoa haki, "justice must not be only done,but it must be seen to be done" kuwa haki sio lazima tuu itendeke, bali pia lazima ionekane kutendeka, hata kama huupendi vipi upinzani, hata kama huwapendi vipi wapinzani, ni watu ambao wapo kisheria kwa mujibu wa katiba japo kazi yao kubwa ni kukusoa wewe na serikali yako lakini amini usiamini ni watu wa muhimu sana kwako, kwa serikali yako na kwa taifa kwa ujumla tena wanakusaidia sana tuu hata kama hujui.
3.Kwa vile umeisha teua wanawake wengine wawili, katika mabadiliko madogo utakayo yafanya this time naamini yataakisi gender mainstreaming kwenye mabadiliko ya baraza lako. Pale mwanzo umetutelia mawaziri wanawake wanne tuu na hatukulaumu kwa hilo kwa sababu waelewa tunaelewa sababu, haupaswi kuziendeleza hizo sababu, kama rais wa nchi kuna vitu lazima ubadilike.
Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa!

Sasa wana JF wenzangu, naomba tutoe maoni yetu nani abaki na nani atoke. Nani ameflop na hamsaidii tena rais. Pia kuangazia potentials zilizopo kama tulivyo muangazia Pro. Ndalichako na hatimaye akawepo.

Naomba kuwasilisha.
Paskali


Why not you, it is imbecile kind of arguement ever. Someone did this why not you. Paskali is engaging himself in homosexul behaviour why not you? Trump refused to dine with journalists why not you? Clinton had sexula affairs with his aide why not you? We shoud shun ourselves from using such kind of argument ince it is revocable
 
Pamoja na mengi uliyooandika hapo kwa mama Anna Mngirwa nakupongeza. Hata mm nilidhani hili angelifanya mapema sana. Mtukufu Raisi huyu mama ni hazina kubwa sana tusimuache kwa kweli.
 
Mi naona mnajisumbua tu, mkuu wetu kwa tabia yake ya visasi mkimpa ushauri yeye ndo hatekelezi ili kuwakomoa.

Mimi naona mapicha picha tu, tuombe amani tu ili hivi vibiashara vyetu vidogo vinavyotupa ugali tusijekulazimishwa kuvifunga.

kwa ufupi nimekata tamaa
 
Nimegundua ni kazi ngumu sana kumuelewa paskali.... Na ni mnafiki wa kiwango cha Lami. Hivi si Jana tu umekuja na bandiko lako unamsifia bashite? tukakubana ukala kona. Leo unamuita liability tukueleweje wewe?? Au ulipomsifia hakukupa bahasha ndo maana leo unamkandia?

Paskali usitupotezee focus asee, nilishakuambia nakuheshimu.
Ukiwa na ufahamu mdogo lazima usimuelewe huyu jamaa, anatumia mafumbo na sarcasm ya hali ya juu ndio maana umeshindwa kumuelewa...
 
Kuhusu Mama Mghwira, hapa naunga mkono hoja,kwa sababu Wanahitajika wanawake wenye busara ambao naibu Spika Tulia anaweza "kuteta" nao jambo lake wakampa ushauri wa hapa na pale, kile kiti ni kigumu. Wanahitajika more sober minds mle, na mama Mghwira is the best choice.

Nikija kwenye baraza la mawaziri, pia naunga mkono hoja, la sasa linaelekea kupwaya, kuna kilio cha wananchi kutoka kila kona ya nchi.

Waziri wa kwanza kabisa kutumbuliwa na itakuwa ni kwa manufaa ya Taifa ni huyu Waziri wa Fedha, mipango yake ya kiuchumi haijasaidia kuinua hali ya maisha ya wananchi, Kukiri kwa Waziri wa kilimo, kuwa uwezo wa wananchi kununua chakula umepungua ni ushahidi kwamba hali ya wananchi kifedha ni mbaya sana!, kitendo cha kuongeza kodi ktk miamala ya fedha, kuondoa pesa kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuziatamia benki kuu kama mayai kumepunguza mzunguuko wa fedha mtaani, na hakuna aliyeresponsible kwa policies hizi kama Dr Mpango. Napendekeza ktk reshuffle Dr Mpango akae pembeni!

Wizara ya Fedha ni kama mid-field wa uchumi wa nchi, Wizara hii ikikaa sawa, basi wizara nyingine zitaperform!
 
Pascali nikushauri. Unapotoa ushauri kwa ngosha epuka lugha ya mafumbo maana ni ukweli yeye haelewi.
Mfano, hapo ulipo Sema hizo sifa za kijana wake kuwa ni zaidi ya uliowataja yeye hawezi kujua kuwa unamkebehi bali atadhani ni sofa za ukweli na mambo yataharibika kwa kudhani Paskali (home boy) kanishauri hivi kumbe wewe ulimaanisha vile. Angalia Paskali (homeboy wa mzee) usije tuharibia nchi kwa mafumbo yako
Yaani wewe unazo akili nyingi kuliko amiri jeshi mkuu?. Asijue kwamba hii ni kejeli na hii ni kauli yenye uzito!.

Upinzani siku zote mnashindwa hapo, kumchukulia mtu poa tu. Kuchukulia mambo with a light touch. Wapiga kura wanazo akili za kutambua tone ya mtu, na busara zilizo ndani ya ubongo wake.
 
Back
Top Bottom