miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,973
mkuu ni tatizo wacha tu wakamatweMbaya zaidi wengine wanaziwasha mchana jua kali, unashindwa kuelewa gari inadharura ipishwe njia au nini, Maana gari kuwasha taa mchana ni pamoja na kuwajulisha watumiaji/madereva wakupishe una dhararu. Siku hizi hata zile taa za ukungu, kipindi cha mvua ( Fog Lamps ) zinawashwa mchana jua kali