BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Namjua huyo hanaga mafumbo buku 7.
Huyu anamsema Mwendazake kwa mafumbo....ha ha ha ha
Huyu anamsema Mwendazake kwa mafumbo....ha ha ha ha
Hongereni Sana. Mnatengeneza mautopolo halafu mnayafichua wenyewe!Sasa mbona hawajafichua hayo mautopolo hadi mama mwenyewe kayafichua?
Bwashee anatafuta staili ya kuchutama ndo anashindwa atumie ipi??Kunywa dawa zako Bwashee! Chadema ndiyo iko madarakani!? Yule dhalimu si aliiua? Hebu acha kujitoa ufahamu hadharani!
Jibu ni rahisi.Mara ya mwisho Chadema kuibua ufisadi ni wakati wa JK, why?!!
😳😳😳 kweli nimeamini mwisho wa dunia umefika...Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.
Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.
Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.
Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?
Ukinizingua Nitakuzingua!
Huyu naye naona kavurugwa vibaya sanaChadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.
Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.
Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.
Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?
Ukinizingua Nitakuzingua!
Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.
Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.
Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.
Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?
Ukinizingua Nitakuzingua!
Hahahaaaa........ CCM ni chama kikubwa bwashee, kimesheheni!Bwashee anatafuta staili ya kuchutama ndo anashindwa atumie ipi??
Jinga kabisa wewe?Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.
Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.
Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.
Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?
Ukinizingua Nitakuzingua!
Kwa kweli hawa chadema wanazingua rais wao amekufa juzi tuu sasa tumeshika madaraka ccm tunafichua uovu wote. Tuliwapa nchi ikawa shinda.Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.
Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.
Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.
Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?
Ukinizingua Nitakuzingua!
Hapana tumpeleke Nzena HospitalBwashee vipi dishi limeyumba wakati hata mwezi mama hajamaliza?
Hizo lawama ni za mwenda zake na serikali yake ya CCM hapo CHADEMA unawaingiza vipi bwashee? CHADEMA kama wapinzani kazi yao ni kufichua mautopolo ya chama tawala na serikali yake. Hawana mamlaka ya kupambana na mafisadi bwashee.
Bwashee tukuwahishe India au Nairobi?
Atumbuliwe kwa kosa gani?Mbona boss wa Pssf hajatumbuliwa?
Soma mada kuu.Atumbuliwe kwa kosa gani?
Wewe unatumia nini kufikiri?!!Jinga kabisa wewe?
Mashirika yameharibika chini ya utawala wa CCM uje uilaumu CHADEMA?
Ma-DG wa hayo mashirika uliyoyataja waliteuliwa na Rais kutoka CHADEMA??
Booard of Directors imeundwa na Waziri wa Serikali ya CHADEMA??
Tumia akili kufikiri
Ye ndo kafilisi ama ni Serikali?Soma mada kuu.
Hata mimi nimemwelewa. Huyu bwashe johnthebaptist anajitahidi kupeleka ujumbe. Na ujumbe unawafikia CCM kweri kweri! Wapinzani walitulewesha sana kuiba hela za umma. Au nasema uwongo ndugu zangu?!Huu ni uandishi nguli
Asante mkuu