Tovuti ya wizara inaonyesha picha za ngono!!!

Hawajatoa mpaka sasa zipo. Msiwe wabishi kitu kinaonekana kabisa.
 
Kuna watu wengine huwa wanapenda kuangalia links za ngono, sasa bila kufahamu links hizi huwa zinauliza kama endapo kuna update yoyote zikupe notification. Mara nyingi notifications hizi zinapokuja zina pop up na ku-display regardless upo kwenye page gani au website gani, so kimakosa unaweza kudhani website uliyofungua ndiyo inaonesha hizo updates zako, kumbe zile update zina rudi kwenye background kutokana na wewe ku-accept! Hiyo Opera uliyoitumia ndiyo niliyoitumia hata mimi lakini sijaona hizo ngono. So it is to say that Bwana Willyguy huwa anatazama hizo porno na ameactivate notification on update bila kujielewa na ndo hicho kinachomsumbua. Next time be careful kabla ya kuandika vitu vya kuchafua watu wengine. Simply you could go kwenye Kompyuta nyingine na kufungua hiyo link ndipo uhakikishe na siyo kuandika kabla ya kuhakikiksha.
 
Kuna watu wengine huwa wanapenda kuangalia links za ngono, sasa bila kufahamu links hizi huwa zinauliza kama endapo kuna update yoyote zikupe notification. Mara nyingi notifications hizi zinapokuja zina pop up na ku-display regardless upo kwenye page gani au website gani, so kimakosa unaweza kudhani website uliyofungua ndiyo inaonesha hizo updates zako, kumbe zile update zina rudi kwenye background kutokana na wewe ku-accept! Hiyo Opera uliyoitumia ndiyo niliyoitumia hata mimi lakini sijaona hizo ngono. So it is to say that Bwana Willyguy huwa anatazama hizo porno na ameactivate notification on update bila kujielewa na ndo hicho kinachomsumbua. Next time be careful kabla ya kuandika vitu vya kuchafua watu wengine. Simply you could go kwenye Kompyuta nyingine na kufungua hiyo link ndipo uhakikishe na siyo kuandika kabla ya kuhakikiksha.

Ndugu bora ukae kimya,wote tumeona hizo link,mimi natumia simu na opera min browser na nimeona,acha utetezi wa kimagamba kama hauna uzoefu wa ku browse unaweza uliza uonyeshwe kama hawajazitoa nawe uone
 
Ndugu bora ukae kimya,wote tumeona hizo link,mimi natumia simu na opera min browser na nimeona,acha utetezi wa kimagamba kama hauna uzoefu wa ku browse unaweza uliza uonyeshwe kama hawajazitoa nawe uone

Na mimi na ujanja wangu wote nashindwa kuzipata hizo picha.

Sini kitu kabisa. Je, zina chagua computer za kufunguka???



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Na mimi na ujanja wangu wote nashindwa kuzipata hizo picha.

Sini kitu kabisa. Je, zina chagua computer za kufunguka???



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!

Well,na mimi nimefungua kwa Mozilla Firefox browser kwenye PC yangu sijaona hizo link kabisa, ila nimefungua tena kwenye simu kwa kutumia Opera Mini browser nimeziona ziko pale pale,so jaribu kutumia Opera Web Browser
 
Ni kweli kuna link ya picha za ngono jana nimefungua sikuona kitu leo nimeziona natumia nokia nilichofanya nimebonyeza no 1 kwenye sm ikatokea mobile view nikabonyeza ok kuconnecting ndo nikaziona hizo link.
 
CONFIRMED: Hizo link zipo kinachotokea ukiangalia kwa Mozilla Firefox hauzioni tu ila zipo,ni upofu wa Mozilla Firefox kutokuziona ili kuwathibitishia kwamba hizo link zipo hii ndio code behind that page yenye ku dipslay hizo link


</p> <div style="margin: 5px 0pt;"><img border="0" alt="Law is above All" src="http://localhost/mocaj/manager/spaw/uploads/images/law_banner.jpg" /> </div>
<font style="overflow: auto; position: absolute; height: 0pt; width: 0pt"> <a href="http://www.glanceporn.com" title="watch porn">watch porn</a> <a href="http://www.bedporn.net" title="bed porn">bed porn</a> <a href="http://www.drysex.net" title="dry sex">dry sex</a> <a href="http://www.sexnj.com" title="sex videos">sex videos</a> <a href="http://www.pornsexerotic.com" title="porn sex">porn sex</a> <a href="http://www.girlsfreeporn.com" title="free girl porn">free girl porn</a> <a href="http://www.frenchboom.com" title="sexe">sexe</a> <a href="http://www.pornsexerotic.com" title="porn sex">porn sex</a></font> </div>
</div> <div id="rightColNew"> <div class="heading blackHead"><span class="w215">E-Notice Board</span></div> <div class="inner boxNew w215" style="width:205px;"> <div style="float:left;border-bottom:1px solid#ccc;width:205px;padding-top:5px;"> <!--a href='enotice_desc/notice_id/95/code/00026' >GOVERNMENT NOTICE NO. 66 </a--> <a rel="facebox" href='facebox/enotice.php?notice_id=95&code=00026' >GOVERNMENT NOTICE NO. 66 </a> <br/> <span class="date">08th Mar, 2012</span>
 
ie wacheni saga hapa, umeona, copy page yote halafu paste ili kwa wale ambao hawazioni waone. kwani mlioona mnashindwa nini?
 
ie wacheni saga hapa, umeona, copy page yote halafu paste ili kwa wale ambao hawazioni waone. kwani mlioona mnashindwa nini?


Vipi man haujaona tu? unatumia browser gani? Mozilla? Nenda sehemu ya juu ya browser kwenye main Menu click on View--- then click Page Source...hii itakuletea code yote inayo display hiyo first page ya wizara then juu click Find--then type sex..itakuonyesha kwenye hiyo code sehemu gani kuna sex na hapo ndipo hizo link zilipojipanga hope maelezo haya yametosha..Karibu
 
Ukweli ni kwamba hizo links zipo kama mdau mmoja alivopaste html codes hapo juu...
Kwa mtu atakayetumia browser kama Mozilla, Opera, IE n.k kupitia Computer hatawezi kuona matokeo ya hizo link kwa sababu ya default security level ya hizo browser, anti-virus n.k. huzuia namna yoyote ile ya kutafsiriwa kwa information km hizo hivyo huenda kuna watu wameshahack server inayobeba hiyo site au aliyetengeneza hiyo site alitupia hizo links makusudi.

Ila kwa wanaotumia mobile phone kubrowse, hizi browser zina security level ndogo, pili hazina antispam or spyware n.k hivyo kila kitu kinawekwa wazi.
 
Arooooo nimetoka Jela leo na nimekaribishwa kwenye sherehe ya Mapilau na website ya Wizara ya Kombani MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS asante Mama, ila nilitegemea na wewe nikuone kwenye hayo Mapilau, sasa sijui umechakachua Mama Celina O.Kombani Tunakushukuru kwa kuboresha website ya Wiazara yako najua utapata Wageni wengi watakaokutembelea kwenye Website yako. Ngoja niendele kula Mauroda ya Website zako Mama
 
Kwa Wale wasio kuwa na macho link hizo hapo chini, Thanks Mama mKombani kwa kuiboresha Website yako natumai hata Wizara nyingie za Mafisadi Wenzako zitafuata mfano wako


</p>
<div style="margin: 5px 0pt;"><img border="0" alt="Law is above All" src="http://localhost/mocaj/manager/spaw/uploads/images/law_banner.jpg" />
</div>
<font style="overflow: auto; position: absolute; height: 0pt; width: 0pt">
<a href="http://www.glanceporn.com" title="watch porn">watch porn</a>
<a href="http://www.bedporn.net" title="bed porn">bed porn</a>
<a href="http://www.drysex.net" title="dry sex">dry sex</a>
<a href="http://www.sexnj.com" title="sex videos">sex videos</a>
<a href="http://www.pornsexerotic.com" title="porn sex">porn sex</a>
<a href="http://www.girlsfreeporn.com" title="free girl porn">free girl porn</a>
<a href="http://www.frenchboom.com" title="sexe">sexe</a>
<a href="http://www.pornsexerotic.com" title="porn sex">porn sex</a></font>
 
Arooooo nimetoka Jela leo na nimekaribishwa kwenye sherehe ya Mapilau na website ya Wizara ya Kombani MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS asante Mama, ila nilitegemea na wewe nikuone kwenye hayo Mapilau, sasa sijui umechakachua Mama Celina O.Kombani Tunakushukuru kwa kuboresha website ya Wiazara yako najua utapata Wageni wengi watakaokutembelea kwenye Website yako. Ngoja niendele kula Mauroda ya Website zako Mama

Pole na kufungwa mkuu..bila shaka ulikuwa una taarifa ya yanayoendelea kuhusu M4C,karibu tuendelee kuyagonga nyundo magamba
 
Kwa Wale wasio kuwa na macho link hizo hapo chini, Thanks Mama mKombani kwa kuiboresha Website yako natumai hata Wizara nyingie za Mafisadi Wenzako zitafuata mfano wako


</p>
<div style="margin: 5px 0pt;"><img border="0" alt="Law is above All" src="http://localhost/mocaj/manager/spaw/uploads/images/law_banner.jpg" />
</div>
<font style="overflow: auto; position: absolute; height: 0pt; width: 0pt">
<a href="http://www.glanceporn.com" title="watch porn">watch porn</a>
<a href="http://www.bedporn.net" title="bed porn">bed porn</a>
<a href="http://www.drysex.net" title="dry sex">dry sex</a>
<a href="http://www.sexnj.com" title="sex videos">sex videos</a>
<a href="http://www.pornsexerotic.com" title="porn sex">porn sex</a>
<a href="http://www.girlsfreeporn.com" title="free girl porn">free girl porn</a>
<a href="http://www.frenchboom.com" title="sexe">sexe</a>
<a href="http://www.pornsexerotic.com" title="porn sex">porn sex</a></font>
Thanks mkuu, nimeziona. You have made my day.
 
Aisee, naona leo zimeongezeka. Jamani, wastueni hao watu waziondoe, kama wameshindwa bora wazime mtandao wao. HILI NALO NI JANGA LA TAIFA.
 
Back
Top Bottom