Nikiwa miongoni mwa wadau waliofanya kinachoitwa aptitude test ya TRA iliyofika Mzumbe Dar Campus nitoe machache ambayo yanaonyesha wazi kuwa nchi hii hakuna haki yoyote inayotendeka au itakayotendeka mpaka tubadilike kifikra na kimtazamo.
Baadhi ya yaliyojitokeza ni na yanayotia aibu taasisi km TRA na Chuo cha Mzumbe ni:
1.Baadhi ya candidates kupewa barua mbili za post tofauti na kupangiwa tarehe na siku tofauti za kufanya test ambazo maswali mengi yalikuwa yakijirudia kwa maana hiyo basi uwezekano wa mtu kufaulu kisanii ni mkubwa kwani atakuwa aware na test ambayo in short ni kama pepa ILIYOVUJA. AIBU ISIYO NA MFANO KWA MZUMBE NA TRA!!!!
2.Baadhi ya candidates ambao hawana sifa zilizotajwa kwenye tangazo la kazi kupewa nafasi ya kufanya test na pia kuchaguliwa for ORAL interview huku wakiwa hawana hata PROVISIONAL RESULTS za vyuo vyao kwa kweli ni aibu na ni UFISADI WA KUPINDIKIA KWA MAENDELEO YA WATANZANIA
NAWASILISHA
Baadhi ya yaliyojitokeza ni na yanayotia aibu taasisi km TRA na Chuo cha Mzumbe ni:
1.Baadhi ya candidates kupewa barua mbili za post tofauti na kupangiwa tarehe na siku tofauti za kufanya test ambazo maswali mengi yalikuwa yakijirudia kwa maana hiyo basi uwezekano wa mtu kufaulu kisanii ni mkubwa kwani atakuwa aware na test ambayo in short ni kama pepa ILIYOVUJA. AIBU ISIYO NA MFANO KWA MZUMBE NA TRA!!!!
2.Baadhi ya candidates ambao hawana sifa zilizotajwa kwenye tangazo la kazi kupewa nafasi ya kufanya test na pia kuchaguliwa for ORAL interview huku wakiwa hawana hata PROVISIONAL RESULTS za vyuo vyao kwa kweli ni aibu na ni UFISADI WA KUPINDIKIA KWA MAENDELEO YA WATANZANIA
NAWASILISHA