mats_
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 398
- 296
Habari Wakuu, Karibia mwisho wa mwaka jana Deloitte walitoa nafasi mbali mbali kada ya ICT, Position ilikua ni Zonal IT Associate. Baada ya kufanya maombi watu wakatumiwa response ya kufanya Aptitude test, tena ilikua online na kulikua na test tatu (Universal Cognitive Aptitude test, Employment Personality Test na Emotional Intelligence Test).
Stage hiyo ilipita lakini mpaka leo hakuna feedback kwa wale waliofanya hzo test online. Je, Kuna mtu alifanya hizo test na kupewa feedback ama bado kila mtu hajapata mrejesho?
Lengo langu ni kuweza kufahamu kama stage zinazofata za interviews zimeshafanyika !!
Shukran.
Stage hiyo ilipita lakini mpaka leo hakuna feedback kwa wale waliofanya hzo test online. Je, Kuna mtu alifanya hizo test na kupewa feedback ama bado kila mtu hajapata mrejesho?
Lengo langu ni kuweza kufahamu kama stage zinazofata za interviews zimeshafanyika !!
Shukran.