TRA yakusanya tr.15.9 July -Juni 2029

TRA yakusanya tr.15.9 July -Juni 2029

Je Msioipenda Serikali ya awamu ya 5 na Ccm
yake bado hata kwa hili hampongezi?
Je Hamuoni kuwa msipoipongeza Serikali kwa
hili mtakuwa Wanafiki?
Je kuendelea na Unafiki hamuoni mtakuwa
chukizo kwa Mungu wa Mbinguni?
Basi njooni tusemezane Tanzania kumenoga.
Wewe Mzee Nondo mbona unatuchanganya? Mwaka wa 2029 June mbona uko mbali sana?
Alafu andika vizuri July mwaka gani - mpaka June mwaka gani?

Then, onyesha walipanga kukusanya kiasi gani na wamekusanya kiasi gani. Hapo sasa tutatoa pongezi. Amen.
 
Mkuu mbona 2029 hatujafika bado au we ipo ulimwengu upi ambao uko mbele namna hiyo
 
Je Msioipenda Serikali ya awamu ya 5 na Ccm
yake bado hata kwa hili hampongezi?
Je Hamuoni kuwa msipoipongeza Serikali kwa
hili mtakuwa Wanafiki?
Je kuendelea na Unafiki hamuoni mtakuwa
chukizo kwa Mungu wa Mbinguni?
Basi njooni tusemezane Tanzania kumenoga.
Itakusanya au imekusanya

Punguza jazba taratibu tuelewashane
 
Hivi inaanza July au juni,,,,
Nikuanzia kutoka July 2019 mpaka juni 2029 ndiyo watakuwa wamekusanya hizo au?????
 
Je Msioipenda Serikali ya awamu ya 5 na Ccm
yake bado hata kwa hili hampongezi?
Je Hamuoni kuwa msipoipongeza Serikali kwa
hili mtakuwa Wanafiki?
Je kuendelea na Unafiki hamuoni mtakuwa
chukizo kwa Mungu wa Mbinguni?
Basi njooni tusemezane Tanzania kumenoga.

Typin error ni Mwaka 2019 na Si 2029
Sawa mwaka 2029 ni dejavuu nzuri sana hii.
 
Je Msioipenda Serikali ya awamu ya 5 na Ccm
yake bado hata kwa hili hampongezi?
Je Hamuoni kuwa msipoipongeza Serikali kwa
hili mtakuwa Wanafiki?
Je kuendelea na Unafiki hamuoni mtakuwa
chukizo kwa Mungu wa Mbinguni?
Basi njooni tusemezane Tanzania kumenoga.
Typing error ni Mwaka 2019 na Si 2029
TAREHE 15 SEPTEMBA
 
Sasa kama wanakusanya pesa zote hizo iweje Sirikali ishindwe kuongeza mishahara ambayo haijaongezwa kwa miaka minne!? 😳😳😳

Tia akili kichwani badala ya kukurupuka. Uongo wa hii Sirikali iliyojaa waongo mwisho Lumumba si humu.

Je Msioipenda Serikali ya awamu ya 5 na Ccm
yake bado hata kwa hili hampongezi?
Je Hamuoni kuwa msipoipongeza Serikali kwa
hili mtakuwa Wanafiki?
Je kuendelea na Unafiki hamuoni mtakuwa
chukizo kwa Mungu wa Mbinguni?
Basi njooni tusemezane Tanzania kumenoga.

Typing error ni Mwaka 2019 na Si 2029
 
Mshahara utasaidia nini ukiongezwa? Je wafugaji waongezwe nini? Wakulima waongezwe nini? Wafanyabiashara waongezwe nini? Wachimbaji madini waongezwe nini? Kumbuka fedha unayotaka inatokana na kodi za kila mtu, hivyo kila mmoja anahaki kuifaidi. Sasa kwanini nyongeza iwe kwa kundi moja tu? Acha kukalili. Bora hela iende kwenye miradi ya kijamii ambapo wote tutafaidika. Acha kukalili.
Sasa kama wanakusanya pesa zote hizo iweje Sirikali ishindwe kuongeza mishahara ambayo haijaongezwa kwa miaka minne!?

Tia akili kichwani badala ya kukurupuka. Uongo wa hii Sirikali iliyojaa waongo mwisho Lumumba si humu.
 
Je Msioipenda Serikali ya awamu ya 5 na Ccm
yake bado hata kwa hili hampongezi?
Je Hamuoni kuwa msipoipongeza Serikali kwa
hili mtakuwa Wanafiki?
Je kuendelea na Unafiki hamuoni mtakuwa
chukizo kwa Mungu wa Mbinguni?
Basi njooni tusemezane Tanzania kumenoga.

Typing error ni Mwaka 2019 na Si 2029
Kama umeweza kukosea mwaka hata hayo makusanyo pia
 
Back
Top Bottom