Transfer vacancy request at ESS Utumishi

Transfer vacancy request at ESS Utumishi

Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...

Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..

wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..

Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Ivi kwa mfano
mim nimesubmit hii request na ipo destination organization tokea trh 22/01 ila haijafanyiwa kazi yaani kuhama kupitia huu mfumo ni mtihani. lakini pia taasis unayotuma request kama hawana budget system inakataa mapema kabisa (Tha vacancy is not budgeted)
Ivi kwa mfano umeomba uhamisho kwa kutuma barua alafu taasisi husika wakakujibu kuwa nafasi ipo jee unaweza kuendelea na transfer request kwa kuattach ile barua uliyojibiwa kama uthibitisho au mpka uanze mchakato wa kuomba vacancy request alafu wao wakujibu kweny mfumo then uendelee na transfer request?
 
Ivi kwa mfano

Ivi kwa mfano umeomba uhamisho kwa kutuma barua alafu taasisi husika wakakujibu kuwa nafasi ipo jee unaweza kuendelea na transfer request kwa kuattach ile barua uliyojibiwa kama uthibitisho au mpka uanze mchakato wa kuomba vacancy request alafu wao wakujibu kweny mfumo then uendelee na transfer request?
Anza Mchakato Upya Na Uliombaje Uhamisho kwa Barua Wakati UTUMISHI walisitisha matumizi ya Barua April mwaka Jana?
 
Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...

Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..

wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..

Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Taasisi wakiapprove ukia
Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...

Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..

wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..

Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Je Taasisi wakiapprove ukianza kuniate transfer mkuu wa idara akiapprove inakuambia your transfer request is accepted you can now submit to authority approval,ukituma submit inakuletea vacancy in destination already filled maana yake nini?
 
Taasisi wakiapprove ukia

Je Taasisi wakiapprove ukianza kuniate transfer mkuu wa idara akiapprove inakuambia your transfer request is accepted you can now submit to authority approval,ukituma submit inakuletea vacancy in destination already filled maana yake nini?
KUmbe ni lazima Taasisi unayotaka kuhamia wa-approve..! Ina mlolongo kidogo. Ila kama Taasisi mpya washa-approve kwanini ionekane nafasi imeshajazwa..?
Hebu waje wajuvi wa mfumo watupe A,B,C
 
Taasisi wakiapprove ukia

Je Taasisi wakiapprove ukianza kuniate transfer mkuu wa idara akiapprove inakuambia your transfer request is accepted you can now submit to authority approval,ukituma submit inakuletea vacancy in destination already filled maana yake nini?
mkuu hata hapo huelewi maana yake? Huko unakoenda wamekataa kukupokea means wamekataa ombi lako au nafasi imejaa...
yaani nafasi uliyoomba kwenda huko imeshapata mtu
 
Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...

Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..

wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..

Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Kwa taratibu hizi unaweza kukaa hata miaka mitano😎
 
Kwa taratibu hizi unaweza kukaa hata miaka mitano😎
Kama ni issue ya kuforward tu kutoka hapa kwenda kule ni zoezi la siku 3 tu ila ubize wa viongozi hapo ndio unaweza kuchelewesha jambo
 
Back
Top Bottom