TRA, tazameni mlivyoniongezea umaskini

TRA, tazameni mlivyoniongezea umaskini

Wiki iliyo pita nilijibana kumwezesha dogo afanye hiyo interview lakini it backfired against me! Ifuatayo ndio budget :
1. Nauli - Tunduma ~Dar~Tunduma = 86,000/=
2. Malazi - siku 2= 30,000 /=
3. Chakula 10,000/day x3days= 30,000/=
4. Calculator - 15,000/=
5. Passports size - 4,000/=
6. Nauli za dala dala-10,000/=
7. Matumizi njiani - 30,000/=
8. Pesa ya sintofahamu - 35,000/=

Kwangu hiyo ni pesa mingi aisee!
Baada ya dogo kufika, akaniambia "Kaka hapa tupo kama buku nane hivi" nikaishiwa pumzi, nikamwambia dogo achana na hiyo interview rudi "boda", lakini dogo akasema, lazima afanye as long as ameshatumia Nauli.

Sasa nyie TRA hivi mngeita watu 500 au 600 mngekosa wenye sifa?

Hivi mna maslahi gani kuita watu zaidi ya 11,000 wakati ajira inahusu watu 300?

Je,kwanin mkawaambia wasailiwa majibu yanatoka ndani ya saa 24! (kusahihisha mitihani 11,000 kwa mkono na kupanga matokeo hadi kubandika ndani ya saa 24? That's amazing speed!

Kinachoniumiza zaidi huyu dogo alikuwa day worker somewhere hapa mpakani, boss wake ashaweka mtu mwingine baada ya dogo kushindwa kurudi ijumaa!

Sasa mmeniingizia gap la 260,000 Tsh for no good reasons! Huyu dogo amerudi na anaendelea kuzunguka na bahasha! kwa sababu ya "uzembe" wenu!

Binafsi Nimetumia muda mwingi kufuatilia updates za viji posts vyenu kwa mitandao kumbe ni bure kabisa!

Naziomba taasisi zingine zizingatie haya malalamiko ya wengi kwani naamini wapo walioumia zaidi yangu!

Mwisho niseme tu "hii serikali HAIJIHESHIMU na tumefika hapa kwa udhaifu wa SERIKALI hii hii!"

Pole sana mkuu!, naona km ni mm vile. Yaani siku hizi kazi ipo, hata mm kuna watu wananipigia simu kuwa niende lakini nikiwauliza mmetuita wangapi? kuna dada mmoja shilika fulani akanidanganya kuwa tumeitwa watano na nafasi ni moja nikamwambia mm huwa nikiona tumeitwa wengi sana huwa siendi "Naji-disqualified", nikafunga safari nikaenda cha ajabu nikakuta pipo kibao alafu session zilikuwa tatu, asbh, mch, & jioni. (Ila Mungu anisamehe; huyu dada aliyenidanganya namtafuta kwa upelelezi wa chinichini ili nimjue tupeane heshima mtaani,
ile nmeona watu nikafanya oral yao japo kwa hasira za yule mwehu aliyenidanganya kwenye simu kuwa tupo watano, na bahati mbaya nikakosa kazi).

Ila hawa watu wajirekebishe!, wajitahidi wawe wanaweka interview zote mbili one day, mbona inawezekana sana tu!, usahishaji wa interview zote mbili unaweza ukaendelea baada ya watu kutawanyika. Kwanza watakuwa wanasahisha rough sana hawa, nmeona huu mchezo umeanza hata kule utumishi wameanza kusahisha siku moja, hivi wanasahishaje kwanza!
Hayo mambo yenu yaangalieni vizuri!
 
nilihusika! hawa wajinga wamenitoa mwanza... mpk sa iv nawaza nauli ya kurudi.
 
Ueni mtumishi mmoja mmoja wa TRA kwa sili, mkimuona mtaani mtandike kwa jiwe!

"Uoga wako ndio Umasikini wako"
 
Jaman wakiita watu wachache oooh wanabebana wakiita wote wenye vigezo wanatuonea, hebu wapeni ushauri wafanye nin itasaidia kidogo kuliko kulalamika laiti ukifanikiwa pata hiyo kazi utaona walikua sahihi kukuita interview ila ukikosa lazima ulalamike
 
Pole sana nami nimemlipia dogo nauli kwenye interview ya magereza sijui nao wanaitaji wangapi? Isije kuwa kama TRA
 
Jaman wakiita watu wachache oooh wanabebana wakiita wote wenye vigezo wanatuonea, hebu wapeni ushauri wafanye nin itasaidia kidogo kuliko kulalamika laiti ukifanikiwa pata hiyo kazi utaona walikua sahihi kukuita interview ila ukikosa lazima ulalamike

Hapana mkuu walichokifanya si saw a maana ni uonevu, hauwezi kuita watu 2800 kwa ACO wakati unaitaji chini ya 50
...kwa nini hata watainiwa wakawa assessed uko mikoani? Kiukweli maisha ya mtanzania wa kawaida kutumia 300,000 kutafuta kazi mji wa mbali alaf akose ni kumtia umaskini, akirudi mara10 si itabidi akope Benki?
Mbaya zaidi ni hii dhana iliyojengeka kuwa tumaini university waliuza mtihani, kama umeona whatsap kuna video inazunguka ya Jamaa kaenda kuangalia majina ya shortlist diamond jubilee then anawapigia wenzake akisema ww upo, mm, xx ...na yyyy bonge yupo ila jina husna hajawekwa sijui kwa nn!!.... Iyo kitu inaonesha wazi shortlisted wanajijua , alaf unamweleza nn aliyetoka mbeya na bado akakosa??
Binafsi naona si sawa ila vijana msikate tamaa!!
 
Hapana mkuu walichokifanya si saw a maana ni uonevu, hauwezi kuita watu 2800 kwa ACO wakati unaitaji chini ya 50
...kwa nini hata watainiwa wakawa assessed uko mikoani? Kiukweli maisha ya mtanzania wa kawaida kutumia 300,000 kutafuta kazi mji wa mbali alaf akose ni kumtia umaskini, akirudi mara10 si itabidi akope Benki?
Mbaya zaidi ni hii dhana iliyojengeka kuwa tumaini university waliuza mtihani, kama umeona whatsap kuna video inazunguka ya Jamaa kaenda kuangalia majina ya shortlist diamond jubilee then anawapigia wenzake akisema ww upo, mm, xx ...na yyyy bonge yupo ila jina husna hajawekwa sijui kwa nn!!.... Iyo kitu inaonesha wazi shortlisted wanajijua , alaf unamweleza nn aliyetoka mbeya na bado akakosa??
Binafsi naona si sawa ila vijana msikate tamaa!!

Nitumie kaka hyo video 0717546885
 
Hapana mkuu walichokifanya si saw a maana ni uonevu, hauwezi kuita watu 2800 kwa ACO wakati unaitaji chini ya 50
...kwa nini hata watainiwa wakawa assessed uko mikoani? Kiukweli maisha ya mtanzania wa kawaida kutumia 300,000 kutafuta kazi mji wa mbali alaf akose ni kumtia umaskini, akirudi mara10 si itabidi akope Benki?
Mbaya zaidi ni hii dhana iliyojengeka kuwa tumaini university waliuza mtihani, kama umeona whatsap kuna video inazunguka ya Jamaa kaenda kuangalia majina ya shortlist diamond jubilee then anawapigia wenzake akisema ww upo, mm, xx ...na yyyy bonge yupo ila jina husna hajawekwa sijui kwa nn!!.... Iyo kitu inaonesha wazi shortlisted wanajijua , alaf unamweleza nn aliyetoka mbeya na bado akakosa??
Binafsi naona si sawa ila vijana msikate tamaa!!

Mkuu weka video tuzid kuwaumbua warasimu.
 
Back
Top Bottom