Wakinga wa Kariakoo hatuogopi DP-World hatuwapendi TRA

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Ukimuuliza mkinga yeyote yule pale Kariakoo na mimi nikiwemo, usumbufu tunaopata bandarini kwa sasa ni mkubwa sana. Tumegeuzwa sisi ndio walisha familia wa wafanyakazi wa bandari na TRA.

Wanaolalamika wengi hawana hata biashara wala hawajui kufanya biashara. Wengi wao utasikia Profesa wa chuo kikuu, sijui Padri, mara Mwanaharakati. Je, hawa watu wanaopinga DP World wanafahamu hali ya bandari na wamewahi kufanya biashara au wanakula pension tu za kodi zetu baada ya kustaafu?

Yale matumbo na vitambi na magari ya wafanyakazi wa TRA na bandari, basi ujue ni pesa za dhuluma toka wafanyabiashara wa kikinga au Wahindi.

Utoaji wa mizigo bandarini umejaa urasimu na rushwa mpaka inapelekea baadhi yetu tunakwenda kufunga mzigo Kenya na Uganda na kuuleta Tanzania.

Unaagiza sweats kama chocolate au biscuits, zinaweza kuozea bandarini kwa kupitisha expiration date. Utasikia TBS wanataka rushwa, mara sijui TMDA wanataka rushwa, mara sijui wakala gani wa chakula anataka rushwa. Ukishutuka, chocolate zako zimesha expire.

Uwekezaji wa DP World bora uje. Hatuwezi ogopa, ni bora kufanya kazi na mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi ambaye ananenepa kupitia biashara zetu.

Hao wanaolalamika mkataba sijajua kama wamewahi kufanya hata biashara ya nyanya au mchicha na kupitisha bandari ya Dar es Salaam.

Sisi ndio tunajua faida na hasara ya bandari. Kama sio kupiga hatua na akili kichwani, basi wafanyakazi wengi wa TRA tungewavimbisha matumbo kwa ndumba, ila ni vitoto vidogo tu havijui chochote. Ukiviangalia, unavionea huruma utaviharibia futute yao.

Pesa inayopotea mikoni mwa wafanyakazi wa bandari na TRA ni kubwa sana. Bora Mwarabu atakuja na mifumo ya kisasa itakayoondoa chuki na urasimu.
 
Ukimuuliza mkinga yeyote yule pale Kariakoo na mimi nikiwemo, usumbufu tunaopata bandarini kwa sasa ni mkubwa sana. Tumegeuzwa sisi ndio walisha familia wa wafanyakazi wa bandari na TRA.

Wanaolalamika wengi hawana hata biashara wala hawajui kufanya biashara. Wengi wao utasikia Profesa wa chuo kikuu, sijui Padri, mara Mwanaharakati. Je, hawa watu wanaopinga DP World wanafahamu hali ya bandari na wamewahi kufanya biashara au wanakula pension tu za kodi zetu baada ya kustaafu?

Yale matumbo na vitambi na magari ya wafanyakazi wa TRA na bandari, basi ujue ni pesa za dhuluma toka wafanyabiashara wa kikinga au Wahindi.

Utoaji wa mizigo bandarini umejaa urasimu na rushwa mpaka inapelekea baadhi yetu tunakwenda kufunga mzigo Kenya na Uganda na kuuleta Tanzania.

Unaagiza sweats kama chocolate au biscuits, zinaweza kuozea bandarini kwa kupitisha expiration date. Utasikia TBS wanataka rushwa, mara sijui TMDA wanataka rushwa, mara sijui wakala gani wa chakula anataka rushwa. Ukishutuka, chocolate zako zimesha expire.

Uwekezaji wa DP World bora uje. Hatuwezi ogopa, ni bora kufanya kazi na mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi ambaye ananenepa kupitia biashara zetu.

Hao wanaolalamika mkataba sijajua kama wamewahi kufanya hata biashara ya nyanya au mchicha na kupitisha bandari ya Dar es Salaam.

Sisi ndio tunajua faida na hasara ya bandari. Kama sio kupiga hatua na akili kichwani, basi wafanyakazi wengi wa TRA tungewavimbisha matumbo kwa ndumba, ila ni vitoto vidogo tu havijui chochote. Ukiviangalia, unavionea huruma utaviharibia futute yao.

Pesa inayopotea mikoni mwa wafanyakazi wa bandari na TRA ni kubwa sana. Bora Mwarabu atakuja na mifumo ya kisasa itakayoondoa chuki na urasimu.
Ni kweli pesa nyingi inapotea hapo kati kati ya TPA na TRA bora system ya electronic iletwe tuone wizi utatokea wapi tena
 
Ukimuuliza mkinga yeyote yule pale kariakoo na Mimi nikiwemo usumbufu tunaopata bandarini kwa sasa ni mkubwa sana ,Tumegeuzwa sisi ndio walisha familia wa wafanyakazi wa bandari na TRA

Wanaolalamika wengi hawana hata biashara wala hawajui kufanya biashara wengi wao utasikia Prof wa chuo kikuu sijui Padri mara Mwanaharakati,Je hawa watu wanaopinga Dp world wanafahamu hali ya bandari na wamewahi fanya biashara au wanakula pension tu za kodi zetu baada ya kustaafu?

Yale matumbo na vitambi na magari ya wafanyakazi wa TRA na bandari basi ujue ni pesa za dhuluma toka wafanyabiashara wa kikinga au wahindi

Utoaji wa mizigo bandarini umejaa urasimu na rushwa mpaka inapelekea baadhi yetu tunakwenda kufunga mzigo kenya na uganda na kuuleta Tanzania

Unaagiza Sweats kama Chocolate au biscuits zinaweza kuozea bandarini kwa kupitisha expiration date,Utasikia Tbs wanataka rushwa mara sijui TMDA wanataka rushwa mara sijui wakala gani wa chakula anataka rushwa ,ukishutuka chocolate zako zimesha expire

Uwekezaji wa Dp World bora uje ,Hatuwezi ogopa ni bora kufanya kazi na mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi ambaye ananenepa kupitia biashara zetu

Hao wanaolalamika mkataba sijajua kama wamewahi kufanya hata biashara ya nyanya au mchicha na kupitisha bandari ya Dar es Salaam

Sisi ndio tunajua faida na hasara ya bandari ,Kama sio kupiga hatua na akili kichwani basi wafanyakazi wengi wa TRA tungewavimbisha matumbo kwa ndumba ila ni vitoto vidogo tu havijui chochote ukviangalia unavionea huruma utaviharibia futute yao

Pesa inayopotea mikoni mwa wafanyakazi wa bandari na TRA ni kubwa sana ,Bora muarabu atakuja na mifumo ya kisasa itakayoondoa chuki na urasimu
Wakinga ndiyo nini? Wale wafanyabiashara wanaofanya biashara kwa masharti ya kishirikina?
 
Ukimuuliza mkinga yeyote yule pale kariakoo na Mimi nikiwemo usumbufu tunaopata bandarini kwa sasa ni mkubwa sana ,Tumegeuzwa sisi ndio walisha familia wa wafanyakazi wa bandari na TRA

Wanaolalamika wengi hawana hata biashara wala hawajui kufanya biashara wengi wao utasikia Prof wa chuo kikuu sijui Padri mara Mwanaharakati,Je hawa watu wanaopinga Dp world wanafahamu hali ya bandari na wamewahi fanya biashara au wanakula pension tu za kodi zetu baada ya kustaafu?

Yale matumbo na vitambi na magari ya wafanyakazi wa TRA na bandari basi ujue ni pesa za dhuluma toka wafanyabiashara wa kikinga au wahindi

Utoaji wa mizigo bandarini umejaa urasimu na rushwa mpaka inapelekea baadhi yetu tunakwenda kufunga mzigo kenya na uganda na kuuleta Tanzania

Unaagiza Sweats kama Chocolate au biscuits zinaweza kuozea bandarini kwa kupitisha expiration date,Utasikia Tbs wanataka rushwa mara sijui TMDA wanataka rushwa mara sijui wakala gani wa chakula anataka rushwa ,ukishutuka chocolate zako zimesha expire

Uwekezaji wa Dp World bora uje ,Hatuwezi ogopa ni bora kufanya kazi na mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi ambaye ananenepa kupitia biashara zetu

Hao wanaolalamika mkataba sijajua kama wamewahi kufanya hata biashara ya nyanya au mchicha na kupitisha bandari ya Dar es Salaam

Sisi ndio tunajua faida na hasara ya bandari ,Kama sio kupiga hatua na akili kichwani basi wafanyakazi wengi wa TRA tungewavimbisha matumbo kwa ndumba ila ni vitoto vidogo tu havijui chochote ukviangalia unavionea huruma utaviharibia futute yao

Pesa inayopotea mikoni mwa wafanyakazi wa bandari na TRA ni kubwa sana ,Bora muarabu atakuja na mifumo ya kisasa itakayoondoa chuki na urasimu
Mimi kitu kinachoniumizaga ni mzigo unasafiri let's say kutoka china 4 weeks
Bandarini ubakaa 2 or 3 weeks
 
Ukimuuliza mkinga yeyote yule pale Kariakoo na mimi nikiwemo, usumbufu tunaopata bandarini kwa sasa ni mkubwa sana. Tumegeuzwa sisi ndio walisha familia wa wafanyakazi wa bandari na TRA.

Wanaolalamika wengi hawana hata biashara wala hawajui kufanya biashara. Wengi wao utasikia Profesa wa chuo kikuu, sijui Padri, mara Mwanaharakati. Je, hawa watu wanaopinga DP World wanafahamu hali ya bandari na wamewahi kufanya biashara au wanakula pension tu za kodi zetu baada ya kustaafu?

Yale matumbo na vitambi na magari ya wafanyakazi wa TRA na bandari, basi ujue ni pesa za dhuluma toka wafanyabiashara wa kikinga au Wahindi.

Utoaji wa mizigo bandarini umejaa urasimu na rushwa mpaka inapelekea baadhi yetu tunakwenda kufunga mzigo Kenya na Uganda na kuuleta Tanzania.

Unaagiza sweats kama chocolate au biscuits, zinaweza kuozea bandarini kwa kupitisha expiration date. Utasikia TBS wanataka rushwa, mara sijui TMDA wanataka rushwa, mara sijui wakala gani wa chakula anataka rushwa. Ukishutuka, chocolate zako zimesha expire.

Uwekezaji wa DP World bora uje. Hatuwezi ogopa, ni bora kufanya kazi na mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi ambaye ananenepa kupitia biashara zetu.

Hao wanaolalamika mkataba sijajua kama wamewahi kufanya hata biashara ya nyanya au mchicha na kupitisha bandari ya Dar es Salaam.

Sisi ndio tunajua faida na hasara ya bandari. Kama sio kupiga hatua na akili kichwani, basi wafanyakazi wengi wa TRA tungewavimbisha matumbo kwa ndumba, ila ni vitoto vidogo tu havijui chochote. Ukiviangalia, unavionea huruma utaviharibia futute yao.

Pesa inayopotea mikoni mwa wafanyakazi wa bandari na TRA ni kubwa sana. Bora Mwarabu atakuja na mifumo ya kisasa itakayoondoa chuki na urasimu.
Akili za kikondoo hizo. Wanadhani DPW wakija TRA ndoo inadedi? Washamba hao hawajui kwamba DPW wanakuja kuendesha bandari, sio kutoza kodi.

Yani majinga yanashangilia kuahirishwa mazishi bila kujua msiba uko palepale....
 
Kwa mfano ukiwa unawatumia Hawa ma cargo agent .....nini kinafanyika mizigo inachelewa wanashindwa kulipia on time "NO'' shida haswa ni nini?
Maajenti huzungushana na TRA wapste mapunguzo ya kodi nao wapate cha juu... Siku hazisimami
 
Maajenti huzungushana na TRA wapste mapunguzo ya kodi nao wapate cha juu... Siku hazisimami
Babu.....yaani Hilo tatizo la kukaa Kwa mzigo wanasemaga tarehe Yao ya kupakia Bado....
Na ni Kila mIgo...unaambiwa inafika tarehe 21.....wewe ongeza 10_15 days hapo
 
Akili za kikondoo hizo. Wanadhani DPW wakija TRA ndoo inadedi? Washamba hao hawajui kwamba DPW wanakuja kuendesha bandari, sio kutoza kodi.

Yani majinga yanashangilia kuahirishwa mazishi bila kujua msiba uko palepale....
DP WORLD watakapopewa bandali means hao ndio watakaopanga kodi zote za bandilini wakati uku TRA wakilipwa kodi na mwekezaji DP hii pia itasaidia kupunguza uhujumu na manyanyaso ya TRA kwa wafanyabiashara wa kariakoo
 
Wakati inatengenezwa fitna kumtoa Nazir Karamagi Bandarini kupitia TICTS zilitengenezwa data kuwa TPA wanavuka malengo kwa utendaji bora ikasemwa TICTS waondoke kila kitu kifanywe na TPA

baada ya TICTS kutolewa ukaibuliwa Mgomo eti wa Wafanyabiashara ndogo ndogo na moja ya malalamiko ikawa ufanisi wa TPA hauridhishi na mara ghafla bin Vuu ikabuka DP World

inakuaje anaepaswa kufanyiwa tathmini ya utendaji ndio anachakata takwimu na kuzifanyia uchambuzi ?

Mh.Rais kwa heshma na taadhima okoa taifa lako dhidi ya Wagner group linalozengea rasilimali zetu
 
DP WORLD watakapopewa bandali means hao ndio watakaopanga kodi zote za bandilini wakati uku TRA wakilipwa kodi na mwekezaji DP hii pia itasaidia kupunguza uhujumu na manyanyaso ya TRA kwa wafanyabiashara wa kariakoo
Kama kweli ni hivi basi nimeamini sisi kweli tumerogwa na aliyeturoga ameshadedi. Yani mtu aje akupangie kodi? Tumekuja kuwa wajinga kiasi hiki? Au ndio tunatawaliwa upya?

Tunawalaumu bure kina Chifu Mangungo. Wao watajitetea hawkuwa na elimu. Sisi sijui tutajiteteaje??? Uchawi au?
 
Back
Top Bottom