johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,725
Huo wivu huo ndo maaana kuna dim chakufanya ni kutoa ushauri kwa maderevazile zenye mwanaga mkali naungana na trafiki usiku ni hatari sana
Huo wivu huo ndo maaana kuna dim chakufanya ni kutoa ushauri kwa maderevazile zenye mwanaga mkali naungana na trafiki usiku ni hatari sana
dim hawatumii mkuu sina wivu kidogo juzi niingie mtaroni kisa jamaa kaja na mtaa wake kanipiga mpaka macho yanakosa mwelekeo kwa kweli hawafuati sheria na sababu ni urembo lengo lao ni kuziwasha sana barabarani si salama ,.. impact yake naijua mkuu.. kuremba gari si kosa kosa kuweka vitu vinavyoatarisha uhai wawengine mpaka usiku wanatufanya tunaendesha magari na sun glass incase akitoea chizi fulaniHuo wivu huo ndo maaana kuna dim chakufanya ni kutoa ushauri kwa madereva
Mkuu kwahiyo had sportlim wanakamata?Sport lights zimekua chanzo cha mapato ya serikali ya CCM
View attachment 457203
UUUUuwiiii!!!! hapo sasa tunaelekea kubayaBado waanze kukamata na wale walioweka vioo vya trinted Maana Wengne wanafanya ufuska na kusafirisha Wakina John kisa hatuwaoni
Mkuu kwahiyo had sportlim wanakamata?
Mahita alikemea mpaka akamwachia MTU nae kamwachia MTU bado tinted hadi kwenye side mirrowBado waanze kukamata na wale walioweka vioo vya trinted Maana Wengne wanafanya ufuska na kusafirisha Wakina John kisa hatuwaoni
Usiyafanye ili ikose pesaserikali imeamua kutengeneza makosa mapya ya barabarani kama chanzo cha mapato baada ya mambo kuwa mabaya bandarini.
Hiyo ilishapigwa marufuku siku nyingiBado waanze kukamata na wale walioweka vioo vya trinted Maana Wengne wanafanya ufuska na kusafirisha Wakina John kisa hatuwaoni
Wivu wa taa?Huo wivu huo ndo maaana kuna dim chakufanya ni kutoa ushauri kwa madereva
Sportlim ndio nini?Mkuu kwahiyo had sportlim wanakamata?
Zinakaguliwa kabla hazijarukahivi si bora kununua ndege maana huko angani trafiki anafikaje
Mbaya zaidi wengine wanaziwasha mchana jua kali, unashindwa kuelewa gari inadharura ipishwe njia au nini, Maana gari kuwasha taa mchana ni pamoja na kuwajulisha watumiaji/madereva wakupishe una dhararu. Siku hizi hata zile taa za ukungu, kipindi cha mvua ( Fog Lamps ) zinawashwa mchana jua kalidim hawatumii mkuu sina wivu kidogo juzi niingie mtaroni kisa jamaa kaja na mtaa wake kanipiga mpaka macho yanakosa mwelekeo kwa kweli hawafuati sheria na sababu ni urembo lengo lao ni kuziwasha sana barabarani si salama ,.. impact yake naijua mkuu.. kuremba gari si kosa kosa kuweka vitu vinavyoatarisha uhai wawengine mpaka usiku wanatufanya tunaendesha magari na sun glass incase akitoea chizi fulani