Transfer vacancy request at ESS Utumishi

Transfer vacancy request at ESS Utumishi

Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...

Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..

wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..

Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Ivi kwa mfano
mim nimesubmit hii request na ipo destination organization tokea trh 22/01 ila haijafanyiwa kazi yaani kuhama kupitia huu mfumo ni mtihani. lakini pia taasis unayotuma request kama hawana budget system inakataa mapema kabisa (Tha vacancy is not budgeted)
Ivi kwa mfano umeomba uhamisho kwa kutuma barua alafu taasisi husika wakakujibu kuwa nafasi ipo jee unaweza kuendelea na transfer request kwa kuattach ile barua uliyojibiwa kama uthibitisho au mpka uanze mchakato wa kuomba vacancy request alafu wao wakujibu kweny mfumo then uendelee na transfer request?
 
Ivi kwa mfano

Ivi kwa mfano umeomba uhamisho kwa kutuma barua alafu taasisi husika wakakujibu kuwa nafasi ipo jee unaweza kuendelea na transfer request kwa kuattach ile barua uliyojibiwa kama uthibitisho au mpka uanze mchakato wa kuomba vacancy request alafu wao wakujibu kweny mfumo then uendelee na transfer request?
Anza Mchakato Upya Na Uliombaje Uhamisho kwa Barua Wakati UTUMISHI walisitisha matumizi ya Barua April mwaka Jana?
 
Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...

Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..

wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..

Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Taasisi wakiapprove ukia
Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...

Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..

wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..

Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Je Taasisi wakiapprove ukianza kuniate transfer mkuu wa idara akiapprove inakuambia your transfer request is accepted you can now submit to authority approval,ukituma submit inakuletea vacancy in destination already filled maana yake nini?
 
Taasisi wakiapprove ukia

Je Taasisi wakiapprove ukianza kuniate transfer mkuu wa idara akiapprove inakuambia your transfer request is accepted you can now submit to authority approval,ukituma submit inakuletea vacancy in destination already filled maana yake nini?
mkuu hata hapo huelewi maana yake? Huko unakoenda wamekataa kukupokea means wamekataa ombi lako au nafasi imejaa...
yaani nafasi uliyoomba kwenda huko imeshapata mtu
 
Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...

Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..

wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..

Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Kwa taratibu hizi unaweza kukaa hata miaka mitano😎
 
Hivi inakuwaje HR kushindwa kukuona mtu uliyerequest OMBI la UHAMISHO..?
Je, Kuna issue inaonekana HR hawajaset vizuri kwenye mfumo ndio inasababisha washindwe kuona muhusika na ku-approval.?
DR Mambo Jambo
Mara nyingi unakuta kuna afisa hajapitisha,mfano ikiandika ipo kwa accounting officer-wengi hufikiria kwamba anapaswa tu kumuona mkurugenzi/aliyekasimishwa majukumu ya utawala kumbe mkuu wa idara anapaswa kupitisha, na mkuu wa HR anapaswa kupitisha(hapa anapitisha taarifa za mshahara) kabla haijafanyiwa kazi na mamlaka ya mwisho kwenye taasisi husika.
 
Habari! Umeongea vema mnoo,, kwasasa mfumo unaruhusu kwa kwenda ikiwa muhusika hajaifanyia kazi,,, swali langu je kwa upande huu wa vacancy request na kwao Kuna time limit ikiwa mkuu wa taasisi hajaifanyia kazi inaenda kwa destination organization?
Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...

Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..

wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..

Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
 
Habari! Umeongea vema mnoo,, kwasasa mfumo unaruhusu kwa kwenda ikiwa muhusika hajaifanyia kazi,,, swali langu je kwa upande huu wa vacancy request na kwao Kuna time limit ikiwa mkuu wa taasisi hajaifanyia kazi inaenda kwa destination organization?
YEAH, kabisa kuna idadi ya siku mfumo unasoma zikipita zile siku mfumo unasogeza maombi kwa hatua inayofuata
 
YEAH, kabisa kuna idadi ya siku mfumo unasoma zikipita zile siku mfumo unasogeza maombi kwa hatua inayofuata
Uko vizuri Dr, hivi Dr una Uzoefu na huu mfumo kuhusu muda sahihi wa kushughulikia ombi hasa maombi yaliyoanza kwa kuomba Vacancy > Transfer > UTUMISHI..?
 
Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...

Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..

wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..

Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Unaandika Vacancy transfer request kwenda sehemu unayotaka kuhamia, inakuwaje tena request iende kwa taasisi uliyopo?
 
Unaandika Vacancy transfer request kwenda sehemu unayotaka kuhamia, inakuwaje tena request iende kwa taasisi uliyopo?
Sasa Request inaendaje moja kwa moja bila kupita kwa wasimamizi wako kujua unataka kuenda wapi??
kiutaratibu hta unakoenda hawawezi kupokea ombi ambalo wasimamizi wako hawajui..
utaratibu ni lazima immediate supevisor apitishe mpka afisa masuhuli wako then ndo ombi liende kwa wahusika
 
Sasa Request inaendaje moja kwa moja bila kupita kwa wasimamizi wako kujua unataka kuenda wapi??
kiutaratibu hta unakoenda hawawezi kupokea ombi ambalo wasimamizi wako hawajui..
utaratibu ni lazima immediate supevisor apitishe mpka afisa masuhuli wako then ndo ombi liende kwa wahusika
Vacancy request, ni request ya kuulizia nafasi kama ipo unapotaka kwenda, na siyo request ya kuomba kuhama ili kuhamia.
 
Back
Top Bottom