Ivi kwa mfanoUkituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...
Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..
wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..
Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Ivi kwa mfano umeomba uhamisho kwa kutuma barua alafu taasisi husika wakakujibu kuwa nafasi ipo jee unaweza kuendelea na transfer request kwa kuattach ile barua uliyojibiwa kama uthibitisho au mpka uanze mchakato wa kuomba vacancy request alafu wao wakujibu kweny mfumo then uendelee na transfer request?mim nimesubmit hii request na ipo destination organization tokea trh 22/01 ila haijafanyiwa kazi yaani kuhama kupitia huu mfumo ni mtihani. lakini pia taasis unayotuma request kama hawana budget system inakataa mapema kabisa (Tha vacancy is not budgeted)
Anza Mchakato Upya Na Uliombaje Uhamisho kwa Barua Wakati UTUMISHI walisitisha matumizi ya Barua April mwaka Jana?Ivi kwa mfano
Ivi kwa mfano umeomba uhamisho kwa kutuma barua alafu taasisi husika wakakujibu kuwa nafasi ipo jee unaweza kuendelea na transfer request kwa kuattach ile barua uliyojibiwa kama uthibitisho au mpka uanze mchakato wa kuomba vacancy request alafu wao wakujibu kweny mfumo then uendelee na transfer request?
Mbona watu wanahama kwa barua tu tena kutoka wizara moja kwenda nyingine?Anza Mchakato Upya Na Uliombaje Uhamisho kwa Barua Wakati UTUMISHI walisitisha matumizi ya Barua April mwaka Jana?
Naelewa Mkuu Ila Ni kwa Janja janja..Mbona watu wanahama kwa barua tu tena kutoka wizara moja kwenda nyingine?
Huyo ni tapeli aisee!Nakubali kabisa aisee!!!
Yule mjinga sana kumbe ndiyo maana ameniblock
Aisee nashukuru sana kwa kunifungua hili fuvu
Inshu ni kwamba nimeomba kweny mfumo ila nomeaattach na barua ya majibu kama uthibitishoAnza Mchakato Upya Na Uliombaje Uhamisho kwa Barua Wakati UTUMISHI walisitisha matumizi ya Barua April mwaka Jana?
Know who!Naelewa Mkuu Ila Ni kwa Janja janja..
Na Naelewa kuwa watu wanahamishwa Sana kwa Barua Za Kutoka juu moja kwa moja
Taasisi wakiapprove ukiaUkituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...
Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..
wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..
Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Je Taasisi wakiapprove ukianza kuniate transfer mkuu wa idara akiapprove inakuambia your transfer request is accepted you can now submit to authority approval,ukituma submit inakuletea vacancy in destination already filled maana yake nini?Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...
Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..
wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..
Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
mkuu hata hapo huelewi maana yake? Huko unakoenda wamekataa kukupokea means wamekataa ombi lako au nafasi imejaa...Taasisi wakiapprove ukia
Je Taasisi wakiapprove ukianza kuniate transfer mkuu wa idara akiapprove inakuambia your transfer request is accepted you can now submit to authority approval,ukituma submit inakuletea vacancy in destination already filled maana yake nini?
Kwa taratibu hizi unaweza kukaa hata miaka mitano😎Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...
Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..
wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..
Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Mara nyingi unakuta kuna afisa hajapitisha,mfano ikiandika ipo kwa accounting officer-wengi hufikiria kwamba anapaswa tu kumuona mkurugenzi/aliyekasimishwa majukumu ya utawala kumbe mkuu wa idara anapaswa kupitisha, na mkuu wa HR anapaswa kupitisha(hapa anapitisha taarifa za mshahara) kabla haijafanyiwa kazi na mamlaka ya mwisho kwenye taasisi husika.Hivi inakuwaje HR kushindwa kukuona mtu uliyerequest OMBI la UHAMISHO..?
Je, Kuna issue inaonekana HR hawajaset vizuri kwenye mfumo ndio inasababisha washindwe kuona muhusika na ku-approval.?
DR Mambo Jambo
Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...
Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..
wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..
Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
YEAH, kabisa kuna idadi ya siku mfumo unasoma zikipita zile siku mfumo unasogeza maombi kwa hatua inayofuataHabari! Umeongea vema mnoo,, kwasasa mfumo unaruhusu kwa kwenda ikiwa muhusika hajaifanyia kazi,,, swali langu je kwa upande huu wa vacancy request na kwao Kuna time limit ikiwa mkuu wa taasisi hajaifanyia kazi inaenda kwa destination organization?
Uko vizuri Dr, hivi Dr una Uzoefu na huu mfumo kuhusu muda sahihi wa kushughulikia ombi hasa maombi yaliyoanza kwa kuomba Vacancy > Transfer > UTUMISHI..?YEAH, kabisa kuna idadi ya siku mfumo unasoma zikipita zile siku mfumo unasogeza maombi kwa hatua inayofuata
maombi yamefikia wapi?Uko vizuri Dr, hivi Dr una Uzoefu na huu mfumo kuhusu muda sahihi wa kushughulikia ombi hasa maombi yaliyoanza kwa kuomba Vacancy > Transfer > UTUMISHI..?
Unaandika Vacancy transfer request kwenda sehemu unayotaka kuhamia, inakuwaje tena request iende kwa taasisi uliyopo?Ukituma Transfer Vacancy Request..
Unasubiri Ipitishwe na Taasisi Uliyopo.kwanza Mkurugenzi wa Taasisi yako akiipitisha..
Ataituma kwenda Destination Insitute / (Taasisi unayotaka kuhamia)...
Taasisi unayotaka Kuhamia kama watakuwa na Nafasi ya Kupokea Mtumishi watakubali Request yako kwahyo wata APPROVE..
wakimaliza Utaletewa Option ya Kuanza Kuinitiate Transfer Sasa..
Na Hapo ndo utaanza Kuomba Maombi ya Uhamisho...
Baada ya Kuomba Taratibu zitaenda kwa Mkurugenzi wako mpaka kwa Katibu mkuu Utumishi..
Na baada ya Kupewa Permit ya Kuhama kutoka Utumishi..
Utahama Rasmi
Sasa Request inaendaje moja kwa moja bila kupita kwa wasimamizi wako kujua unataka kuenda wapi??Unaandika Vacancy transfer request kwenda sehemu unayotaka kuhamia, inakuwaje tena request iende kwa taasisi uliyopo?
Vacancy request, ni request ya kuulizia nafasi kama ipo unapotaka kwenda, na siyo request ya kuomba kuhama ili kuhamia.Sasa Request inaendaje moja kwa moja bila kupita kwa wasimamizi wako kujua unataka kuenda wapi??
kiutaratibu hta unakoenda hawawezi kupokea ombi ambalo wasimamizi wako hawajui..
utaratibu ni lazima immediate supevisor apitishe mpka afisa masuhuli wako then ndo ombi liende kwa wahusika
Nyie hamkutani na jini vacancy not budgeted?Vacancy request, ni request ya kuulizia nafasi kama ipo unapotaka kwenda, na siyo request ya kuomba kuhama ili kuhamia.