PostGE2025 Mtazamo wangu kuhusu tarehe 9 Disemba 2025

PostGE2025 Mtazamo wangu kuhusu tarehe 9 Disemba 2025

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,623
Reaction score
49,575
Hakutakuwa na maandamano.
anayebisha tuwekeane millioni 1 kwa millioni 1. Never, never, never never.

Siungi mkono ukandamizaji au torture ya aina yoyote ila naandika kwa kutumia jicho la 3.

Kitakachofanyika ni kwamba serikali kuweka hali ya dharula barabara kuu zote za majiji hasa Dar es salaam kuanzia tarehe 7 -8.

Mpaka tarehe 9 kugonga hodi kila mtu atakuwa amejifungia ndani.
Hakuna maandamano.

Ile tarehe 29 ni mkono wa Mange kuwajaza upepo watu kuwa TPDF iko tayari kuchukua nchi hivyo wanasubiri tu wananchi waliamshe wao wamalize kazi.

Wananchi wakiona alert za huko barabarani kuanzia tarehe 7 mpaka 8 hakuna propaganda nyingine inaweza kuwapeleka barabarani.
 
Kwahiyo hapo tayari ushaitetea serikali!? Sawa, wahi kachukue posho yako.

Ila kawaambie hasira za Gen-Z hazichochewi na Mange, yeye aliona picha na videos za waliouwawa kupitia mitandao. Lakini vijana wao walishuhudia wenzao wakipigwa risasi na maiti wakaishi nazo mitaani zaidi ya masaa72. Na hata waliopunyuliwa na kujeruhiwa, walichukuli kibabe toka mikononi mwao wakapelekwa mochwari hadi leo hawajulikani walipo.
 
Hakutakuwa na maandamano.
anayebisha tuwekeane millioni 1 kwa millioni 1. Never, never, never never.

Siungi mkono ukandamizaji au torture ya aina yoyote ila naandika kwa kutumia jicho la 3.

Kitakachofanyika ni kwamba serikali kuweka hali ya dharula barabara kuu zote za majiji hasa Dar es salaam kuanzia tarehe 7 -8.
Mpaka tarehe 9 kugonga hodi kila mtu atakuwa amejifungia ndani.
Hakuna maandamano.

Ile tarehe 29 ni mkono wa Mange kuwajaza upepo watu kuwa TPDF iko tayari kuchukua nchi hivyo wanasubiri tu wananchi waliamshe wao wamalize kazi.

Wananchi wakiona alert za huko barabarani kuanzia tarehe 7 mpaka 8 hakuna propaganda nyingine inaweza kuwapeleka barabarani.
Jicho la tatu ulilotumia ni lipi?
 
Sawa chukulia kuwa haytafanyika tarehe 9, then yakapangwa tena tarehe 13...kwahiyo njia itakuwa hiyohiyo ya kufungwa kwa baadhi ya shuguli? Kutibu matatizo ndiyo solution.
Watu watasema kila baada ya siku tatu kwa serikali kutumia nguvu kuzuia maandamano wanatangaza tena maandamano.

Haya ya tarehe 9 ni kwa ajili ya kuzuia sherehe za uhuru, hivyo trend itakuwa hiyohiyo make Serikalini huko kuna wapumbavu wengi kama wewe.
 
Hakutakuwa na maandamano.
anayebisha tuwekeane millioni 1 kwa millioni 1. Never, never, never never.

Siungi mkono ukandamizaji au torture ya aina yoyote ila naandika kwa kutumia jicho la 3.

Kitakachofanyika ni kwamba serikali kuweka hali ya dharula barabara kuu zote za majiji hasa Dar es salaam kuanzia tarehe 7 -8.

Mpaka tarehe 9 kugonga hodi kila mtu atakuwa amejifungia ndani.
Hakuna maandamano.

Ile tarehe 29 ni mkono wa Mange kuwajaza upepo watu kuwa TPDF iko tayari kuchukua nchi hivyo wanasubiri tu wananchi waliamshe wao wamalize kazi.

Wananchi wakiona alert za huko barabarani kuanzia tarehe 7 mpaka 8 hakuna propaganda nyingine inaweza kuwapeleka barabarani.
Kuweka hali ya Dharura kutazuia nn??

Watapiga Risasi watu?.


Mimi nakuhakikishia MAANDAMANO yapo makubwa sanaaaaaaa.

Mwambie Mama yako ajiandae Kuua sana ili apelekwe ICC au kutuachia Nchi.

Safari hii tumefanikisha mpaka Kundi la Akina Mama ,Wazee ,watu wazima Waliouliwa Ndugu zao, watakuwepo.
 
Hakutakuwa na maandamano.
anayebisha tuwekeane millioni 1 kwa millioni 1. Never, never, never never.

Siungi mkono ukandamizaji au torture ya aina yoyote ila naandika kwa kutumia jicho la 3.

Kitakachofanyika ni kwamba serikali kuweka hali ya dharula barabara kuu zote za majiji hasa Dar es salaam kuanzia tarehe 7 -8.

Mpaka tarehe 9 kugonga hodi kila mtu atakuwa amejifungia ndani.
Hakuna maandamano.

Ile tarehe 29 ni mkono wa Mange kuwajaza upepo watu kuwa TPDF iko tayari kuchukua nchi hivyo wanasubiri tu wananchi waliamshe wao wamalize kazi.

Wananchi wakiona alert za huko barabarani kuanzia tarehe 7 mpaka 8 hakuna propaganda nyingine inaweza kuwapeleka barabarani.
Hata Oct 29 mlisema hayo lakini yalipotokea mlifyata mikia yenu!!!
 
Ni kweli hiyo tarehe haitakuwa na chochote kila mtu atajifungia ndani ile ya mwanzo wengi iliwakauta katika vibarua vyao ikabidi tu nao waungane ili wafike nyumbani

Hii ya sasa hivi watu watajifungia zao ndani labda BAVICHA kadhaa wakajitoe sadaka na hawatapata mtu wa kumshawishi

Maafa makubwa yametokea ndugu zetu wengi wamefariki tena vifo vibaya sana sana mioyo yetu haijapona mnataka kutuingiza kwenye matatizo tena na nchi yetu haijafikia kiwango hiko cha mtu kuona bora afe kuliko kuongozwa na huu utawala narudia tena nchi yetu haijafikia kiwango hiki

Hizo Propaganda za kina Mange na Maria eti niandamane kwa sababu Abdul anamiliki Rolls Royce mimi sina hata baiskeli ni upumbavu

Na kuna namna hawa watu wanafaidika na huu uchochezi mtu kama hilda mda wote anatuma taarifa za uchochezi akiwa huko Kenya na mtu hawezi kufanya kitu bila kuwa na maslahi nacho

Mi roho inaniuma na hadi kumbukumbu zinagoma kupotea kushuhudia watu wawili wakikata roho kwa kupigwa risasi halafu kuna majitu yapo ulaya mengine Kenya hatujapona vizuri yanataka watu wakaumie tena na itatengeneza kikundi cha hamasa watawapa mtonyo hiyo siku kwa ajili ya kuwachuza wenzao kuwaingiza kwenye mkumbo

Yule Sativa naye ana ndugu zake Mbeya kule na familia yake sijaona akiripoti hata kifo cha mtu wake wa karibu hii inaonekana kwamba amewaweka mahali salama na penye utulivu na hakuna aliyeenda front

Diaspora mnachokifanya sio sawa hata kama mnatumika au mnafanya kwa maslahi yenu binafsi mjaribu kutufikiria na sisi huku zile damu zilomwagika mwanzoni inatosha sana na tusiombe ijirudie tena

Diaspora ningewaona wa maana kama na wao wangepanda ndege kuja Tanzania kuungana na wenzao ile tarehe 29 ila wao wameishia kwenye Keyboard tu huku watoto maskini wasio na hatia ambao walichochewa na hao Diaspora wakiangamia
 
Ni kweli hiyo tarehe haitakuwa na chochote kila mtu atajifungia ndani ile ya mwanzo wengi iliwakauta katika vibarua vyao ikabidi tu nao waungane ili wafike nyumbani

Hii ya sasa hivi watu watajifungia zao ndani labda BAVICHA kadhaa wakajitoe sadaka na hawatapata mtu wa kumshawishi

Maafa makubwa yametokea ndugu zetu wengi wamefariki tena vifo vibaya sana sana mioyo yetu haijapona mnataka kutuingiza kwenye matatizo tena na nchi yetu haijafikia kiwango hiko cha mtu kuona bora afe kuliko kuongozwa na huu utawala narudia tena nchi yetu haijafikia kiwango hiki

Hizo Propaganda za kina Mange na Maria eti niandamane kwa sababu Abdul anamiliki Rolls Royce mimi sina hata baiskeli ni upumbavu

Na kuna namna hawa watu wanafaidika na huu uchochezi mtu kama hilda mda wote anatuma taarifa za uchochezi akiwa huko Kenya na mtu hawezi kufanya kitu bila kuwa na maslahi nacho

Mi roho inaniuma na hadi kumbukumbu zinagoma kupotea kushuhudia watu wawili wakikata roho kwa kupigwa risasi halafu kuna majitu yapo ulaya mengine Kenya hatujapona vizuri yanataka watu wakaumie tena na itatengeneza kikundi cha hamasa watawapa mtonyo hiyo siku kwa ajili ya kuwachuza wenzao kuwaingiza kwenye mkumbo

Yule Sativa naye ana ndugu zake Mbeya kule na familia yake sijaona akiripoti hata kifo cha mtu wake wa karibu hii inaonekana kwamba amewaweka mahali salama na penye utulivu na hakuna aliyeenda front

Diaspora mnachokifanya sio sawa hata kama mnatumika au mnafanya kwa maslahi yenu binafsi mjaribu kutufikiria na sisi huku zile damu zilomwagika mwanzoni inatosha sana na tusiombe ijirudie tena

Diaspora ningewaona wa maana kama na wao wangepanda ndege kuja Tanzania kuungana na wenzao ile tarehe 29 ila wao wameishia kwenye Keyboard tu huku watoto maskini wasio na hatia ambao walichochewa na hao Diaspora wakiangamia
Hivi Maria bado anapost mitandaoni,sioni!
 
Hakutakuwa na maandamano.
anayebisha tuwekeane millioni 1 kwa millioni 1. Never, never, never never.

Siungi mkono ukandamizaji au torture ya aina yoyote ila naandika kwa kutumia jicho la 3.

Kitakachofanyika ni kwamba serikali kuweka hali ya dharula barabara kuu zote za majiji hasa Dar es salaam kuanzia tarehe 7 -8.

Mpaka tarehe 9 kugonga hodi kila mtu atakuwa amejifungia ndani.
Hakuna maandamano.

Ile tarehe 29 ni mkono wa Mange kuwajaza upepo watu kuwa TPDF iko tayari kuchukua nchi hivyo wanasubiri tu wananchi waliamshe wao wamalize kazi.

Wananchi wakiona alert za huko barabarani kuanzia tarehe 7 mpaka 8 hakuna propaganda nyingine inaweza kuwapeleka barabarani.
Maandamano ni endelevu kuanzia tarehe 9 and so. Kwa huyo kuzuia siku moja haisaidii
 
Hadi sasa njia iliyobaki ya watu kujua hatima ya ndugu zao waliotekwa na wapi ilipo miili ya wapendwa wao ni kupitia maandamano.

CCM haiwezo kuwapatia hivyo vitu mezani. NEVER.

Ni either uandamane au ukubali yapite.

Huo ndio ukweli.
 
Hakutakuwa na maandamano.
anayebisha tuwekeane millioni 1 kwa millioni 1. Never, never, never never.

Siungi mkono ukandamizaji au torture ya aina yoyote ila naandika kwa kutumia jicho la 3.

Kitakachofanyika ni kwamba serikali kuweka hali ya dharula barabara kuu zote za majiji hasa Dar es salaam kuanzia tarehe 7 -8.

Mpaka tarehe 9 kugonga hodi kila mtu atakuwa amejifungia ndani.
Hakuna maandamano.

Ile tarehe 29 ni mkono wa Mange kuwajaza upepo watu kuwa TPDF iko tayari kuchukua nchi hivyo wanasubiri tu wananchi waliamshe wao wamalize kazi.

Wananchi wakiona alert za huko barabarani kuanzia tarehe 7 mpaka 8 hakuna propaganda nyingine inaweza kuwapeleka barabarani.
Isije ikawa jicho lako la tatu unalotumia mi lile la makalio
 
Back
Top Bottom