TPA madudu matupu, PSSSF imefilisika, NSSF haina fedha, TASAC ubadhirifu mtupu sasa hawa CHADEMA wanapigana na Ufisadi gani?

Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.

Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.

Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.

Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?

Ukinizingua Nitakuzingua!
😳😳😳 kweli nimeamini mwisho wa dunia umefika...
 
Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.

Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.

Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.

Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?

Ukinizingua Nitakuzingua!
Huyu naye naona kavurugwa vibaya sana
 
Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.

Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.

Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.

Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?

Ukinizingua Nitakuzingua!

Wezi wa mali ya umma na wabadhirifu wanakera sana. Wanahitaji kuchapwa viboko hadharani
 
Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.

Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.

Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.

Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?

Ukinizingua Nitakuzingua!
Jinga kabisa wewe?
Mashirika yameharibika chini ya utawala wa CCM uje uilaumu CHADEMA?
Ma-DG wa hayo mashirika uliyoyataja waliteuliwa na Rais kutoka CHADEMA??
Booard of Directors imeundwa na Waziri wa Serikali ya CHADEMA??
Tumia akili kufikiri
 
Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.

Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.

Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.

Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?

Ukinizingua Nitakuzingua!
Kwa kweli hawa chadema wanazingua rais wao amekufa juzi tuu sasa tumeshika madaraka ccm tunafichua uovu wote. Tuliwapa nchi ikawa shinda.
Ngoja ccm tupige kazi sasa
 
Bwashee vipi dishi limeyumba wakati hata mwezi mama hajamaliza?

Hizo lawama ni za mwenda zake na serikali yake ya CCM hapo CHADEMA unawaingiza vipi bwashee? CHADEMA kama wapinzani kazi yao ni kufichua mautopolo ya chama tawala na serikali yake. Hawana mamlaka ya kupambana na mafisadi bwashee.

Bwashee tukuwahishe India au Nairobi?
Hapana tumpeleke Nzena Hospital
 
Jinga kabisa wewe?
Mashirika yameharibika chini ya utawala wa CCM uje uilaumu CHADEMA?
Ma-DG wa hayo mashirika uliyoyataja waliteuliwa na Rais kutoka CHADEMA??
Booard of Directors imeundwa na Waziri wa Serikali ya CHADEMA??
Tumia akili kufikiri
Wewe unatumia nini kufikiri?!!
 
Back
Top Bottom