sasa unalipaje faini kama hiyo
Labda uwe na muda mwingi wa kupoteza. Kwenye mitano mingine mabazazi wana mamlaka ya kushikilia gari lako wakakupa halina matairi mwisho wa shauri.
sasa unalipaje faini kama hiyo
Mimi hua nikicheki kwny web yao nakuta gari imeandikiwa fine wkt gari iko ndani tu hata haijatoka lkn baada ya siku kadhaa nikichek nakuta tena sina deni,sijui hua kinatokea kitu gani hapo.Sasa we presha ya nini?
Namba ya leseni sio yako, basi tulia!
Hahah kumbukumbu kutoka maktaba.Habari hizi zimfikie gwiji wa chama tawala, almaarufu "Senzighe wa Senzighe ."
Lissu kuweza mwelewa, namba tuisome haswa!
Kwamba si bazazi hawa, wangapi wamewauwa?
Muda wote wamelewa, dereva awapa vichwa,
Yeye dereva wa Lori, asikilize la nani?
Hapa chini yalikuwa ya mleta mada kabla ya kibao kugeuka:
View attachment 1645164
sasa unalipaje faini kama hiyo
Wakadumu Mabeberu, watupao kupumua,
Hamnaga kushukuru, hamtoki mtaua?
Bila yao Mabeberu, kwani mngejitambua?
Mnajiita majiwe, beberu saizi yenu!
Hivi kweli mwafurahi,beberu kuwarubuni ?Wakadumu Mabeberu, watupao kupumua,
Hamnaga kushukuru, hamtoki mtaua?
Bila yao Mabeberu, kwani mngejitambua?
Mnajiita majiwe, beberu saizi yenu!
Mrangi unachemka,na mawazo ya kichawiTena wazidishe kubambika
Unafikiri wao wataishije
Ongezeni dozi matrafik
Ova
Hivi kweli mwafurahi,beberu kuwarubuni ?
Tuseme Inna lillahi,wa inna illaihi raj"uni
Huu msiba wallahi,Uhuru wetu wa nini ?
Nalia nasikitika,mwahusudu mashetani.
Kama tulivyo wengine, hamuhitaji wakili,Unamtetea Mrangi,mwenye roho ilopinda
Dua zake mbaya nyingi, inshallah zitadunda
Ataomba mara nyingi,hadi domo litapinda
Simtetee Mrangi,utarithi roho mbaya
Kantalambaz umenena,ya kweli na ya hakikaWaache mabeberu waishi maisha yao na sisi tuishi ya kwetu. Mabeberu hawakufika hapo walipo kwa kutegemea misaada, walipambana km sisi tunavyojaribu kufanya sasa hivi. Hata km kuna sehemu tunakosea kosea ni swala la mda tu mambo yatakua sawa tu.
Hapana Nna swahiba wangu trafikMrangi unachemka,na mawazo ya kichawi
Roho yako ni ya paka,yataka kupigwa kiwi
Dua lako bila shaka ,litaishia Misungwi
Ya Rabi pindua hila,abambikwe babu yake.
Duuuh,umetisha mrangi.Kalichune hilo 🤣🤣🤣🤣🤣!!!!!!!! usijali ndugu yangu haya ni malumbano tu ya kuongeza vitamini mwilini na kukuza lugha yetu ya kiswahili.Hapana Nna swahiba wangu trafik
Ananipaga sana ofa za biaaaa
Hapa ynyw msg yke imeingia tukatane sehemu
Ova
Hamna jnsi maana sahv kila mtu anaona kama anachelewa,kila mtu anakula kwenye nafasi yake....Duuuh,umetisha mrangi.Kalichune hilo !!!!!!!! usijali ndugu yangu haya ni malumbano tu ya kuongeza vitamini mwilini na kukuza lugha yetu ya kiswahili.
Kantalambaz umenena,ya kweli na ya hakika
Wanataka kutubana,huko kwao patashika
Korona inawakuna,bado wanahangaika
Mabeberu hayawani,Ngo'mbe kasoro mikia
cc : brazaj
Gari ni ya kwako na namba zake hizohizo, Ila leseni ni ya mtu mwingine.