cmases
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 1,766
- 1,425
Kama dereva aliyekamatwa hana kosa?Mfumo wa utoaji faini ya malipo unahitaji kuwe na namba ya leseni ya dereva aiyefanya kosa barabarani
Kama dereva aliyekamatwa hana kosa?Mfumo wa utoaji faini ya malipo unahitaji kuwe na namba ya leseni ya dereva aiyefanya kosa barabarani
Kwanini akamatwe na hana kosa😂😂😂😂😂Kama dereva aliyekamatwa hana kosa?
Asante Bro. Kabombe lakini katika siku tajwa mimi na mke wangu tulikuwa wote nyumbani na gari haikutoka siku nzima
Hii ni kweli, rafiki yangu alienda ku-renew leseni akaambiwa akalipe kwanza faini ya kosa la barabarani, kosa limefanyika Dar wakati gari liko Dodoma. Hata hivyo walifuta deni hilo baada ya wiki tatu, lakini kwa kufuatilia man to manKumekuwa na hali ambayo haileweki ndani ya jeshi la polisi upande wa usalama barabarani ambapo unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na unaandikiwa na kosa lako wakati huo wewe upo Dar es salaam na gari halijaenda popote siku nzima wewe upo nyumbani.
Ukiingia kwenye mtandao wao wa tms.tpf.go.tz unasachi gari yako unaona kweli umeandikiwa kosa kwa muda huo lakini unakuta kosa hilo limefanyikia mkoani. Ukienda kuripoti tatizo hilo unaelekezwa uende traffic Central ili tatizo lako liweze kushughulikiwa na kitengo kinachohusika na malalamiko kama hayo.
Hapo sasa unaanza kuzungushwa kwani unaambiwa uache namba ya simu watalishughulikia na wanakueleza uwapigie kuwakumbushia. Sasa ukishaondoka hapo baada ya siku chache ukimpigia yule mhusika hapokei tena simu yako na ukitazama kwenye mtandao deni liko palepale.
Tunaomba wakuu wanaohusika ndani ya Jeshi letu la Polisi walitazame jambo hili la kubambikiwa faini kwani linawanyima raha wananchi wanaotumia vyombo hivi na kuwafanya wakose imani na jeshi lao la polisi ambalo tunaamini kuna maeneo wanafanya kazi vizuri sana.
Ukiona huwaelewi jua ndio umeanza kuwaelewa hivyo.Hao jamaa wa usalama barabarani(japo siku hizi ni faini barabarani) wamenifanya nidharau kazi yao, majitu hayajielewi, yanatumia nguvu nyingi akili kidogo.
Tanzania nchi moja,popote weka makaziO
Uongo mbaya kiongozi. Una jichanganya. Wewe ulisema haya mapema baada ya kuulizwa kwenu wapi:
Kwangu mimi ni Unguja,Nyumbani kwao Hussein
Hata bara ninakuja,kuongea ya chamani
Tunapanga yenye tija,vyote ndani ya ilani
Siraaj ng'aza siraati,tuondokwe na ghururi.
Senzighe majibu yangu yanakuhusu:
View attachment 1644389
View attachment 1644390
Kwa mwendelezo huu Senzighe m-CCM wewe kusoma namba ni halali!
Kama namba mtasoma, kama tusomavyo sisi,
Awamu hii ya neema, labda kwa makasisi,
Kanda yetu ya Musoma, labda pia busisi!
Kwa kipyenga cha Senzige, Tunayeya safarini.
Usiniombee mabaya,na mimi nisome nambaO
Uongo mbaya kiongozi. Una jichanganya. Wewe ulisema haya mapema baada ya kuulizwa kwenu wapi:
Kwangu mimi ni Unguja,Nyumbani kwao Hussein
Hata bara ninakuja,kuongea ya chamani
Tunapanga yenye tija,vyote ndani ya ilani
Siraaj ng'aza siraati,tuondokwe na ghururi.
Senzighe majibu yangu yanakuhusu:
View attachment 1644389
View attachment 1644390
Kwa mwendelezo huu Senzighe m-CCM wewe kusoma namba ni halali!
Kama namba mtasoma, kama tusomavyo sisi,
Awamu hii ya neema, labda kwa makasisi,
Kanda yetu ya Musoma, labda pia busisi!
Kwa kipyenga cha Senzige, Tunayeya safarini.
Tanzania nchi moja,popote weka makazi
Tumeungana pamoja,sihoji yangu makazi
Si Tabora si unguja,twaishi tangu vizazi
Ni jamhuri ya mungano,mimi naishi popote.
Kamsimu kasikuku,ivo wanasaka ela ya skukuu😂😂 vyuma kukaza si mchezo
Usiniombee mabaya,na mimi nisome namba
Ni trafiki mbaya,kakaa kabuni namba
Lengo lake ndiyo baya,aonekane ni mwamba
Leo deni limefutwa,ila ilikuwa mbinde.
😀😀😀😀😀Kwamba deni limefutwa, naona janja ya nyani,
Kwa kupisha kusakamwa, utuingize mjini,
Haya ya kamba kufungwa, tulihama migombani,
Trafiki kazi sana, hasa kwa mi-SiSi Emu!
Mi-sisi Emu mlidhani, wasoma namba si nyinyi,
Mkadhani upinzani, ni kwao tu wa Malinyi,
Uwahusu vipi kwani, si mnaye ndugu Mwinyi?
Tunayo furaha kubwa, bado kulimia meno!
Brazajei una gubu,sisi tumeridhianaKwamba deni limefutwa, naona janja ya nyani,
Kwa kupisha kusakamwa, utuingize mjini,
Haya ya kamba kufungwa, tulihama migombani,
Trafiki kazi sana, hasa kwa mi-SiSi Emu!
Mi-sisi Emu mlidhani, wasoma namba si nyinyi,
Mkadhani upinzani, ni kwao tu wa Malinyi,
Uwahusu vipi kwani, si mnaye ndugu Mwinyi?
Tunayo furaha kubwa, bado kulimia meno!
Acha uongo tena this time ndo ujinga umezidiKipindi hiki cha JPM hayo mambo wanayaogopa kama ukoma, kama yupo anaebandikiza watu makosa mripoti atumbuliwe chapchap.
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Kundi za vibaka waliohusika n kuiba kuraKumekuwa na hali ambayo haileweki ndani ya jeshi la polisi upande wa usalama barabarani ambapo unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na unaandikiwa na kosa lako wakati huo wewe upo Dar es salaam na gari halijaenda popote siku nzima wewe upo nyumbani.
Ukiingia kwenye mtandao wao wa tms.tpf.go.tz unasachi gari yako unaona kweli umeandikiwa kosa kwa muda huo lakini unakuta kosa hilo limefanyikia mkoani. Ukienda kuripoti tatizo hilo unaelekezwa uende traffic Central ili tatizo lako liweze kushughulikiwa na kitengo kinachohusika na malalamiko kama hayo.
Hapo sasa unaanza kuzungushwa kwani unaambiwa uache namba ya simu watalishughulikia na wanakueleza uwapigie kuwakumbushia. Sasa ukishaondoka hapo baada ya siku chache ukimpigia yule mhusika hapokei tena simu yako na ukitazama kwenye mtandao deni liko palepale.
Tunaomba wakuu wanaohusika ndani ya Jeshi letu la Polisi walitazame jambo hili la kubambikiwa faini kwani linawanyima raha wananchi wanaotumia vyombo hivi na kuwafanya wakose imani na jeshi lao la polisi ambalo tunaamini kuna maeneo wanafanya kazi vizuri sana.
😀😀😀😀😀
Brazajei una gubu,sisi tumeridhiana
Hussein amehutubu,ya zamani kuachana
Tusitafute sababu,tunaka kupatana
Twafungua ukurasa,mpya kuridhiana.
Sasa nakupa ukweli ,upate kunifahamu
Ninao wake wawili,Zenj na Darisalamu
Huku bara wilki mbili,Mbili kule tasilimu
Nadumisha muungano,wengine nanyi igeni.
Kwa sasa TRAFIC ni TRA no 1. katika nchi hii Magari ni chanzo cha mapato makubwa cha wanasiasa!!Kumekuwa na hali ambayo haileweki ndani ya jeshi la polisi upande wa usalama barabarani ambapo unaletewa meseji kwenye simu kwamba umepigwa faini na unaandikiwa na kosa lako wakati huo wewe upo Dar es salaam na gari halijaenda popote siku nzima wewe upo nyumbani.
Ukiingia kwenye mtandao wao wa tms.tpf.go.tz unasachi gari yako unaona kweli umeandikiwa kosa kwa muda huo lakini unakuta kosa hilo limefanyikia mkoani. Ukienda kuripoti tatizo hilo unaelekezwa uende traffic Central ili tatizo lako liweze kushughulikiwa na kitengo kinachohusika na malalamiko kama hayo.
Hapo sasa unaanza kuzungushwa kwani unaambiwa uache namba ya simu watalishughulikia na wanakueleza uwapigie kuwakumbushia. Sasa ukishaondoka hapo baada ya siku chache ukimpigia yule mhusika hapokei tena simu yako na ukitazama kwenye mtandao deni liko palepale.
Tunaomba wakuu wanaohusika ndani ya Jeshi letu la Polisi walitazame jambo hili la kubambikiwa faini kwani linawanyima raha wananchi wanaotumia vyombo hivi na kuwafanya wakose imani na jeshi lao la polisi ambalo tunaamini kuna maeneo wanafanya kazi vizuri sana.
Ona huyu. Kwahiyo wanaoeleza unawaona vilaaaaza au mwaka huu ndio ilikuwa awamu ya jk kumalizikaKipindi hiki cha JPM hayo mambo wanayaogopa kama ukoma, kama yupo anaebandikiza watu makosa mripoti atumbuliwe chapchap.
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Kundi za vibaka waliohusika n kuiba kura
Brazaj una ila,uchaguzi ushakwishaHabari hizi zimfikie gwiji wa chama tawala, almaarufu "Senzighe wa Senzighe ."
Lissu kuweza mwelewa, namba tuisome haswa!
Kwamba ni bazazi hawa, wangapi wamewauwa?
Muda wote wamelewa, dereva awapa vichwa,
Yeye dereva wa Lori, asikilize la nani?
Hapa chini yalikuwa ya mleta mada kabla ya kibao kugeuka:
View attachment 1645164