Tovuti ya wizara inaonyesha picha za ngono!!!

kiLiMlire - Hiyo ni tovuti rasmi ya Wizara ya Sheria na Katiba, nimeifungua baada ya kuisoma kwenye 'spare tyre cover' ya gari moja la Serikali nikiwa kwenye foleni. Hiyo cover imeandikwa, Je unataka kusoma Katiba? Tembelea MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS. Labda ni udhaifu wa wataalamu uchwara, ambao wametengeneza tovuti dhaifu, kisha hackers wakawaaibisha
issue haiko kwenye tovuti bali kwenye web server inayo host hiyo tovuti...kama wataalam wenyewe ndiyo ngumbaru halafu hakuna wa kui monitor 24 hrs ukiwa mjanja unaweza kuwabandikia hata picha ya lulu wa kanumba...!
 
Ha ha ha ha hawa maIT wa wizara wanalipwa mishahara ya bure kabisa. Inavyo onekana wanapenda sana NgoNO kuliko kazi nyambafu wakubwa
 
Duh! ya leo kali. Jamani mwenye kuweza kuwasiliana nao awastue ili wazifute hizo link.
labda wangebandika ile picha ya yule jamaa wa magogoni iliyoleta sokomoko ilipowekwa kwenye ze utamu ndiyo jamaaa wangestuka mapema...!
 
Pengine ndo haya haya ya wasanii, Kikwete ambaye tunaambiwa anatweet leo anakana kuwa hana hata akaunti ya tweeter na kuwa anayeirun akaunti hii hajulikani!
 
wakuu inatosha kama hatuchangii la maana hapa naona bora tupateme kuendelea na huu uchafu tutafanana nao. kuna watu naona wakodolea mimacho picha na kuzielezea zilivyo sote tumeziona haina haja kutuambia zilivyo si maadili hayo tena
 
Ha ha ha ha hawa maIT wa wizara wanalipwa mishahara ya bure kabisa. Inavyo onekana wanapenda sana NgoNO kuliko kazi nyambafu wakubwa

inaelekea wanafanya kazi ili wapate hela ya kujipatia hiyo ngono
 
Uzushi mwingine bwana, ndiyo yaleyale...'uongo umesemwa tangu jana, now unaonekana ni ukweli'. Mi nimekuwa nafungua tangu jana na sijaziona hizo picha.... Kwanza uzushi wenyewe umeanzia kwenye jina la Wizara (ni Katiba na Sheria, sio Sheria na Katiba); pili jina la Waziri eti Dr. Celina Kombani (huyu sio Dkt kwa maana ya PhD holder wala wa mifugo au binadamu)...lack of attention kwa mambo madogo yamedisqualify uzushi wake...tuendelee kujadili mambo ya maana yenye uhakika...
 
Uzushi mwingine bwana, ndiyo yaleyale...'uongo umesemwa tangu jana, now unaonekana ni ukweli'. Mi nimekuwa nafungua tangu jana na sijaziona hizo picha.... Kwanza uzushi wenyewe umeanzia kwenye jina la Wizara (ni Katiba na Sheria, sio Sheria na Katiba); pili jina la Waziri eti Dr. Celina Kombani (huyu sio Dkt kwa maana ya PhD holder wala wa mifugo au binadamu)...lack of attention kwa mambo madogo yamedisqualify uzushi wake...tuendelee kujadili mambo ya maana yenye uhakika...
tatizo lako ni mgumu kuelewa au hautaki tu kuelewa...inategemea unatumia browser gani...mimi kwenye computer natumia firefox lakini sioni kitu ila kwenye simu nina opera na microsoft internet explorer mobile na ninaona links zinazoitwa watch porn,bed porn,dry sex,sex videos,porn sex,free girl porn,sexe,porn sex...tumethubutu tumeweza na tunasonga mbele...ccm oyeeeeee...!
 
Hivi ni nini nia ya huu uzishi?! unataka kuajiriwa wewe?! au ndiyo uchawi?! unajua kuwa mchawi siyo lazma awe na vibuyu?! Huu ni uchawi uliopitiliza, tangu ulipopost hii post yako nimengalia na sijafanikiwa kuona huo unaouita uchafu kwa kutumia browser zote unazozijua wewe! Acha kuharibia watu kitumbua bwana Wilguy, ungelikuwa ni wewe ungejisikiaje?! Shame on you na hizo account zako zote ulizozitengeneza za (zamo na chimunguru) ili kuharibia watu.
 
Manezra- kwa hiyo hata hao mashuhuda wamezusha! Niliandika mwanzoni, na wadau wengine wakatbibitisha. Hata sasa hivi, fungua hiyo tovuti kwa kutumia Operamin 4 kwa kutumia simu, baada ya "Law is Above All" ndio link za watch porn bed porn dry sex n.k zinafuatia. LENGO LANGU NI KUSEMA ILI KAMA KUNA MTU ANAWEZA KUWAAMBIA HUKO WIZARANI ILI WAREKEBISHE. Nizushe ili nipate nini ndg yangu!!!! Hii ni aibu kwa Watz wote. Kweli nimeamini kuna watu hawako tayari kuchukua jitihada hata kidogo ili kuuthibitisha ukweli.
 
Back
Top Bottom