Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
AN OPEN LETTER TO MZEE MWANAKIJIJI,
This is the best article i have ever come across since i joined JF, now i would like to ask you comrade to send me this article to my mailbox novakambota@gmail.com so that i post it in my site Nova Tzdream
Ni kweli mkuu. Hili chapisho naliweka kwenye maktaba yangu ili hata wajukuu zangu waje kusoma kama wataanzisha chama cha siasa basi iwe dira yao. Maandishi hayaozi!
Pamoja na hayo ningependa sana kuwaona strategists wetu kutoka vyama hivi viwili wakijitokeza na kutoa comments zao kuhusu hii post. Nitamuuliza MMMM kama hiyo modal ni ya kwake ama kaitohoa mahala. Kama ni ya kwake basi anastahili kupata title ya Prof.