Uwekaji wa taa hizo ni kinyume cha Sheria ya Usalama Barabarani Kifungu cha 39 Sura ya 168, ambacho kinaeleza matumizi ya taa. iyo sheria ipo toka kitambo haijatungwa jana mkuu hayo ma taa yanaumiza sana..Sheria za mdomoni kazi sana... na pia kumbe walishapanga hadi fine ni 30,000/= ?duh
Mbona Mwendo kasi ni Sheria ila misafara ya Raisi na wengineo spidi yao ni hatari... pia askari ndio wanavunja sheria kila siku huwa nashuhudia sana natamani niwe nawapiga picha ikitokea nimeruhusiwa na kizawadi kama kitakuwepo..Uwekaji wa taa hizo ni kinyume cha Sheria ya Usalama Barabarani Kifungu cha 39 Sura ya 168, ambacho kinaeleza matumizi ya taa. iyo sheria ipo toka kitambo haijatungwa jana mkuu hayo ma taa yanaumiza sana..
Amjajibuuswalii
2019 HIO TAR N YANINI MWISHO WAKULIPA FAINI AMA
Wee,thubutu,kwenye mitandao ya kijamii kila MTU ana akili,ni tajiri,msomi,anaelewa sana,ana familia bora,anatoka familia ya kishua,anaishi maeneo yenye hadhi kubwa,ana marafiki matajiri/wasomi/wana siasa maarufu,anaenda supermarket kununua mahitaji ya kila siku ya chakula,sio kariakoo,anamiliki simu latest version kabisa nk.Wana jf na alike sio watu wa mchezo mchezo ati,ukibahatika kumfahamu anavyochangia kwenye social media hizi na real life analoishi utachoka kabisa.Bora sisi tunaoishi vijijini baiskeli ndio mpango mzima.Leo nimeamini. Kila member JF ana gariiiii
Hizi taa watu wengi hawajui namna na mahali pa kuzitumia.. mie naona sawa tena sawa sana.. eti wanaota "Jua" akili ndogo kabisa.. mjini mtu anawasha sport lights za nini sasa..Kweli wakamate tu. Yaani ukiwa masafa marefu unakutana na madereva malimbukeni wanakupiga taa mpaka unapoteza uelekeo. Nilikuwa nashuka Sekenke nikitokea Singida, jamaa akawa anapandisha akitokea Shelui. Kila nikimpa ishara apunguze mwanga haelewi. Nikajua ni gari kubwa na labda jamaa ana matatizo. Nikasimama, kinanipita, kumbe kiverosa! Nilichukia sana. Naangalia niliposimama, bado kidogo ningegonga jiwe kubwa.
mkuu kuna gari ni town trip ila mtu kaweka hayo mataa ...HAPANA, SIO HATARI.
UNAFAHAMU KUWA, MFANO SAFARINI AU KIPINDI CHA MVUA, ZILE HUSAIDIA SANA.?
KWA MTU ANAESAFIRI MARA KWA MARA HIZI ZINAMFAA MNO!
Wenzio wanawasha hizo anatoka Segerea anaenda Buguruni, barabara yenyewe nyembamba......na wengine humu wanazo na wanafurahia kusumbua madereva wengine. Inabidi baada ya kipimo cha ulevi tupimwe na akili pia.HAPANA, SIO HATARI.
UNAFAHAMU KUWA, MFANO SAFARINI AU KIPINDI CHA MVUA, ZILE HUSAIDIA SANA.?
KWA MTU ANAESAFIRI MARA KWA MARA HIZI ZINAMFAA MNO!