Tovuti ya wizara inaonyesha picha za ngono!!!

teh teh teh ila tz tuna mambo, afu inaonekana wahusika hawajashtuka,yan kwenye hme page kabisa wamekutupia malink kibao, hapa Celina ajiuzuru kwa kweli
 
Pamoja na kutofurahishawa na namna magamba wanavyoipeleka nchi yangu Tz, bado siwezi kuamini kuwa tofuti hiyoimeundwa na wataalamu rasmi wa wizara hiyo bali ni wataalamu wa Website design ambao wamebumba website kisha waka tag links za ngono katka web hiyo fake... This is the bad side of technology.
 
kiLiMlire - Hiyo ni tovuti rasmi ya Wizara ya Sheria na Katiba, nimeifungua baada ya kuisoma kwenye 'spare tyre cover' ya gari moja la Serikali nikiwa kwenye foleni. Hiyo cover imeandikwa, Je unataka kusoma Katiba? Tembelea MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS. Labda ni udhaifu wa wataalamu uchwara, ambao wametengeneza tovuti dhaifu, kisha hackers wakawaaibisha
 
kiLiMlire - Hiyo ni tovuti rasmi ya Wizara ya Sheria na Katiba, nimeifungua baada ya kuisoma kwenye 'spare tyre cover' ya gari moja la Serikali nikiwa kwenye foleni. Hiyo cover imeandikwa, Je unataka kusoma Katiba? Tembelea MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS. Labda ni udhaifu wa wataalamu uchwara, ambao wametengeneza tovuti dhaifu, kisha hackers wakawaaibisha

hapana ndugu ni uzembe tu,hata kama kwel hackers, umeshapita muda gani
 
Hapana kwa wale wanaotumia opea mini nenda kwenye settings ya opera then weka mobile view off.
opera huwa wanaweka matangazo yao huko.
 
Wabariki viongozi wake(mafisadi)hekima umoja na amani
hizi ni ngao zetu.....na mafisadi kweli watabarikiwa kama tunavyoomba kwenye wimbo wa taifa.WIZARA INATANGAZA NGONO!NI BORA TUFANYE MNADA WA WAZI KUIUZA NCHI KILA MTU APEWE CHAKE.CENINA KOMBANI UMELIABISHA TAIFA
 
Mimi natumia Opreamimi 4 kwenye Nokia E61i. Chini ya "Law is Above All" kuna link yenye maneno yafuatayo, "watch porn bed porn dry sex sex videos porn sex free girl porn sexe porn sex".
Kisha kufuatiwa na link ya "GOVERNMENT NOTICE NO. 66 ya 08 March, 2012.
THE CONSTITUTIONAL REVIEW ACT (NO. 08 OF 2011).
Tumia Operamini 4 kwenye simu, cha ajabu nikitumia Operamini Next huo uchafu haupo.

uliyo ongea ni ukweli mtupu. hadi nmeogopa nilipo ona. yaani zinafunguka kabisa..!!
 
Ni sehemu gani katika tovuti hiyo inayoonyesha huo uchafu. Yaani nashindwa kuamini ukisemacho kama ni kweli au la.

jamani, adress ya link si ameiweka hapo? Kama unataka kuujua uozo wa wizara zetu basi wewe ingia ujionee. Yaani hata mtandao wa "waptrik hauoni ndani. Hata kama hii kitu imechomekwa na watu wabaya swali ni je wahusika na wizara hawatembelei mtandao wao? Shem!!!!
 
hii soo...inaelekea serikalini hata wafanyakazi wa ict wamepinda kama waziri mkuu wao...nyambafu kabisa...!
 
Duh! Ni kweli nimeshuhudia, kumbe hii wizara inashughulika na mambo mengi zaidi!!
 
Dah this is not fair kwakweli sio bure nina amini lazma kuna mtu kaivamia WEB ya wizara kautupia huo uchafu, ingawa wengine wanafurahia hii kitu bt ni aibu sana coz WEB hizi zatumika na rika mbalimbali na watu wa aina tofauti had wa nchi nje ya Tz; dah aibu yao na yetu sote"
 
Tovuti ya Wizara ya Sheria na Katiba; Wizara iliyochini ya Dr Celina Kombani, MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS kuna link inayoonyesha picha chafu za ngono.... INANIUMA SANA, SIJUI TZ NI NCHI YA AINA GANI... AIBU KUBWA SANA
dah mbona mi sioni hiyo kitu au nyie wenzangu mlioona mmepitaje jamani? naogopa kupresent hii ishu hata kwa watu wengine bila kuwa na visible evidence.
 
Sijakumbana na balaa hilo.
Kama ni kweli, hawa jamaa wa IT wa wizara wameonyesha kauzembe ka hali ya juu.Basi ambao mko karibu nao wastue basi waondoe balaa hilo kama lipo.

Na ninyi (JFmember) mungekuwa mnatumia Antivirus zenye Parental control na kuactivate hizo control, tabu hizi msingezipata.
 
Back
Top Bottom