Dr umepotea sanaNenda hapa DE.AliExpress | aliexpress german - Kaufen Sie gĆ¼nstig qualitativ hochwertige Produkte aus China. - AliExpress kuangalia bidhaa zinazotoka sana aliexpress kila wiki ikisha angalia kutokana na mtaji wako unaweza kuagiza bidhaa gani na gani kuuza hapa tanzania kutokana na bajeti yako.
mfano wa bidhaa ambazo zinawez kuuzika kwa harak ni zp?Mimi nilianza na mtaji wa 200k nilianza na 10 pieces za bidhaa fulani sasa hivi mtaji wangu umefika 2M
Nenda alibaba angalia bidhaa ambayo kwa piece 1 thamani yake kuanzia elfu 4 hadi elfu 12 hakikisha bakiza pesa inayokatwa na alibaba na MasterCard bila kusahau shipping fee
mi nachukua madin tuHabarini WanaJF,
Nina mtaji wa laki moja na elfu hamsini nataka niagize bidhaa KUTOKA CHINA. Je, ni bidhaa gani nikiagiza itanipa at least faida ya nusu ya mtaji wangu?
Napokea ushauri wenu
Asanteniš
ULIWEZAJE WEZAJE MKUUMimi nilianza na mtaji wa 200k nilianza na 10 pieces za bidhaa fulani sasa hivi mtaji wangu umefika 2M
Nenda alibaba angalia bidhaa ambayo kwa piece 1 thamani yake kuanzia elfu 4 hadi elfu 12 hakikisha bakiza pesa inayokatwa na alibaba na MasterCard bila kusahau shipping fee
Mimi nilianza na mtaji wa 200k nilianza na 10 pieces za bidhaa fulani sasa hivi mtaji wangu umefika 2M
Nenda alibaba angalia bidhaa ambayo kwa piece 1 thamani yake kuanzia elfu 4 hadi elfu 12 hakikisha bakiza pesa inayokatwa na alibaba na MasterCard bila kusahau shipping fee
Mtaji wa wakwanza kwa kila binadamu ni kuwa na elimu ya kazi/biashara inayojitosheleza mtaji ni ziada tuKwahiyo una mpango wa kufanya biashara kutoka china kwa mtaji wa laki na nusu.
Soma vizuri nilichoandika boss nimesema nilianza kwa kiagiza 10 pieces alibaba kuna baadhi ya supplier wanauza kuanzia pieces 2 na kuendelea so kwa biashara kama ataagiza kuanzia pieces 10 atapata faidaAlibaba hawajawahi kuuza bidhaa rejareja
Inawezekana mkuu alibaba kuna baadhi ya supplier wanauza hadi 2 piecesULIWEZAJE WEZAJE MKUU
Naomba ufafanue mnyororo wa mzigo kutoka kule mpaka huku Tanzania. Kodi, usafirishaji una kuwaje, una pokelea wapi hapa Tz Mkuu.Mimi nilianza na mtaji wa 200k nilianza na 10 pieces za bidhaa fulani sasa hivi mtaji wangu umefika 2M
Nenda alibaba angalia bidhaa ambayo kwa piece 1 thamani yake kuanzia elfu 4 hadi elfu 12 hakikisha bakiza pesa inayokatwa na alibaba na MasterCard bila kusahau shipping fee
vinauzwaje ivoTafuta bidhaa zinazotoka hapo kwenu kama airpod n.k
Then ingia alibaba weka oda
tumia ndege kusafirisha ili zifike fasta
promote facebook
kwa mtaji wako huo mdogo agizia airpod maana hizi kwa dar zinaenda sana utaingiza faida nzuri,au vifaa vya simu charge,usb n.k unauza jumla au rejareja
ungekuwa na kamtaji kuanzia laki tano ningekupa dili la kuagiza visub mita hivi vya kila mpangaji kujigalamikia mwenyewe umeme vinatoka sana dar na connection ya wateja ningekupa mimi maana ninao kibao shida nipo mbali na dar
Laki na nusu?Habarini WanaJF,
Nina mtaji wa laki moja na elfu hamsini nataka niagize bidhaa KUTOKA CHINA. Je, ni bidhaa gani nikiagiza itanipa at least faida ya nusu ya mtaji wangu?
Napokea ushauri wenu
Asanteniš
Laki na nusu halafu upate faida nusu šš¤£una wazimu Bora ingekuwa million na nusu acha kuota amka utakojoa.Habarini WanaJF,
Nina mtaji wa laki moja na elfu hamsini nataka niagize bidhaa KUTOKA CHINA. Je, ni bidhaa gani nikiagiza itanipa at least faida ya nusu ya mtaji wangu?
Napokea ushauri wenu
Asanteniš