Traore Mwanajeshi aliyeamua Kulinda Rasilimali za Nchi yake !! JWTZ kikatiba Ina WAJIBU huo, shuhudia za Polepole ,nalitegemea Jeshi lichukue Hatua !

Traore Mwanajeshi aliyeamua Kulinda Rasilimali za Nchi yake !! JWTZ kikatiba Ina WAJIBU huo, shuhudia za Polepole ,nalitegemea Jeshi lichukue Hatua !

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Inawezekana kabisa Watu wameridhika kwakua wanaishi vizuri kupitia Wana mtandao.

KOSA kubwa tunalolifanya kama Nchi ni kutokuwaza THAMANI YA RASILIMALI ZETU MIAKA MICHACHE IJAYO !!.

Katika Wakati ambao Thaman ya Rasimali zetu itakua juuu zaidi, ndio wakati ambao Serikali itakua Haina chochote juu ya Rasilimali hizo Kwa sababu tu Wanamtandao watakua wamejimilikisha Kila kitu.



NUliwahi andika hapa, kua JWTZ kikatiba wanayo haki ya kulinda Rasimali za Nchi, ukiachilia mbali wao kua Wazalendo namba Moja wa Nchi.



Kwa ambayo kayasema Mh Polepole Jana, Kwa Mtanzania wa kawaida, alitegemea Kitu kifanyike !!.



Nchi imeuzwa hii!
 
Hatutaki mapinduzi, hatutaki uasi wala hatutaki vita na machafuko kwenye nchi yetu. Namuomba Allah ailinde amani ya nchi yetu hii.
 
Inawezekana kabisa Watu wameridhika kwakua wanaishi vizuri kupitia Wana mtandao.

KOSA kubwa tunalolifanya kama Nchi ni kutokuwaza THAMANI YA RASILIMALI ZETU MIAKA MICHACHE IJAYO !!.

Katika Wakati ambao Thaman ya Rasimali zetu itakua juuu zaidi, ndio wakati ambao Serikali itakua Haina chochote juu ya Rasilimali hizo Kwa sababu tu Wanamtandao watakua wamejimilikisha Kila kitu.



NUliwahi andika hapa, kua JWTZ kikatiba wanayo haki ya kulinda Rasimali za Nchi, ukiachilia mbali wao kua Wazalendo namba Moja wa Nchi.



Kwa ambayo kayasema Mh Polepole Jana, Kwa Mtanzania wa kawaida, alitegemea Kitu kifanyike !!.



Nchi imeuzwa hii!
Polepole muongo tu
 
Inawezekana kabisa Watu wameridhika kwakua wanaishi vizuri kupitia Wana mtandao.

KOSA kubwa tunalolifanya kama Nchi ni kutokuwaza THAMANI YA RASILIMALI ZETU MIAKA MICHACHE IJAYO !!.

Katika Wakati ambao Thaman ya Rasimali zetu itakua juuu zaidi, ndio wakati ambao Serikali itakua Haina chochote juu ya Rasilimali hizo Kwa sababu tu Wanamtandao watakua wamejimilikisha Kila kitu.



NUliwahi andika hapa, kua JWTZ kikatiba wanayo haki ya kulinda Rasimali za Nchi, ukiachilia mbali wao kua Wazalendo namba Moja wa Nchi.



Kwa ambayo kayasema Mh Polepole Jana, Kwa Mtanzania wa kawaida, alitegemea Kitu kifanyike !!.



Nchi imeuzwa hii!
Hata Dr. Slaa amemwandikia Nkunda wajibu wake katika kulinusuru taifa

sikiliza dakika kama 5 za mwisho hapa

 
Inawezekana kabisa Watu wameridhika kwakua wanaishi vizuri kupitia Wana mtandao.

KOSA kubwa tunalolifanya kama Nchi ni kutokuwaza THAMANI YA RASILIMALI ZETU MIAKA MICHACHE IJAYO !!.

Katika Wakati ambao Thaman ya Rasimali zetu itakua juuu zaidi, ndio wakati ambao Serikali itakua Haina chochote juu ya Rasilimali hizo Kwa sababu tu Wanamtandao watakua wamejimilikisha Kila kitu.



NUliwahi andika hapa, kua JWTZ kikatiba wanayo haki ya kulinda Rasimali za Nchi, ukiachilia mbali wao kua Wazalendo namba Moja wa Nchi.



Kwa ambayo kayasema Mh Polepole Jana, Kwa Mtanzania wa kawaida, alitegemea Kitu kifanyike !!.



Nchi imeuzwa hii!
Kazi yao ni kufanya maonyesha ya kukatika viuno na kucheza kwata za kimya kimya kwenye shughuli za kuwa praise Viongozi wa CCM

Mkoa mmoja tu wa Ruvuma kuna ufisadi mkubwa sana wa rasilimali za Taifa unafanywa na Wanamtandao pamoja na CCM ila huoni wakifanya lolote.

Hii nchi tuna Wanajeshi Wapumbavu sana
 
  • Kicheko
Reactions: vnn
Inawezekana kabisa Watu wameridhika kwakua wanaishi vizuri kupitia Wana mtandao.

KOSA kubwa tunalolifanya kama Nchi ni kutokuwaza THAMANI YA RASILIMALI ZETU MIAKA MICHACHE IJAYO !!.

Katika Wakati ambao Thaman ya Rasimali zetu itakua juuu zaidi, ndio wakati ambao Serikali itakua Haina chochote juu ya Rasilimali hizo Kwa sababu tu Wanamtandao watakua wamejimilikisha Kila kitu.



NUliwahi andika hapa, kua JWTZ kikatiba wanayo haki ya kulinda Rasimali za Nchi, ukiachilia mbali wao kua Wazalendo namba Moja wa Nchi.



Kwa ambayo kayasema Mh Polepole Jana, Kwa Mtanzania wa kawaida, alitegemea Kitu kifanyike !!.



Nchi imeuzwa hii!
Ama chini zaidi ndiyo tutakosa kabisa
 
Nyerere angekuwa na tamaa kama kipindi hiki ungeskia pale muhimbili zote ni apartments za makongoro miaka kumi ijayo kila utakapokanyaga utaambiwa umekanyaga ardhi ya muwekezaji unakamatwa yaani rasilimali zote zinaenda kwa watu binafsi
 
Hawa wa kwetu wanaenda kupiganishwa vita DRC na Dafur huku nyumbani Rostam Aziz na genge la wahuni wenzake wanamaliza kuuza raslimali zetu, hovyo kabisa JWTZ.
 
Inawezekana kabisa Watu wameridhika kwakua wanaishi vizuri kupitia Wana mtandao.

KOSA kubwa tunalolifanya kama Nchi ni kutokuwaza THAMANI YA RASILIMALI ZETU MIAKA MICHACHE IJAYO !!.

Katika Wakati ambao Thaman ya Rasimali zetu itakua juuu zaidi, ndio wakati ambao Serikali itakua Haina chochote juu ya Rasilimali hizo Kwa sababu tu Wanamtandao watakua wamejimilikisha Kila kitu.



NUliwahi andika hapa, kua JWTZ kikatiba wanayo haki ya kulinda Rasimali za Nchi, ukiachilia mbali wao kua Wazalendo namba Moja wa Nchi.



Kwa ambayo kayasema Mh Polepole Jana, Kwa Mtanzania wa kawaida, alitegemea Kitu kifanyike !!.



Nchi imeuzwa hii!
Mkuu wazo lako ni jema sana tatizo hatuna wanajeshi wala usalama wa taifa walio kwa ajili ya ustawi wa taifa, waliopo wapo kwa maslahi ya viongozi wa kisiasa na maslahi yao.
 
Mmmh sio huku Tz . Huku mwanasiasa ndiye Boss jeshi hata kama anauza nchi
 
Back
Top Bottom