GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,620
- 4,265
Wiki iliyo pita nilijibana kumwezesha dogo afanye hiyo interview lakini it backfired against me! Ifuatayo ndio budget :
1. Nauli - Tunduma ~Dar~Tunduma = 86,000/=
2. Malazi - siku 2= 30,000 /=
3. Chakula 10,000/day x3days= 30,000/=
4. Calculator - 15,000/=
5. Passports size - 4,000/=
6. Nauli za dala dala-10,000/=
7. Matumizi njiani - 30,000/=
8. Pesa ya sintofahamu - 35,000/=
Kwangu hiyo ni pesa mingi aisee!
Baada ya dogo kufika, akaniambia "Kaka hapa tupo kama buku nane hivi" nikaishiwa pumzi, nikamwambia dogo achana na hiyo interview rudi "boda", lakini dogo akasema, lazima afanye as long as ameshatumia Nauli.
Sasa nyie TRA hivi mngeita watu 500 au 600 mngekosa wenye sifa?
Hivi mna maslahi gani kuita watu zaidi ya 11,000 wakati ajira inahusu watu 300?
Je,kwanin mkawaambia wasailiwa majibu yanatoka ndani ya saa 24! (kusahihisha mitihani 11,000 kwa mkono na kupanga matokeo hadi kubandika ndani ya saa 24? That's amazing speed!
Kinachoniumiza zaidi huyu dogo alikuwa day worker somewhere hapa mpakani, boss wake ashaweka mtu mwingine baada ya dogo kushindwa kurudi ijumaa!
Sasa mmeniingizia gap la 260,000 Tsh for no good reasons! Huyu dogo amerudi na anaendelea kuzunguka na bahasha! kwa sababu ya "uzembe" wenu!
Binafsi Nimetumia muda mwingi kufuatilia updates za viji posts vyenu kwa mitandao kumbe ni bure kabisa!
Naziomba taasisi zingine zizingatie haya malalamiko ya wengi kwani naamini wapo walioumia zaidi yangu!
Mwisho niseme tu "hii serikali HAIJIHESHIMU na tumefika hapa kwa udhaifu wa SERIKALI hii hii!"
1. Nauli - Tunduma ~Dar~Tunduma = 86,000/=
2. Malazi - siku 2= 30,000 /=
3. Chakula 10,000/day x3days= 30,000/=
4. Calculator - 15,000/=
5. Passports size - 4,000/=
6. Nauli za dala dala-10,000/=
7. Matumizi njiani - 30,000/=
8. Pesa ya sintofahamu - 35,000/=
Kwangu hiyo ni pesa mingi aisee!
Baada ya dogo kufika, akaniambia "Kaka hapa tupo kama buku nane hivi" nikaishiwa pumzi, nikamwambia dogo achana na hiyo interview rudi "boda", lakini dogo akasema, lazima afanye as long as ameshatumia Nauli.
Sasa nyie TRA hivi mngeita watu 500 au 600 mngekosa wenye sifa?
Hivi mna maslahi gani kuita watu zaidi ya 11,000 wakati ajira inahusu watu 300?
Je,kwanin mkawaambia wasailiwa majibu yanatoka ndani ya saa 24! (kusahihisha mitihani 11,000 kwa mkono na kupanga matokeo hadi kubandika ndani ya saa 24? That's amazing speed!
Kinachoniumiza zaidi huyu dogo alikuwa day worker somewhere hapa mpakani, boss wake ashaweka mtu mwingine baada ya dogo kushindwa kurudi ijumaa!
Sasa mmeniingizia gap la 260,000 Tsh for no good reasons! Huyu dogo amerudi na anaendelea kuzunguka na bahasha! kwa sababu ya "uzembe" wenu!
Binafsi Nimetumia muda mwingi kufuatilia updates za viji posts vyenu kwa mitandao kumbe ni bure kabisa!
Naziomba taasisi zingine zizingatie haya malalamiko ya wengi kwani naamini wapo walioumia zaidi yangu!
Mwisho niseme tu "hii serikali HAIJIHESHIMU na tumefika hapa kwa udhaifu wa SERIKALI hii hii!"