The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuqa wanaJF!
Hadhi ya Trekta kila muda unavyozidi kwenda inashuka. Yani hizi trekata za kisasa zimekaa kizembezembe na kimayaimayai.
Trekta haitakiwi iwe kianasaanasa. Unakuta trekta ina AC na redio. Kulima siyo anasa na siyo starehe kabisa. Unamwekea mmatumbi redio na AC kwenye trekta atalima vizuri kweli apate high yields?
Ninampango wa kujikita kwenye kilimo seriously na nimeahidiwa Trekta mbili. Sitaendekeza kabisa starehe na anasa kwenye kilimo yani nimuachie mfanyakazi aendeshe huku anakula vyoyoyoz huko sio kulima. Kama nitapata za kimayaimayai kama za hapo juu nanyofoa hizo AC na redio. Trekta bana ni kama hizo hapo chini.
Wanaotengeneza hizi trekta za kisasa wanakosea sana. Na huko miaka ya mbeleni tutakuwa na upuuz kama huu hapa chini.
Cc Mbulu
Hadhi ya Trekta kila muda unavyozidi kwenda inashuka. Yani hizi trekata za kisasa zimekaa kizembezembe na kimayaimayai.
Trekta haitakiwi iwe kianasaanasa. Unakuta trekta ina AC na redio. Kulima siyo anasa na siyo starehe kabisa. Unamwekea mmatumbi redio na AC kwenye trekta atalima vizuri kweli apate high yields?
Ninampango wa kujikita kwenye kilimo seriously na nimeahidiwa Trekta mbili. Sitaendekeza kabisa starehe na anasa kwenye kilimo yani nimuachie mfanyakazi aendeshe huku anakula vyoyoyoz huko sio kulima. Kama nitapata za kimayaimayai kama za hapo juu nanyofoa hizo AC na redio. Trekta bana ni kama hizo hapo chini.
Wanaotengeneza hizi trekta za kisasa wanakosea sana. Na huko miaka ya mbeleni tutakuwa na upuuz kama huu hapa chini.
Cc Mbulu