anakula kwa shemeji huyuAliyeelewa anieleweshe!
Imefikia hatua hiyo ili iweze ku experience kile ambacho wafanya biashara wengi wanakilalamikia ili kujiridhisha
wapeleke mkataba wa pango na makorokoro yote yanayo takiwa, wapige mahesabu yale yale wanayotupigiaga, na walipe kodi stahiki🤣 🤣 🤣 🤣Duka la tozo
Watakuwa wanauza nini? Kuna tofauti kubwa kati ya kuku wa kienyeji na wa kufugwaImefikia hatua hiyo ili iweze ku experience kile ambacho wafanya biashara wengi wanakilalamikia ili kujiridhisha
Watauza kodi?Imefikia hatua hiyo ili iweze ku experience kile ambacho wafanya biashara wengi wanakilalamikia ili kujiridhisha
Asilimia 18Watauza kodi?
Wamuulize Jiwe yale maduka yake ya MSD yanaendeleajeImefikia hatua hiyo ili iweze ku experience kile ambacho wafanya biashara wengi wanakilalamikia ili kujiridhisha
KUna sauti unazisikia kichwani kwako?Imefikia hatua hiyo ili iweze ku experience kile ambacho wafanya biashara wengi wanakilalamikia ili kujiridhisha
Nimeskia wanasema mpaka mwaka kesho kutwa jurai ndiyo litafunguliwa😂😂😂Wanalifungua kwa utaratibu gani! Waanzie brela kabisa, wasubiri wiki mbili kupata majibuwapeleke mkataba wa pango na makorokoro yote yanayo takiwa, wapige mahesabu yale yale wanayotupigiaga, na walipe kodi stahiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wote wanafugwa tu ndugu mshana! Utofauti wa kuku na mfugaji ndio kisangaWatakuwa wanauza nini? Kuna tofauti kubwa kati ya kuku wa kienyeji na wa kufugwa
Nimeskia wanasema mpaka mwaka kesho kutwa jurai ndiyo litafunguliwa![]()





Hilo duka watakua wanauza nini au ni shopping mall ya TRANimeskia wanasema mpaka mwaka kesho kutwa jurai ndiyo litafunguliwa![]()
😂😂😂😂