Tozo Tsh. bil. 117, Vituo vya afya 234

Tozo Tsh. bil. 117, Vituo vya afya 234

Duuh.

Sasaaa zile pesa za covid.

Mikopo WB si mlituambia kuwa zilifanya kazi hizi hizi??

Kwanini mtudanganye lakini.

Hamjui kuwa hayo madaraka yenu ni ya muda tu??

Mtakuja umbuka na msiamini yatayowapata.
Haaaaa haaaa.
 
Ongezeko la bajeti TARURA ni kwa ajili ya kuongeza mishahara na posho za watumishi. Tozo za mwakani ndio tutaangalia kuhusu kuongeza kilometa za lami
Yani bado tu mnafikilia kumminya mwananchi wa chini kwa kuendelea na hizo tozo zenu,ili mjilie tu kwa raha
 
eti wanajitokeza wapuuzi wachache wanapinga maendeleo ya wananchi.

Mama na timu yako kuweni imara kamwe msiyumbe wala msikubali kuyumbishwa.

Hata awamu zilizo pita zilipingwa kwenye baadhi ya maamuzi lakini waliyasimamia na leo hii sisi wananchi tunanufaika.

Mfano;
Hayati benjamini Makapa alianzisha kodi ya VAT alipingwa sana lkn matokeo yake tunayaona hadi leo.

Hayati Magufuli alipingwa sana juu ya maamuzi ya kununua ndege lakini leo hii hata wale walio pinga wananufaika nazo.

Tozo iendeleee, tena nashauri tutafute vyanzo vingine zaidi ili tuchangie maendeleo yetu.

Hao wapuuzi wachache wanao pinga lengo lao ni kuona awamu ya 6 ina fail kuleta maendeleo yaliyo kusudiwa, kamwe yusiwape nafasi hao mashetani wachache.
Sasa sisi wananchi tupinge awamu ya sita maendeleo ili iwaje,si tutakuwa tunajiumiza wenyewe.

Maisha ya mtu wa chini ni magumu sana,elewa hapo kwanza...tusiendelee kumuumiza huyu mtu.
 
Salaaam sana wakuu.

Vituo vya Afya;

Vingine vya kitambo Baba wa Taifa kaviacha, navyo vipya hivyo?

Vingi kavijenga mjomba, navyo vipya hivyo?

Vichache wameongeza jengo tu, navyo vipya hivyo?

Nitajie kituo cha afya kimoja tu mtaani kwao unachojua tumepigwa, usisahau kunitajia na kipya ambacho wamefanya kweli.
(Soma kwenye list)View attachment 2347868View attachment 2347871View attachment 2347873View attachment 2347874View attachment 2347876View attachment 2347877View attachment 2347879View attachment 2347880View attachment 2347881
Huu ni wizi wa wazi kabisa, anyway there's is a good day coming
 
Nchi hii viongozi wakiamua kutetea jambo lao, wanatumia mbinu za kila aina bila kujua kwamba mbinu zao zinaibua maswali zaidi.

Kwa mfano, kama tozo pekee imeweza kukusanywa kwa kiwango hicho na kujenga hiyo miundombinu, je kwa miaka kadhaa iliyopita fedha za uwekezaji, utalii, ushuru wa masoko, mikopo, ufadhili nk, si tungeshajenga viwanda vingi kila mkoa???

Kwanini tozo zionekane kupewa nguvu zaidi kwenye matumizi kuliko makusanyo mengine???

Tozo ni wizi!
Wizi wa bila aibu
 
ACHENI KUDANGANYA WATU NYIE,HIVYO VITUO VYA MKOA WA MARA VIMEJENGWA TANGU KIPINDI CHA MAGUFULI NA KWA BAHATI NZURI MIMI NATOKEA HUKO NA NIMEVISHUHUDIA KIPINDI CHA MAGUFULI VIKIJENGWA,HIZI TOZO ZIMEANZA JUZI TU HATA MIEZI 2 HAZINA,ACHENI KUPOTOSHA
 
234 Health Centers/117bil.=2bil.

Naona awamu hii wametumia bilioni Mbili tu kukamilisha kituo kizima.

Sasa najiuliza zile bajet zinatolewaga mpaka 50bil. Kwa kituo kimoja huwa zinaenda wapi hizo 48bil

Duh! Mwamba hesabu uliikimbia kuanzia level gani ya elimu?
Please don’t take offense.
 
Hii nchi viongozi wanaona kila mtu ni mjinga mjinga, haina shida tutafika tu huko mnakotaka tufike.
 
Hawa wanatufanya watz wajinga, panya road wangekuwa wanatetea haya mambo ningejiunga
 
#TABORA: Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuchunguza gharama za ujenzi wa kibanda cha Mlinzi kilichopo Chuo cha VETA cha Uyui

Kibanda hicho kinadaiwa kugharimu Tsh. Milioni 11 katika Ujenzi wake

Soma - Upigaji Uyui: Waziri Mkuu ashangazwa kibanda cha Mlinzi VETA kujengwa kwa Tsh. milioni 11, aagiza waliyosimamia ujenzi kukamatwa

#KemeaRushwa
Screenshot_20220909-132024_1.jpg
 
Back
Top Bottom