GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,100
Ukimuuliza mkinga yeyote yule pale Kariakoo na mimi nikiwemo, usumbufu tunaopata bandarini kwa sasa ni mkubwa sana. Tumegeuzwa sisi ndio walisha familia wa wafanyakazi wa bandari na TRA.
Wanaolalamika wengi hawana hata biashara wala hawajui kufanya biashara. Wengi wao utasikia Profesa wa chuo kikuu, sijui Padri, mara Mwanaharakati. Je, hawa watu wanaopinga DP World wanafahamu hali ya bandari na wamewahi kufanya biashara au wanakula pension tu za kodi zetu baada ya kustaafu?
Yale matumbo na vitambi na magari ya wafanyakazi wa TRA na bandari, basi ujue ni pesa za dhuluma toka wafanyabiashara wa kikinga au Wahindi.
Utoaji wa mizigo bandarini umejaa urasimu na rushwa mpaka inapelekea baadhi yetu tunakwenda kufunga mzigo Kenya na Uganda na kuuleta Tanzania.
Unaagiza sweats kama chocolate au biscuits, zinaweza kuozea bandarini kwa kupitisha expiration date. Utasikia TBS wanataka rushwa, mara sijui TMDA wanataka rushwa, mara sijui wakala gani wa chakula anataka rushwa. Ukishutuka, chocolate zako zimesha expire.
Uwekezaji wa DP World bora uje. Hatuwezi ogopa, ni bora kufanya kazi na mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi ambaye ananenepa kupitia biashara zetu.
Hao wanaolalamika mkataba sijajua kama wamewahi kufanya hata biashara ya nyanya au mchicha na kupitisha bandari ya Dar es Salaam.
Sisi ndio tunajua faida na hasara ya bandari. Kama sio kupiga hatua na akili kichwani, basi wafanyakazi wengi wa TRA tungewavimbisha matumbo kwa ndumba, ila ni vitoto vidogo tu havijui chochote. Ukiviangalia, unavionea huruma utaviharibia futute yao.
Pesa inayopotea mikoni mwa wafanyakazi wa bandari na TRA ni kubwa sana. Bora Mwarabu atakuja na mifumo ya kisasa itakayoondoa chuki na urasimu.
Wanaolalamika wengi hawana hata biashara wala hawajui kufanya biashara. Wengi wao utasikia Profesa wa chuo kikuu, sijui Padri, mara Mwanaharakati. Je, hawa watu wanaopinga DP World wanafahamu hali ya bandari na wamewahi kufanya biashara au wanakula pension tu za kodi zetu baada ya kustaafu?
Yale matumbo na vitambi na magari ya wafanyakazi wa TRA na bandari, basi ujue ni pesa za dhuluma toka wafanyabiashara wa kikinga au Wahindi.
Utoaji wa mizigo bandarini umejaa urasimu na rushwa mpaka inapelekea baadhi yetu tunakwenda kufunga mzigo Kenya na Uganda na kuuleta Tanzania.
Unaagiza sweats kama chocolate au biscuits, zinaweza kuozea bandarini kwa kupitisha expiration date. Utasikia TBS wanataka rushwa, mara sijui TMDA wanataka rushwa, mara sijui wakala gani wa chakula anataka rushwa. Ukishutuka, chocolate zako zimesha expire.
Uwekezaji wa DP World bora uje. Hatuwezi ogopa, ni bora kufanya kazi na mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi ambaye ananenepa kupitia biashara zetu.
Hao wanaolalamika mkataba sijajua kama wamewahi kufanya hata biashara ya nyanya au mchicha na kupitisha bandari ya Dar es Salaam.
Sisi ndio tunajua faida na hasara ya bandari. Kama sio kupiga hatua na akili kichwani, basi wafanyakazi wengi wa TRA tungewavimbisha matumbo kwa ndumba, ila ni vitoto vidogo tu havijui chochote. Ukiviangalia, unavionea huruma utaviharibia futute yao.
Pesa inayopotea mikoni mwa wafanyakazi wa bandari na TRA ni kubwa sana. Bora Mwarabu atakuja na mifumo ya kisasa itakayoondoa chuki na urasimu.