ujamaajulius
Member
- Jul 28, 2015
- 50
- 66
Sijui ni mimi tu, au na wewe umegundua hii, Unapotaka kukata leseni ya kuendesha gari unaenda TRA na baada ya kukata leseni hivyo hudumu kwa miaka mitatu. Kisha unatakiwa kuihuisha tena(Renew) lakini cha ajabu leseni mpya huanza upya kana kwamba hujawahi kumiliki leseni na hivyo kigezo cha uzoefu (experience) hupotea. Unapotakiwa kwenye interview ili uonyeshe una uzoefu wa kutosha sifa hiyo utaikosa. sasa sasa itaonyesha uzoefu wa miaka miwili na kidogo hivi.
Nadhani ni wakati muafaka wa TRA kurekebisha hilo; zanzibar wenzetu wanafanya vizuri maana leseni ya udereva inaendelea kuonyesha uzoefu wako wote.
TRA; kabla hatujaanza kugoma rekebisheni hili. Wewe angalia leseni yako utagundua hilo, hata kama umeendesha miaka 30 bado uzoefu haupo hapo.
Nadhani ni wakati muafaka wa TRA kurekebisha hilo; zanzibar wenzetu wanafanya vizuri maana leseni ya udereva inaendelea kuonyesha uzoefu wako wote.
TRA; kabla hatujaanza kugoma rekebisheni hili. Wewe angalia leseni yako utagundua hilo, hata kama umeendesha miaka 30 bado uzoefu haupo hapo.