Mama paradigm
JF-Expert Member
- Apr 17, 2010
- 405
- 805
Ahsante mkuu, umenitia moyo sana.Ok.. baada ya kuangalia maelezo ya hiyo comment mkuu, Hiyo sio shida yako kabisa kwani Taasisi zote walikwishapewa waraka au angalizo kuhusu maombi ya Watumishi kuwa zikifika zile siku zilizowekwa itahamia hatua nyingine Automatically lengo lao kuu ni kupunguza muda wa mchakato wa maombi ili ombi lifike kwao UTUMISHI ambao ndio watoa idhini/vibali vya uhamisho.
Kwa mantiki hiyo hili ombi lako halina shida kwani ombi lishakubali na taasisi auto na ndio maana ukawekewa link ya kuendelea na mchakato. Hii Unatoboa kabisa, hapo ni kuvuta subira tu maana wanasema maombi ni mengi na huwa wanachakata kulingana na muda yalivyoingia UTUMISHI yaan First in - First Out