ANT DRUGS
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 5,427
- 6,773
Hawa watu hakuna kitu wanaelewa na ni wakali balaaMaswali haya cha ajabu ni kwamba hakunaga anayejibu yaani kila mtu hajui
Huu mfumo jau sana maafisa wahusika nao ukiwauliza kitu wanatupiana mpira tu ni kama nao hawaelewi kitu au kama wanaelewa basi hawana msaada maana kila kitu tunafundishana wenyewe tu