Tozo Tsh. bil. 117, Vituo vya afya 234

Tozo Tsh. bil. 117, Vituo vya afya 234

Kituo cha Afya Mkonoo Arusha Jiji kimejengwa mwaka 1989, labda kimeongezewa jengo.
1989 Mmh, Uongo ni kosa tosha na sababu muhim ya kuondoshewa uaminifu. Wanastahili kura tena hawa kweli?
 
Mungu atutetee.Mungu hawezi kutuacha kwenye mikono yavm dhuluma.
Kama kuna dhuluma Mungu hatawaacha salama wao na familia zao
Hii ndio Tanzania aloiacha Mwalim, Alipaswa kufanya mapinduzi makubwa sana ya kikatiba akiwa bafo yupo Madarakani.
 
Wangetuwekea michanganuo yote ya Kodi za wananchi na matumizi husika! Sioni haja ya kushupalia tozo kama taifa halijawahi kujengea vituo vya afya
Wanaforce kutuhamasisha kwa mbinu za kitoto kabisa. Naona wanarudi na ule mfumo wa kuforge taarifa na wakati ndo walikua wanautumia kumponda mjomba.
 
Nawashangaa wanavyotumia nguvu kubwa kutetea hizi tozo.

Uwepo wa tozo unaacha maswali mengi sana, wanatakiwa waje na majibu ya kuridhisha, sio kulazimisha kama wanavyofanya.

Hivyo vituo wanavyodai ni vipya vilijengwa lini, ukakamilika lini ujenzi wake, kwa thamani ipi kila kituo?

Haiwezekani wanakusanya tozo karibia kila dakika, hawatuambii mapato na matumizi yake kila mwezi, halafu ghafla wanaibuka na majibu ya jumla kutuambia bil kadhaa zimejenga vituo 264 nchi nzima, huu ni wizi wa mchana.
Tena walivowapuuzi wanapost fb na hawabandiki ofisi za kata na vijiji ili wahusika washuhudie udanganyifu wao.
 
Juzi nilisema hapa kuwa waweke jedwali kuonyesha wapi kituo kipo, muda wa ujenzi kuanza, gharama ya mradi, mkoa, wilaya, tarafa, kata ama kijiji. Walichokifanya ni kuweka vituo bila kuweka udhibitisho wa muda wa mradi kuanza, na kiwango cha fedha za mradi. Serikali inachotakiwa ifahamu kuwa wajinga wameisha, uoga tu ndio umeshika kasi.
 
Wastani wa 500m kwa kila kituo, vituo vingi vikiwepo kabla Madelu hajazaliwa.

Haya watuambie na zile za covid zimejenga madarasa yapi? Kule kwa Mtetezi wa Voda shule karibia zote ni za udongo.

Zile pesa za Scotland na zenyewe tuliambiwa ni kwaajili ya green city, mikoa tajwa ishakuwa ya kijani au iko kwenye process

Miradi iliyoachwa tu mingine imekufa na mingine unaendelezwa chini ya kiwango, flyover ya Chang'ombe na Uhasibu ni takataka
 
Juzi nilisema hapa kuwa waweke jedwali kuonyesha wapi kituo kipo, muda wa ujenzi kuanza, gharama ya mradi, mkoa, wilaya, tarafa, kata ama kijiji. Walichokifanya ni kuweka vituo bila kuweka udhibitisho wa muda wa mradi kuanza, na kiwango cha fedha za mradi. Serikali inachotakiwa ifahamu kuwa wajinga wameisha, uoga tu ndio umeshika kasi.
Amin kwamba, Wajinga wameisha.
 
Wastani wa 500m kwa kila kituo, vituo vingi vikiwepo kabla Madelu hajazaliwa.

Haya watuambie na zile za covid zimejenga madarasa yapi? Kule kwa Mtetezi wa Voda shule karibia zote ni za udongo.

Zile pesa za Scotland na zenyewe tuliambiwa ni kwaajili ya green city, mikoa tajwa ishakuwa ya kijani au iko kwenye process

Miradi iliyoachwa tu mingine imekufa na mingine unaendelezwa chini ya kiwango, flyover ya Chang'ombe na Uhasibu ni takataka
Majanga matupu ndugu yang SISIYEMU si watu wazuri.
 
Salaaam sana wakuu.

Vituo vya Afya;

Vingine vya kitambo Baba wa Taifa kaviacha, navyo vipya hivyo?

Vingi kavijenga mjomba, navyo vipya hivyo?

Vichache wameongeza jengo tu, navyo vipya hivyo?

Nitajie kituo cha afya kimoja tu mtaani kwao unachojua tumepigwa, usisahau kunitajia na kipya ambacho wamefanya kweli.
(Soma kwenye list)View attachment 2347868View attachment 2347871View attachment 2347873View attachment 2347874View attachment 2347876View attachment 2347877View attachment 2347879View attachment 2347880View attachment 2347881
Kama hizi tozo peke yake zimeweza kufanya mambo yote hayo, tangu tupate uhuru mapato ya nchi hii kutokana na kodi, utalii, kilimo, mauzo ya nje, mikopo, ufadhili nk, yamefanya kazi gani?
Acheni uwongo. Mnataka kuturudisha enzi ya mapapai kukutwa na virusi vya corona?
Tuliwahi kuambiwa tumejenga viwanda 4,000, viko wapi?
 
234 Health Centers/117bil.=2bil.

Naona awamu hii wametumia bilioni Mbili tu kukamilisha kituo kizima.

Sasa najiuliza zile bajet zinatolewaga mpaka 50bil. Kwa kituo kimoja huwa zinaenda wapi hizo 48bil
Mkuu, hesabu sahihi ni 117bilioni ÷ vituo 234 = milioni 500

Hii ndio gharama ya ujenzi kwa kila kituo cha afya. Tozo za kwenye mafuta zitatumika kununulia madawa na vifaa tiba
 
Kumekuchaaaaa, Mkalitizame na hili
1662522373092.jpg
 
Mkuu, hesabu sahihi ni 117bilioni ÷ vituo 234 = milioni 500

Hii ndio gharama ya ujenzi kwa kila kituo cha afya. Tozo za kwenye mafuta zitatumika kununulia madawa na vifaa tiba
Shukran kwa Masahihisho Mkuu, Karbu jamvini.
 
Back
Top Bottom