mbenge
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 4,574
- 9,814
Rais aliyetangulia aliluwa mbabe na mwenye vitisho kwa sababu ya kuficha mapungifu yake. Kamwe hakupenda kukosolewa, na neno kutoka mdomoni mwake na uelekeo wa kidole chake vilikuwa ni amri tosha. Haikuipebda CDM kuliko kitu chochote kile.Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.
Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.
Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.
Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?
Ukinizingua Nitakuzingua!