Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,613
- 49,024
Jamani hata shetani akisoma hapa atakua anacheka mwenyewe.Wamekihesabu kama kituo kamili na wakati bado kinahitaj pesa zetu ili kimalizike
Jamani hata shetani akisoma hapa atakua anacheka mwenyewe.Wamekihesabu kama kituo kamili na wakati bado kinahitaj pesa zetu ili kimalizike
Hii ndio Tanzania aloiacha Mwalim, Alipaswa kufanya mapinduzi makubwa sana ya kikatiba akiwa bafo yupo Madarakani.Mungu atutetee.Mungu hawezi kutuacha kwenye mikono yavm dhuluma.
Kama kuna dhuluma Mungu hatawaacha salama wao na familia zao
Wanaforce kutuhamasisha kwa mbinu za kitoto kabisa. Naona wanarudi na ule mfumo wa kuforge taarifa na wakati ndo walikua wanautumia kumponda mjomba.Wangetuwekea michanganuo yote ya Kodi za wananchi na matumizi husika! Sioni haja ya kushupalia tozo kama taifa halijawahi kujengea vituo vya afya
Tena walivowapuuzi wanapost fb na hawabandiki ofisi za kata na vijiji ili wahusika washuhudie udanganyifu wao.Nawashangaa wanavyotumia nguvu kubwa kutetea hizi tozo.
Uwepo wa tozo unaacha maswali mengi sana, wanatakiwa waje na majibu ya kuridhisha, sio kulazimisha kama wanavyofanya.
Hivyo vituo wanavyodai ni vipya vilijengwa lini, ukakamilika lini ujenzi wake, kwa thamani ipi kila kituo?
Haiwezekani wanakusanya tozo karibia kila dakika, hawatuambii mapato na matumizi yake kila mwezi, halafu ghafla wanaibuka na majibu ya jumla kutuambia bil kadhaa zimejenga vituo 264 nchi nzima, huu ni wizi wa mchana.
Amin kwamba, Wajinga wameisha.Juzi nilisema hapa kuwa waweke jedwali kuonyesha wapi kituo kipo, muda wa ujenzi kuanza, gharama ya mradi, mkoa, wilaya, tarafa, kata ama kijiji. Walichokifanya ni kuweka vituo bila kuweka udhibitisho wa muda wa mradi kuanza, na kiwango cha fedha za mradi. Serikali inachotakiwa ifahamu kuwa wajinga wameisha, uoga tu ndio umeshika kasi.
Majanga matupu ndugu yang SISIYEMU si watu wazuri.Wastani wa 500m kwa kila kituo, vituo vingi vikiwepo kabla Madelu hajazaliwa.
Haya watuambie na zile za covid zimejenga madarasa yapi? Kule kwa Mtetezi wa Voda shule karibia zote ni za udongo.
Zile pesa za Scotland na zenyewe tuliambiwa ni kwaajili ya green city, mikoa tajwa ishakuwa ya kijani au iko kwenye process
Miradi iliyoachwa tu mingine imekufa na mingine unaendelezwa chini ya kiwango, flyover ya Chang'ombe na Uhasibu ni takataka
Kama hizi tozo peke yake zimeweza kufanya mambo yote hayo, tangu tupate uhuru mapato ya nchi hii kutokana na kodi, utalii, kilimo, mauzo ya nje, mikopo, ufadhili nk, yamefanya kazi gani?Salaaam sana wakuu.
Vituo vya Afya;
Vingine vya kitambo Baba wa Taifa kaviacha, navyo vipya hivyo?
Vingi kavijenga mjomba, navyo vipya hivyo?
Vichache wameongeza jengo tu, navyo vipya hivyo?
Nitajie kituo cha afya kimoja tu mtaani kwao unachojua tumepigwa, usisahau kunitajia na kipya ambacho wamefanya kweli.
(Soma kwenye list)View attachment 2347868View attachment 2347871View attachment 2347873View attachment 2347874View attachment 2347876View attachment 2347877View attachment 2347879View attachment 2347880View attachment 2347881
Hata kama hayajaisha, wewe jua yamegharimu Tshs. Milioni 500Waongo Wakubwa hawa , Dar es Salaam Makuburi pale EPZA Yale ni majengo na hayajaisha!
Mkuu, hesabu sahihi ni 117bilioni ÷ vituo 234 = milioni 500234 Health Centers/117bil.=2bil.
Naona awamu hii wametumia bilioni Mbili tu kukamilisha kituo kizima.
Sasa najiuliza zile bajet zinatolewaga mpaka 50bil. Kwa kituo kimoja huwa zinaenda wapi hizo 48bil![]()
Basi nimekubali hahahaHata kama hayajaisha, wewe jua yamegharimu Tshs. Milioni 500
Kila kituo hapo gharama yake ni shilingi milioni 500.