OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,244
- 103,937
Hapa sokoni lori la jeshi limepaki kwenye ukingo wa zebra sehemu ya sisi waenda kwa miguu kuvukia. Kwa ufupi lori limebrok zebra na dreva yupo mle kapiga usingizi.
Kwa hiyo nikamfuata trafic ili aje amshughulikie yule mwanajeshi kwa mujibu wa sheria maana waenda kwa miguu wanashindwa kupita pale.
Trafic kaniambia ile sio kazi yangu. Nikaingia sokoni mpaka natoka muda huu nusu saa ile gari bado ipo.
Sheria za nchi hazihusu JWTZ?
Kwa hiyo nikamfuata trafic ili aje amshughulikie yule mwanajeshi kwa mujibu wa sheria maana waenda kwa miguu wanashindwa kupita pale.
Trafic kaniambia ile sio kazi yangu. Nikaingia sokoni mpaka natoka muda huu nusu saa ile gari bado ipo.
Sheria za nchi hazihusu JWTZ?