Tozo Tsh. bil. 117, Vituo vya afya 234

Tozo Tsh. bil. 117, Vituo vya afya 234

Wanaforce kutuhamasisha kwa mbinu za kitoto kabisa. Naona wanarudi na ule mfumo wa kuforge taarifa na wakati ndo walikua wanautumia kumponda mjomba.
Hakuna kiluchofojiwa bro vituo vimejengwa
 
Nimeangalia baadhi ya vituo vya afya hapo karibu 7 ninavyovifahamu vingi vilikuwa vimisha anza kujengwa hadi hatua ya upauaji.
Labda wangesema hela hizo zimetumiwa kwa ajili ya finishing kuweka plasta,ranging,milango na madirisha ningeelewa.Ila kutumia kauli kuwa hizo pesa zimejenga kutoka chini huo ni uongo tena uongo.
 
Nchi za kiafrika kuna tatazo sana LA kisera,hakuna mipango thabiti inayosiamamiwa kuondokana na haya matatizo ya kijamii kama shule,Barbara,zahanati,maji n.k.
Hata uongeze kodi na tozo kwa 100% utapata hela lakini hutaweza kumaliza hayo matatizo au kuyapunguza kwa kiwango kikubwa pasipo kuathiri chumi za Wananchi wa kiwango kikubwa.

Serikali inabidi kuja na mpango wa muda mrefu ambao utawezesha Serikali kupata mapato all the time kutekeleza miradi hiyo ya kijamii pasipo kuathiri uchumi wa Nchi,na mpango huo unatakiwa utekelezwe na Rais yoyote atakayeingia madarakani lasivyo tutakuwa kila siku ni vilio.
 
Vituo vya afya 230 vimejengwa Ila sijawahi kuona Ajira za wataalamu WA afya zikitangazwa kwenye hivyo vituo

Ila hii nchi jamani
 
234 Health Centers/117bil.=2bil.

Naona awamu hii wametumia bilioni Mbili tu kukamilisha kituo kizima.

Sasa najiuliza zile bajet zinatolewaga mpaka 50bil. Kwa kituo kimoja huwa zinaenda wapi hizo 48bil
Uongo unahitaji kumbukumbu nzuri sana vinginevyo ni majanga.
 
Nchi imejaa wezi, wanafki, waongo na wanyang'anyi wanaojiita viongozi
Ndugu yangu, Lloyd Munroe, nchi hii kwa sasa inamilikiwa na genge la wezi lililovaa koti la chama tawala, CCM.

CCM imejengwa katika misingi ya wizi, rushwa, unafiki, uongo, dhulma na kila aina ya uovu unaoweza kuufikiria.

Siku sisi wazalendo tukizinduka na kuivunjilia mbali misingi hiyo, hapo tutakuwa tumelikomboa upya taifa letu.

Nje ya hapo tunadanganyana tu kwani adui nambari one wa taifa hili ni CCM, period!
 
Vipi lakini hizo taarifa za tozo ya mafuta na ununuzi wa vifaa na Madawa unayo hapo?
Hapana, hii itatoka baada ya wananchi kupiga kelele kwenye Maria Space na kwingineko. Tunasubiria kwanza kelele ndio tutoe ufafanuzi
 
Nchi za kiafrika kuna tatazo sana LA kisera,hakuna mipango thabiti inayosiamamiwa kuondokana na haya matatizo ya kijamii kama shule,Barbara,zahanati,maji n.k.
Hata uongeze kodi na tozo kwa 100% utapata hela lakini hutaweza kumaliza hayo matatizo au kuyapunguza kwa kiwango kikubwa pasipo kuathiri chumi za Wananchi wa kiwango kikubwa.

Serikali inabidi kuja na mpango wa muda mrefu ambao utawezesha Serikali kupata mapato all the time kutekeleza miradi hiyo ya kijamii pasipo kuathiri uchumi wa Nchi,na mpango huo unatakiwa utekelezwe na Rais yoyote atakayeingia madarakani lasivyo tutakuwa kila siku ni vilio.
Umeongea point sana mkuu, Uku ni kutunyang'anya maana si kwa kodi hizi. Kuna kodi na unyang'anyi.
Maendeleo ya nchi si swala la kukabana koo ni swala la mbinu endelevu.
 
Vituo vya afya 230 vimejengwa Ila sijawahi kuona Ajira za wataalamu WA afya zikitangazwa kwenye hivyo vituo

Ila hii nchi jamani
Aaahahahhaah ndo ujue si vipya kwa maana vimekua vikifanya kazi siku zote na vimekaliwa na wataalam wachache tayar
 
Ndugu yangu, Lloyd Munroe, nchi hii kwa sasa inamilikiwa na genge la wezi lililovaa koti la chama tawala, CCM.

CCM imejengwa katika misingi ya wizi, rushwa, unafiki, uongo, dhulma na kila aina ya uovu unaoweza kuufikiria.

Siku sisi wazalendo tukizinduka na kuivunjilia mbali misingi hiyo, hapo tutakuwa tumelikomboa upya taifa letu.

Nje ya hapo tunadanganyana tu kwani adui nambari one wa taifa hili ni CCM, period!
Hakika Adui yetu si CCM si raisi fulani wala waziri flan kwa maana yeyote ajae kupitia genge hilo ni atatekeleza matakwa ya genge lake
 
Kwa Kilimanjaro nimeona kimoja ninachokifahamu kweli ndio kipo kwenye ujenzi wa majengo mapya
 
Na kwa bahat mbaya wananchi hatuna nguvu ya kuwang'oa kwenye viti hivyo
Wametugawa makundi makundi Kuanzia dini, Elimu na mengine mengi ukitaka kufanya Jambo unakuta mko mafungu Mana wanacho-hofia ni siku mkiwa na wazo moja Bila kuyumba.
 
Kwamba hivi vyote vimejengwa tangu July 1,2021 hadi leo hii Septemba 7,2022? Hivi kodi zingine zinafanya maswala gani? I.e kodi za mapato binafsi, ya uwekezaji, kampuni? Leseni za biashara etc...miaka ya nyuma hivi vituo vya afya vilikua vinajengwaje?
 
Wametugawa makundi makundi Kuanzia dini, Elimu na mengine mengi ukitaka kufanya Jambo unakuta mko mafungu Mana wanacho-hofia ni siku mkiwa na wazo moja Bila kuyumba.
Siku moja naambiwa kijana njoo ofisini uchukue Card ya CCM na ujiunge UVCCM unaeza ukadhani umelogwa kila fulsa inakupita kushoto shituka, Nilisikitika sana kuona tumefika uko!!
 
Kwamba hivi vyote vimejengwa tangu July 1,2021 hadi leo hii Septemba 7,2022? Hivi kodi zingine zinafanya maswala gani? I.e kodi za mapato binafsi, ya uwekezaji, kampuni? Leseni za biashara etc...miaka ya nyuma hivi vituo vya afya vilikua vinajengwaje?
Labda wanataka kutwambia wao ndo watukafu sasa wale wanyuma wote walikua wezi haswa. Nategemea hii kasi iongezeke mara dufu kwa maana ikisuasua tu watajirudisha kwenye kundi lilelile la Majizi wao wenyewe.
 
Siku moja naambiwa kijana njoo ofisini uchukue Card ya CCM na ujiunge UVCCM unaeza ukadhani umelogwa kila fulsa inakupita kushoto shituka, Nilisikitika sana kuona tumefika uko!!
ile Card ni Zaid ya Green papers za ubalozi... Ukiwa nayo wanakuzingatia Sasa huu si ubaguzi huu
 
Back
Top Bottom